Makundi Kombe la Dunia Qatar 2022: Manalionaje kundi letu tulipo Tanzania? Tutatoboa?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,196
25,516
Hatimaye makundi kumi ya A-J ya kuwania nafasi tano za kushiriki Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka 2022 kwa nchi za Afrika yamepangwa. Ni haya yafuatayo:
Kundi A: Algeria, Burkina Faso, Niger na Djibouti
Kundi B: Tunisia, Zambia,Mauritania na Equatorial Guinea
Kundi C: Nigeria, Cape Verde Islands, Central African Republic na Liberia
Kundi D: Cameroon, Ivory Coast, Mozambique na Malawi
Kundi E: Mali, Uganda, Kenya na Rwanda
Kundi F: Egypt, Gabon, Libya na Angola
Kundi G: Ghana, South Africa, Zimbabwe na Ethiopia
Kundi H: Senegal, Congo, Namibia na Togo
Kundi I: Morocco, Guinea, Guinea-Bissau na Sudan
Kundi J: Congo DR, Benin, Madagascar na Tanzania

Muhimu: Mechi za Makundi zitachezwa kati ya Machi mwaka huu na Oktoba mwakani. Baadaye, washindi kumi (mshindi wa kwanza wa kila kundi) watapambanishwa kwa droo ya mechi mbili itakayotoa washindi watano watakaoiwakilisha Afrika kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar.

Wajuzi wa soka, mashabiki na wachambuzi, mnalionaje kundi tulipo Tanzania? Tutatoboa?
 
Uganda anaweza kutuwakilisha East Africa katika michuano ya Kombe la Dunia.
 
Hatimaye makundi kumi ya A-J ya kuwania nafasi tano za kushiriki Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka 2022 kwa nchi za Afrika yamepangwa. Ni haya yafuatayo:
Kundi A: Algeria, Burkina Faso, Niger na Djibouti
Kundi B: Tunisia, Zambia,Mauritania na Equatorial Guinea
Kundi C: Nigeria, Cape Verde Islands, Central African Republic na Liberia
Kundi D: Cameroon, Ivory Coast, Mozambique na Malawi
Kundi E: Mali, Uganda, Kenya na Rwanda
Kundi F: Egypt, Gabon, Libya na Angola
Kundi G: Ghana, South Africa, Zimbabwe na Ethiopia
Kundi H: Senegal, Congo, Namibia na Togo
Kundi I: Morocco, Guinea, Guinea-Bissau na Sudan
Kundi J: Congo DR, Benin, Madagascar na Tanzania

Muhimu: Mechi za Makundi zitachezwa kati ya Machi mwaka huu na Oktoba mwakani. Baadaye, washindi kumi (mshindi wa kwanza wa kila kundi) watapambanishwa kwa droo ya mechi mbili itakayotoa washindi watano watakaoiwakilisha Afrika kwenye michuano ya Kombe la Dunia nchini Qatar.

Wajuzi wa soka, mashabiki na wachambuzi, mnalionaje kundi tulipo Tanzania? Tutatoboa?
Tuache kutumia siasa katika michezo, tuwatumie wachezaji wa zamani katika kupata ushauri wa kiufundi, tuwahusishe matajiri katika kuigharamia timu, katika uchaguzi wa wachezaji tuwashikikishe hata wachezaji wazuri kutoka visiwani. Tukiweza kufanya hivi nina uhakika hata kufika robo fainali kombe la dunia 2022.
Mpira unataka kuwekezwa, mpira unataka ufundi, mpira unataka uzalendo hasa kwa timu ya taifa, wachezaji wengi hawapendi kucheza kwa moyo wao wote kutokana na kuhofia kuumia na kushindwa kuendelea na offer walizopewa au wanazo ahidiwa katika vilabu.
 
Mechi za awali zinaanza mwezi Septemba na Oktoba kama sikosei.

Nikiangalia hazina ya wachezaji wetu naona hatuna hazina yoyote ya kutupeleka huko Qatar. Hilo kundi sisi ni under dog.
 
Back
Top Bottom