Makundi ya watu ambao wakifungua biashara lazima zife, fahamu kundi lako na Ubadilike

Yaani mtu akiwa na milions asifanye biashara kisa hajaanzia 170kl.
Sio lazima uanzie chini kama una uhakika wa unachotaka kukifanya,binafsi hapa nilipo nina biashara naweza ianzisha kwa mtaji wa 100M na natia mzigo 100m yote,kwasababu nina uhakika 100% na hiyo biashara, narudia tena kwasababu "nina uhakika 100%" na wala sio 98% wala 99.9% no uhakika ni 100%.Zipo biashara hizo ninazoweza anzia kule TOP.

Kwasababu nazijua,nazielewa in and out,ki ufupi hunidanganyi wala huniambiii kitu kuhusu hizo biashara najua ni DODO lakutingisha mti tu linajiachia linadondoka.

LAKINI

pamoja na kwamba nimefanya biashara nyingi,leo hiii kuna biashara nikiwa na 20m nikitaka kuianzisha lazima itanibidi nianzie from ZERO,mtaji si shida kwangu ila shida ni uzoefu na ujuzi na teknik kwenye hiyo biashara,mimi sio MUNGU useme najua kila biashara HAPANA ila nina uwezo wakufanya kila biashara chini ya JUA bila kupata hasara na hata nikipata hasara haitolingana na yako.

sasa basi unatakiwa uelewe kwamba sijanyima mtu kuanza biashara kwa mtaji mkubwa,kama mtaji unao,unaijua biashara unayoianzisha,unajua mbinu za kuifanya,unajua kila kitu kuhusu unachokianzisha GO AHEAD weka mzigo hata billions of money..

MO si unamuona mihela anayoimwaga simba?! unajua kwanini anamwaga hiyo mipesa?! kwasababu ana uhakika 100% mzigo utarudi mara mbili ya anaouweka...

kwahiyo hapa tunaangalia uzoefu ktk biashara husika,lakini kuna mtu ni beginner ktk biashara anakuja kwenye biashara Fresh from "kuajiriwa" fresh from "home" ila ana MTAJI tena ana mtaji mzito mzito,Huyu mtu simshauri hata mara 1 aanze biashara kama PRO, namshauri aanze from scatch akijifanya mbishi simlazimishi ila always "two things involve" either afaulu au afeli, Akifaulu Asiache mshukuru Mungu,lakini Akifeli "sitoacha kumwambia" POLEEEE.
 
1.Kapata Pesa za Ghafla

Hapa kuna wale wenzangu wa michezo ya bahati na sibu au kuna mirathi,kuuza kitu flani nk nk,hawa watu mara nyingi biashara huiwaza angali ameshika pesa,alikua hana hata mpango wa biashara ila kwakua kapata pesa na watu waliomzunguka wengi marafki majiran n wafanyabiashara wanamshawishi,anafungua.. huyu mtu hatoboi.

2.Nimechoka kuajiriwa nataka kufungua biashara yangu

Huyu nae ni wale wale yaniiii watu wa namna hii mimi nawaitaga ni wavivu,ukimuuliza kwann anasema amechoka kuajiriwa utamskia anakwambia kazi nyingi sanaa,naamka asubuhi sana narudi usiku,yani sina uhuru kila mahali kwenda hadi ruhusa, hana sababu ambayo ukiiskia unasema yes kweli huyu anahitaji kujiajiri, Hana Mawazo Hana kitu ni mweupe pee anachojua yeye ni afungue biashara yake.. Kamaliza. Asijue kuwa hamna adhabu kali kama kujiajiri.

3.Nina 2m hivi unanishauri nifungue biashara gani

Kuna watu nawasikitikiaga ila sina la kufanya nawajibu tu vile wanavyoniuliza,ila ki ukweli najua moyoni mwangu huyu na hii hela yake inaenda kupotea yoteee,ila ki ukweli watu wenye mitaji na hawajui waifanyie nini wapo kwenye risk sana.

4.Kuna biashara naskia ina hela sana,ngoja niifanye

Hawa ni wale watu ambao yeye anafanya hiyo biashara kwsabbu kasikia ina pesa,anaifungua hiyoo biashara kwasababu anamuona mtu inamlipa kama n mama ntilie na yeye anataka aige,hajui mwenzake faida anaipataje anachojua yeye ile biashaara ina pesa "naitaka namimi kuifanya".

5.Natafuta mtaji Mwakani hivi ntaanza Biashara yangu


Ukiona tu una mawazo ya hivi,jua huko mwakani kukifika utapata excuse ingine.. biashara hainaga cha kesho Ukiamua kuianza unaanza hapo hapo ulipo yani sasa hivi bila kujali una pesa au hauna hiyo ndio biashara na ujasiriamali,tunaaanzia na kile kilichopo hatusubiri kesho wala badae wala mwakani kwasababu mwakani kuna ratba zake zingine.

Hao ni watu watano ambao ktk wale ambao biashara zao nyingi zinakufa wengi hutokea kwenye 1 ya haya makundi matano,sasa unaweza ukajiuliza ni mtu gani akifungua biashara atafanikiwa,mbona kama makundi yote matano yamegusa kila mtu?

Hapana,kuna kundi 1 ambalo tunasema ni wale wenye "utayari" uthubutu na waliodhamiria kweli kufanya wanachokitaka bila kujali wana mtaji kiasi gani pale walipo.

Mfano kuna mtu ana lengo la kuja kufungua LIQUOR STORE ila amejiangalia akiba yake anajkuta ana sh.laki 1 au ana elfu hamsni tu,Mfanyabiashara wa kweli hutomsikia akikwambia ngoja nitafute mtaji halafu nitafungua mwakani au mwezi ujao...

mfanyabiashara OG huanza na alichonacho ana sh laki 1 mfukoni target yake si kuja kumiliki liquor store ya maana,anaweka target mbele ila kwasasa na hii laki yake ataenda nunua konyagi,valuer,double kick,na vinywaj vingine vya kupima pima ambavyo vitatoshea pesa yake...

Ataenda sehemu yenye mchanganyiko au atatafuta location yake atatega pale na mwamvuli wake atauza vyombo vyake, ataongezea na vocha,sigara nk..kumbuka anapoanza ataonekana kama jinga flani (watu hawajui target ya mwenzao ni ipi) ataanza kazi mdogo mdogo.

day 1 atauza kikonyagi kidogo,mara day 2 atamaliza konyagi kubwa ataenda akipanda mdogo mdogo hadi atakua akiuza Konyagi chupa zima,mtaji unakua alianza na mizinga miwili,ataenda akiongeza hadi atapoona inatosha,anahamia kinywaji kingine,hvyo hvyo.

Huyu mtu kufika mwakani atakua na kasehemu ambacho mtu kama hazard cfc akikatza tu pale lazima atafute kiti akae apashe koo,kwasababu huyu mtu ana malengo na anajua anapoelekea ukimtafuta baada ya miaka mi 5 Utamkuta na LIQUOR STORE yenye Wateja wa kutosha, ana channel za kutosha, anajua bei hadi za vizibo vya double kick humdanganyi kitu,anajua bei hadi za sticker za konyagi yani hamna asichojua kuhusu vinywaji vyake.

Huyu mtu biashara yake kufa ni Mumloge AFE ila sio mumloge mumuache hai,Mlogeni AFE ndio mtakua mmemuweza ila ukimloga akaumwa biashara ika drop Akipona akirudi uwanjani Hachukui round nyingi kufika alipokua, Kwanini unajua? Kwasababu hakutaka shortcut.

Mtaji wa biashara na ujasiriamali ni MUDA na wengi hili limewashindwa ndio mana anataka aanze biashara na mtaji wa mil.10 aanze biashara na mtaji wakupika kilo 6,aanze biashara na kununua bodaboda yake mwenyewe,aaanzie juuu Hamna anaetaka anzia huku sakafuni, na kama unajijua unafanya biashara hujui unachouza kinapatikana wapi Dear huna round wewe.

kuna mtu anauza majiko ya mkaa ila hajui majiko ya mkaa yanatengenezewa wapi,anachojua yeye majiko ya mkaa yakikarbia kuisha anapga simu analetewa,hadi alipo.

kuna mtu anauza mkaaa ila muulize mkaa una uza unautoa wapi,atakujibu easy tu "naletewaga na kaka mmoja yupo ruvu anamkaa mzuri bei nzuri kweli" muulize kawahi fika huko ruvu? ana uhakika na bei anayouziwa n nzuri kama anavyoipamba? watu ni wavivu watu wanapenda shortcut ndio mana wanafungua biashara mwaka tu zinakufa.

ila wapo ambao wataonekana wachawi,wameaga,wana bahati,nk kwasababu biashara zao hazifi,,biashara haina uchawi biashara inahtaji kufata utaratbu hatua kwa hatua usiruke hatua hata 1,ukijifanya unataka kukimbia tu ukaruka hatua tano mbele "siku 1 itaku cost" biashara hailazimishwi inajiendesha yenyewe taratbu mdogo mdogo.

Kuna watu wanataka nenepesha ng'ombe siku za minada,hatonenepa ila atavimbiwa,makundi ma 5 pale juu ni aina ya watu wapenda shortcut,akili yao inawaza pesa kuliko Biashara yenyewe.

Biashara si pesa tu,unapofanya biashara unahitaji faida mbili 1.wateja 2.pesa Faida namba 1 n wateja, sasa wewe unataka kuanza na mtaji wa mil.10 ili ukunje faida LAKI kwa siku, Hao wateja wakukupa laki per day unao? au unataka ukapge ramli?

Acheni shortcut,kubali kwamba biashara si pesa tu kuna siku watu wanarudi majumbani mwao hawana hata senti 5 faida yote kala mchana usiku na matumizi mengine,hajaweka akiba hata sent ila Ana amani ana furaha,kwanini unajua? hajapata pesa ya kuweka kwenye Kibubu ila kapata Faida ya Wateja,amepata wateja ambao siku 1 watakuja kumpa pesa mara mbili au tatu ya ambazo angezipata leo.

Badilika kama ulikua upo ktk kundi mojawapo pale juu, Biashara ina hela kweli (hata sio uongo) lakini ili uone pesa kimaukweliiiiii yakupasa ukubali kutoa sadaka muda wako na kila ulichonacho,nikisema muda siongelei masaa ua siku kadhaa naongelea ishu za miaka kadhaaa, Hakuna kirahisi wakuu anaewambia ni rahisi anawapotosha.

Asante kwa kusoma,naamini umepata kitu.
Words..ila acha utapeli.
 
1.Kapata Pesa za Ghafla

Hapa kuna wale wenzangu wa michezo ya bahati na sibu au kuna mirathi,kuuza kitu flani nk nk,hawa watu mara nyingi biashara huiwaza angali ameshika pesa,alikua hana hata mpango wa biashara ila kwakua kapata pesa na watu waliomzunguka wengi marafki majiran n wafanyabiashara wanamshawishi,anafungua.. huyu mtu hatoboi.

2.Nimechoka kuajiriwa nataka kufungua biashara yangu

Huyu nae ni wale wale yaniiii watu wa namna hii mimi nawaitaga ni wavivu,ukimuuliza kwann anasema amechoka kuajiriwa utamskia anakwambia kazi nyingi sanaa,naamka asubuhi sana narudi usiku,yani sina uhuru kila mahali kwenda hadi ruhusa, hana sababu ambayo ukiiskia unasema yes kweli huyu anahitaji kujiajiri, Hana Mawazo Hana kitu ni mweupe pee anachojua yeye ni afungue biashara yake.. Kamaliza. Asijue kuwa hamna adhabu kali kama kujiajiri.

3.Nina 2m hivi unanishauri nifungue biashara gani

Kuna watu nawasikitikiaga ila sina la kufanya nawajibu tu vile wanavyoniuliza,ila ki ukweli najua moyoni mwangu huyu na hii hela yake inaenda kupotea yoteee,ila ki ukweli watu wenye mitaji na hawajui waifanyie nini wapo kwenye risk sana.

4.Kuna biashara naskia ina hela sana,ngoja niifanye

Hawa ni wale watu ambao yeye anafanya hiyo biashara kwsabbu kasikia ina pesa,anaifungua hiyoo biashara kwasababu anamuona mtu inamlipa kama n mama ntilie na yeye anataka aige,hajui mwenzake faida anaipataje anachojua yeye ile biashaara ina pesa "naitaka namimi kuifanya".

5.Natafuta mtaji Mwakani hivi ntaanza Biashara yangu

Ukiona tu una mawazo ya hivi,jua huko mwakani kukifika utapata excuse ingine.. biashara hainaga cha kesho Ukiamua kuianza unaanza hapo hapo ulipo yani sasa hivi bila kujali una pesa au hauna hiyo ndio biashara na ujasiriamali,tunaaanzia na kile kilichopo hatusubiri kesho wala badae wala mwakani kwasababu mwakani kuna ratba zake zingine.

Hao ni watu watano ambao ktk wale ambao biashara zao nyingi zinakufa wengi hutokea kwenye 1 ya haya makundi matano,sasa unaweza ukajiuliza ni mtu gani akifungua biashara atafanikiwa,mbona kama makundi yote matano yamegusa kila mtu?

Hapana,kuna kundi 1 ambalo tunasema ni wale wenye "utayari" uthubutu na waliodhamiria kweli kufanya wanachokitaka bila kujali wana mtaji kiasi gani pale walipo.

Mfano kuna mtu ana lengo la kuja kufungua LIQUOR STORE ila amejiangalia akiba yake anajkuta ana sh.laki 1 au ana elfu hamsni tu,Mfanyabiashara wa kweli hutomsikia akikwambia ngoja nitafute mtaji halafu nitafungua mwakani au mwezi ujao...

mfanyabiashara OG huanza na alichonacho ana sh laki 1 mfukoni target yake si kuja kumiliki liquor store ya maana,anaweka target mbele ila kwasasa na hii laki yake ataenda nunua konyagi,valuer,double kick,na vinywaj vingine vya kupima pima ambavyo vitatoshea pesa yake...

Ataenda sehemu yenye mchanganyiko au atatafuta location yake atatega pale na mwamvuli wake atauza vyombo vyake, ataongezea na vocha,sigara nk..kumbuka anapoanza ataonekana kama jinga flani (watu hawajui target ya mwenzao ni ipi) ataanza kazi mdogo mdogo.

day 1 atauza kikonyagi kidogo,mara day 2 atamaliza konyagi kubwa ataenda akipanda mdogo mdogo hadi atakua akiuza Konyagi chupa zima,mtaji unakua alianza na mizinga miwili,ataenda akiongeza hadi atapoona inatosha,anahamia kinywaji kingine,hvyo hvyo.

Huyu mtu kufika mwakani atakua na kasehemu ambacho mtu kama hazard cfc akikatza tu pale lazima atafute kiti akae apashe koo,kwasababu huyu mtu ana malengo na anajua anapoelekea ukimtafuta baada ya miaka mi 5 Utamkuta na LIQUOR STORE yenye Wateja wa kutosha, ana channel za kutosha, anajua bei hadi za vizibo vya double kick humdanganyi kitu,anajua bei hadi za sticker za konyagi yani hamna asichojua kuhusu vinywaji vyake.

Huyu mtu biashara yake kufa ni Mumloge AFE ila sio mumloge mumuache hai,Mlogeni AFE ndio mtakua mmemuweza ila ukimloga akaumwa biashara ika drop Akipona akirudi uwanjani Hachukui round nyingi kufika alipokua, Kwanini unajua? Kwasababu hakutaka shortcut.

Mtaji wa biashara na ujasiriamali ni MUDA na wengi hili limewashindwa ndio mana anataka aanze biashara na mtaji wa mil.10 aanze biashara na mtaji wakupika kilo 6,aanze biashara na kununua bodaboda yake mwenyewe,aaanzie juuu Hamna anaetaka anzia huku sakafuni, na kama unajijua unafanya biashara hujui unachouza kinapatikana wapi Dear huna round wewe.

kuna mtu anauza majiko ya mkaa ila hajui majiko ya mkaa yanatengenezewa wapi,anachojua yeye majiko ya mkaa yakikarbia kuisha anapga simu analetewa,hadi alipo.

kuna mtu anauza mkaaa ila muulize mkaa una uza unautoa wapi,atakujibu easy tu "naletewaga na kaka mmoja yupo ruvu anamkaa mzuri bei nzuri kweli" muulize kawahi fika huko ruvu? ana uhakika na bei anayouziwa n nzuri kama anavyoipamba? watu ni wavivu watu wanapenda shortcut ndio mana wanafungua biashara mwaka tu zinakufa.

ila wapo ambao wataonekana wachawi,wameaga,wana bahati,nk kwasababu biashara zao hazifi,,biashara haina uchawi biashara inahtaji kufata utaratbu hatua kwa hatua usiruke hatua hata 1,ukijifanya unataka kukimbia tu ukaruka hatua tano mbele "siku 1 itaku cost" biashara hailazimishwi inajiendesha yenyewe taratbu mdogo mdogo.

Kuna watu wanataka nenepesha ng'ombe siku za minada,hatonenepa ila atavimbiwa,makundi ma 5 pale juu ni aina ya watu wapenda shortcut,akili yao inawaza pesa kuliko Biashara yenyewe.

Biashara si pesa tu,unapofanya biashara unahitaji faida mbili 1.wateja 2.pesa Faida namba 1 n wateja, sasa wewe unataka kuanza na mtaji wa mil.10 ili ukunje faida LAKI kwa siku, Hao wateja wakukupa laki per day unao? au unataka ukapge ramli?

Acheni shortcut,kubali kwamba biashara si pesa tu kuna siku watu wanarudi majumbani mwao hawana hata senti 5 faida yote kala mchana usiku na matumizi mengine,hajaweka akiba hata sent ila Ana amani ana furaha,kwanini unajua? hajapata pesa ya kuweka kwenye Kibubu ila kapata Faida ya Wateja,amepata wateja ambao siku 1 watakuja kumpa pesa mara mbili au tatu ya ambazo angezipata leo.

Badilika kama ulikua upo ktk kundi mojawapo pale juu, Biashara ina hela kweli (hata sio uongo) lakini ili uone pesa kimaukweliiiiii yakupasa ukubali kutoa sadaka muda wako na kila ulichonacho,nikisema muda siongelei masaa ua siku kadhaa naongelea ishu za miaka kadhaaa, Hakuna kirahisi wakuu anaewambia ni rahisi anawapotosha.

Asante kwa kusoma,naamini umepata kitu.
Kundi langu silioni hapa andika upya
 
1.Kapata Pesa za Ghafla

Hapa kuna wale wenzangu wa michezo ya bahati na sibu au kuna mirathi,kuuza kitu flani nk nk,hawa watu mara nyingi biashara huiwaza angali ameshika pesa,alikua hana hata mpango wa biashara ila kwakua kapata pesa na watu waliomzunguka wengi marafki majiran n wafanyabiashara wanamshawishi,anafungua.. huyu mtu hatoboi.

2.Nimechoka kuajiriwa nataka kufungua biashara yangu

Huyu nae ni wale wale yaniiii watu wa namna hii mimi nawaitaga ni wavivu,ukimuuliza kwann anasema amechoka kuajiriwa utamskia anakwambia kazi nyingi sanaa,naamka asubuhi sana narudi usiku,yani sina uhuru kila mahali kwenda hadi ruhusa, hana sababu ambayo ukiiskia unasema yes kweli huyu anahitaji kujiajiri, Hana Mawazo Hana kitu ni mweupe pee anachojua yeye ni afungue biashara yake.. Kamaliza. Asijue kuwa hamna adhabu kali kama kujiajiri.

3.Nina 2m hivi unanishauri nifungue biashara gani

Kuna watu nawasikitikiaga ila sina la kufanya nawajibu tu vile wanavyoniuliza,ila ki ukweli najua moyoni mwangu huyu na hii hela yake inaenda kupotea yoteee,ila ki ukweli watu wenye mitaji na hawajui waifanyie nini wapo kwenye risk sana.

4.Kuna biashara naskia ina hela sana,ngoja niifanye

Hawa ni wale watu ambao yeye anafanya hiyo biashara kwsabbu kasikia ina pesa,anaifungua hiyoo biashara kwasababu anamuona mtu inamlipa kama n mama ntilie na yeye anataka aige,hajui mwenzake faida anaipataje anachojua yeye ile biashaara ina pesa "naitaka namimi kuifanya".

5.Natafuta mtaji Mwakani hivi ntaanza Biashara yangu


Ukiona tu una mawazo ya hivi,jua huko mwakani kukifika utapata excuse ingine.. biashara hainaga cha kesho Ukiamua kuianza unaanza hapo hapo ulipo yani sasa hivi bila kujali una pesa au hauna hiyo ndio biashara na ujasiriamali,tunaaanzia na kile kilichopo hatusubiri kesho wala badae wala mwakani kwasababu mwakani kuna ratba zake zingine.

Hao ni watu watano ambao ktk wale ambao biashara zao nyingi zinakufa wengi hutokea kwenye 1 ya haya makundi matano,sasa unaweza ukajiuliza ni mtu gani akifungua biashara atafanikiwa,mbona kama makundi yote matano yamegusa kila mtu?

Hapana,kuna kundi 1 ambalo tunasema ni wale wenye "utayari" uthubutu na waliodhamiria kweli kufanya wanachokitaka bila kujali wana mtaji kiasi gani pale walipo.

Mfano kuna mtu ana lengo la kuja kufungua LIQUOR STORE ila amejiangalia akiba yake anajkuta ana sh.laki 1 au ana elfu hamsni tu,Mfanyabiashara wa kweli hutomsikia akikwambia ngoja nitafute mtaji halafu nitafungua mwakani au mwezi ujao...

mfanyabiashara OG huanza na alichonacho ana sh laki 1 mfukoni target yake si kuja kumiliki liquor store ya maana,anaweka target mbele ila kwasasa na hii laki yake ataenda nunua konyagi,valuer,double kick,na vinywaj vingine vya kupima pima ambavyo vitatoshea pesa yake...

Ataenda sehemu yenye mchanganyiko au atatafuta location yake atatega pale na mwamvuli wake atauza vyombo vyake, ataongezea na vocha,sigara nk..kumbuka anapoanza ataonekana kama jinga flani (watu hawajui target ya mwenzao ni ipi) ataanza kazi mdogo mdogo.

day 1 atauza kikonyagi kidogo,mara day 2 atamaliza konyagi kubwa ataenda akipanda mdogo mdogo hadi atakua akiuza Konyagi chupa zima,mtaji unakua alianza na mizinga miwili,ataenda akiongeza hadi atapoona inatosha,anahamia kinywaji kingine,hvyo hvyo.

Huyu mtu kufika mwakani atakua na kasehemu ambacho mtu kama hazard cfc akikatza tu pale lazima atafute kiti akae apashe koo,kwasababu huyu mtu ana malengo na anajua anapoelekea ukimtafuta baada ya miaka mi 5 Utamkuta na LIQUOR STORE yenye Wateja wa kutosha, ana channel za kutosha, anajua bei hadi za vizibo vya double kick humdanganyi kitu,anajua bei hadi za sticker za konyagi yani hamna asichojua kuhusu vinywaji vyake.

Huyu mtu biashara yake kufa ni Mumloge AFE ila sio mumloge mumuache hai,Mlogeni AFE ndio mtakua mmemuweza ila ukimloga akaumwa biashara ika drop Akipona akirudi uwanjani Hachukui round nyingi kufika alipokua, Kwanini unajua? Kwasababu hakutaka shortcut.

Mtaji wa biashara na ujasiriamali ni MUDA na wengi hili limewashindwa ndio mana anataka aanze biashara na mtaji wa mil.10 aanze biashara na mtaji wakupika kilo 6,aanze biashara na kununua bodaboda yake mwenyewe,aaanzie juuu Hamna anaetaka anzia huku sakafuni, na kama unajijua unafanya biashara hujui unachouza kinapatikana wapi Dear huna round wewe.

kuna mtu anauza majiko ya mkaa ila hajui majiko ya mkaa yanatengenezewa wapi,anachojua yeye majiko ya mkaa yakikarbia kuisha anapga simu analetewa,hadi alipo.

kuna mtu anauza mkaaa ila muulize mkaa una uza unautoa wapi,atakujibu easy tu "naletewaga na kaka mmoja yupo ruvu anamkaa mzuri bei nzuri kweli" muulize kawahi fika huko ruvu? ana uhakika na bei anayouziwa n nzuri kama anavyoipamba? watu ni wavivu watu wanapenda shortcut ndio mana wanafungua biashara mwaka tu zinakufa.

ila wapo ambao wataonekana wachawi,wameaga,wana bahati,nk kwasababu biashara zao hazifi,,biashara haina uchawi biashara inahtaji kufata utaratbu hatua kwa hatua usiruke hatua hata 1,ukijifanya unataka kukimbia tu ukaruka hatua tano mbele "siku 1 itaku cost" biashara hailazimishwi inajiendesha yenyewe taratbu mdogo mdogo.

Kuna watu wanataka nenepesha ng'ombe siku za minada,hatonenepa ila atavimbiwa,makundi ma 5 pale juu ni aina ya watu wapenda shortcut,akili yao inawaza pesa kuliko Biashara yenyewe.

Biashara si pesa tu,unapofanya biashara unahitaji faida mbili 1.wateja 2.pesa Faida namba 1 n wateja, sasa wewe unataka kuanza na mtaji wa mil.10 ili ukunje faida LAKI kwa siku, Hao wateja wakukupa laki per day unao? au unataka ukapge ramli?

Acheni shortcut,kubali kwamba biashara si pesa tu kuna siku watu wanarudi majumbani mwao hawana hata senti 5 faida yote kala mchana usiku na matumizi mengine,hajaweka akiba hata sent ila Ana amani ana furaha,kwanini unajua? hajapata pesa ya kuweka kwenye Kibubu ila kapata Faida ya Wateja,amepata wateja ambao siku 1 watakuja kumpa pesa mara mbili au tatu ya ambazo angezipata leo.

Badilika kama ulikua upo ktk kundi mojawapo pale juu, Biashara ina hela kweli (hata sio uongo) lakini ili uone pesa kimaukweliiiiii yakupasa ukubali kutoa sadaka muda wako na kila ulichonacho,nikisema muda siongelei masaa ua siku kadhaa naongelea ishu za miaka kadhaaa, Hakuna kirahisi wakuu anaewambia ni rahisi anawapotosha.

Asante kwa kusoma,naamini umepata kitu.

Perfect
 
1.Kapata Pesa za Ghafla

Hapa kuna wale wenzangu wa michezo ya bahati na sibu au kuna mirathi,kuuza kitu flani nk nk,hawa watu mara nyingi biashara huiwaza angali ameshika pesa,alikua hana hata mpango wa biashara ila kwakua kapata pesa na watu waliomzunguka wengi marafki majiran n wafanyabiashara wanamshawishi,anafungua.. huyu mtu hatoboi.

2.Nimechoka kuajiriwa nataka kufungua biashara yangu

Huyu nae ni wale wale yaniiii watu wa namna hii mimi nawaitaga ni wavivu,ukimuuliza kwann anasema amechoka kuajiriwa utamskia anakwambia kazi nyingi sanaa,naamka asubuhi sana narudi usiku,yani sina uhuru kila mahali kwenda hadi ruhusa, hana sababu ambayo ukiiskia unasema yes kweli huyu anahitaji kujiajiri, Hana Mawazo Hana kitu ni mweupe pee anachojua yeye ni afungue biashara yake.. Kamaliza. Asijue kuwa hamna adhabu kali kama kujiajiri.

3.Nina 2m hivi unanishauri nifungue biashara gani

Kuna watu nawasikitikiaga ila sina la kufanya nawajibu tu vile wanavyoniuliza,ila ki ukweli najua moyoni mwangu huyu na hii hela yake inaenda kupotea yoteee,ila ki ukweli watu wenye mitaji na hawajui waifanyie nini wapo kwenye risk sana.

4.Kuna biashara naskia ina hela sana,ngoja niifanye

Hawa ni wale watu ambao yeye anafanya hiyo biashara kwsabbu kasikia ina pesa,anaifungua hiyoo biashara kwasababu anamuona mtu inamlipa kama n mama ntilie na yeye anataka aige,hajui mwenzake faida anaipataje anachojua yeye ile biashaara ina pesa "naitaka namimi kuifanya".

5.Natafuta mtaji Mwakani hivi ntaanza Biashara yangu

Ukiona tu una mawazo ya hivi,jua huko mwakani kukifika utapata excuse ingine.. biashara hainaga cha kesho Ukiamua kuianza unaanza hapo hapo ulipo yani sasa hivi bila kujali una pesa au hauna hiyo ndio biashara na ujasiriamali,tunaaanzia na kile kilichopo hatusubiri kesho wala badae wala mwakani kwasababu mwakani kuna ratba zake zingine.

Hao ni watu watano ambao ktk wale ambao biashara zao nyingi zinakufa wengi hutokea kwenye 1 ya haya makundi matano,sasa unaweza ukajiuliza ni mtu gani akifungua biashara atafanikiwa,mbona kama makundi yote matano yamegusa kila mtu?

Hapana,kuna kundi 1 ambalo tunasema ni wale wenye "utayari" uthubutu na waliodhamiria kweli kufanya wanachokitaka bila kujali wana mtaji kiasi gani pale walipo.

Mfano kuna mtu ana lengo la kuja kufungua LIQUOR STORE ila amejiangalia akiba yake anajkuta ana sh.laki 1 au ana elfu hamsni tu,Mfanyabiashara wa kweli hutomsikia akikwambia ngoja nitafute mtaji halafu nitafungua mwakani au mwezi ujao...

mfanyabiashara OG huanza na alichonacho ana sh laki 1 mfukoni target yake si kuja kumiliki liquor store ya maana,anaweka target mbele ila kwasasa na hii laki yake ataenda nunua konyagi,valuer,double kick,na vinywaj vingine vya kupima pima ambavyo vitatoshea pesa yake...

Ataenda sehemu yenye mchanganyiko au atatafuta location yake atatega pale na mwamvuli wake atauza vyombo vyake, ataongezea na vocha,sigara nk..kumbuka anapoanza ataonekana kama jinga flani (watu hawajui target ya mwenzao ni ipi) ataanza kazi mdogo mdogo.

day 1 atauza kikonyagi kidogo,mara day 2 atamaliza konyagi kubwa ataenda akipanda mdogo mdogo hadi atakua akiuza Konyagi chupa zima,mtaji unakua alianza na mizinga miwili,ataenda akiongeza hadi atapoona inatosha,anahamia kinywaji kingine,hvyo hvyo.

Huyu mtu kufika mwakani atakua na kasehemu ambacho mtu kama hazard cfc akikatza tu pale lazima atafute kiti akae apashe koo,kwasababu huyu mtu ana malengo na anajua anapoelekea ukimtafuta baada ya miaka mi 5 Utamkuta na LIQUOR STORE yenye Wateja wa kutosha, ana channel za kutosha, anajua bei hadi za vizibo vya double kick humdanganyi kitu,anajua bei hadi za sticker za konyagi yani hamna asichojua kuhusu vinywaji vyake.

Huyu mtu biashara yake kufa ni Mumloge AFE ila sio mumloge mumuache hai,Mlogeni AFE ndio mtakua mmemuweza ila ukimloga akaumwa biashara ika drop Akipona akirudi uwanjani Hachukui round nyingi kufika alipokua, Kwanini unajua? Kwasababu hakutaka shortcut.

Mtaji wa biashara na ujasiriamali ni MUDA na wengi hili limewashindwa ndio mana anataka aanze biashara na mtaji wa mil.10 aanze biashara na mtaji wakupika kilo 6,aanze biashara na kununua bodaboda yake mwenyewe,aaanzie juuu Hamna anaetaka anzia huku sakafuni, na kama unajijua unafanya biashara hujui unachouza kinapatikana wapi Dear huna round wewe.

kuna mtu anauza majiko ya mkaa ila hajui majiko ya mkaa yanatengenezewa wapi,anachojua yeye majiko ya mkaa yakikarbia kuisha anapga simu analetewa,hadi alipo.

kuna mtu anauza mkaaa ila muulize mkaa una uza unautoa wapi,atakujibu easy tu "naletewaga na kaka mmoja yupo ruvu anamkaa mzuri bei nzuri kweli" muulize kawahi fika huko ruvu? ana uhakika na bei anayouziwa n nzuri kama anavyoipamba? watu ni wavivu watu wanapenda shortcut ndio mana wanafungua biashara mwaka tu zinakufa.

ila wapo ambao wataonekana wachawi,wameaga,wana bahati,nk kwasababu biashara zao hazifi,,biashara haina uchawi biashara inahtaji kufata utaratbu hatua kwa hatua usiruke hatua hata 1,ukijifanya unataka kukimbia tu ukaruka hatua tano mbele "siku 1 itaku cost" biashara hailazimishwi inajiendesha yenyewe taratbu mdogo mdogo.

Kuna watu wanataka nenepesha ng'ombe siku za minada,hatonenepa ila atavimbiwa,makundi ma 5 pale juu ni aina ya watu wapenda shortcut,akili yao inawaza pesa kuliko Biashara yenyewe.

Biashara si pesa tu,unapofanya biashara unahitaji faida mbili 1.wateja 2.pesa Faida namba 1 n wateja, sasa wewe unataka kuanza na mtaji wa mil.10 ili ukunje faida LAKI kwa siku, Hao wateja wakukupa laki per day unao? au unataka ukapge ramli?

Acheni shortcut,kubali kwamba biashara si pesa tu kuna siku watu wanarudi majumbani mwao hawana hata senti 5 faida yote kala mchana usiku na matumizi mengine,hajaweka akiba hata sent ila Ana amani ana furaha,kwanini unajua? hajapata pesa ya kuweka kwenye Kibubu ila kapata Faida ya Wateja,amepata wateja ambao siku 1 watakuja kumpa pesa mara mbili au tatu ya ambazo angezipata leo.

Badilika kama ulikua upo ktk kundi mojawapo pale juu, Biashara ina hela kweli (hata sio uongo) lakini ili uone pesa kimaukweliiiiii yakupasa ukubali kutoa sadaka muda wako na kila ulichonacho,nikisema muda siongelei masaa ua siku kadhaa naongelea ishu za miaka kadhaaa, Hakuna kirahisi wakuu anaewambia ni rahisi anawapotosha.

Asante kwa kusoma,naamini umepata kitu.
Ohooo
 
Mr. Controller: aiseeeeh umebarikiwa sana kuwa cons mzuri sana hivi nikuombe jambo andika vitabu bas ili unachokifanya humu kije kisaidie na kizazi kinachokuja baada ya sisi wa leo kwani unamapin sana katika kumshauri binadamu muelewa na mwenye maono y a mbali
Jf ni 'kitabu' cha kidigitali unahitaji nini tena? Enjoy..
 
Back
Top Bottom