Makufuri na Mwakyembe kazi ipo!

Paul J

Senior Member
Oct 25, 2010
193
62
Wanajamii forum na watanzania wote kiujumla nimejaribu kuipitia haraka ilani ya chama cha mapindunzi ccm na miongoni mwa vitu nilivyokuwa na interest navyo ni pamoja na mambo yanayoihusu wizara ya Ujenzi ikiongozwa na Dr.John Pombe Makufuri na Dr Mwakyembe. Kimsingi kama wakiweza kukamilisha kazi zote ambazo nimejaribu kuzisummarise hapo zawadi itakayowafaa ni mmojawapo kuwa raisi na mwenzake kuwa waziri mkuu 2015! View attachment 2010-2015 Road Works.xlsx
 
Mkuu naona inafunguka, click kwenye read only ama soma maelekezo yatayojitokeza baada ya kudouble click. Kama ikishindikana then nitaitach kama pdf, vile vile check MS Xcel unayotumia (2007)
 
Hawana maajabu ya kukamilisha ahadi hizo za JK na ndio maana tunasema hao wametegwa mtegoni WOTE WAWILI kwani baada ya muda hasa itakapokaribia uchaguzi 2015 itadhihirika kuwa wameshindwa na ndipo watakapofukuzwa kazi ikidaiwa kuwa wameshindwa kufikia malengo kulingana na ilani ya CCM
 
Mkuu sio makufuri ni magufuri
Wanajamii forum na watanzania wote kiujumla nimejaribu kuipitia haraka ilani ya chama cha mapindunzi ccm na miongoni mwa vitu nilivyokuwa na interest navyo ni pamoja na mambo yanayoihusu wizara ya Ujenzi ikiongozwa na Dr.John Pombe Makufuri na Dr Mwakyembe. Kimsingi kama wakiweza kukamilisha kazi zote ambazo nimejaribu kuzisummarise hapo zawadi itakayowafaa ni mmojawapo kuwa raisi na mwenzake kuwa waziri mkuu 2015! View attachment 17735
 
Back
Top Bottom