Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Unaposoma makubaliano haya kuna vitu viwili vya kuangalia; sehemu ya kwanza kuhusiana na feasibility study na pili kuhusiana na possible terms za mkataba wa makubaliano. Vizuri kuangalia terms hizo na kuona je haziwezi kuweka sehemu yetu kubwa ya ardhi mikononi mwa wageni. Jisomee kwa uchungu.