Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Hakuna nchi ambayo rais wake anaangushwa na wanachama wa upinzani tu.Sijaona chama cha upinzani TZ cha kumuangusha rais JK KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO.
Nchi inaangushwa na wananchi. kwa Tanzania si Chama cha upinzani kinachoweza kumuondoa rais bali wananchi.
Hivyo ulipaswa kusema "sijaona wananchi wa TZ watakaomuangusha rais JK KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO"