Makubaliano ya Serikali na Barrick: Zitto na Waziri kivuli anaehusika na madini ongeeni na waandishi wa habari

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Baada ya kusoma bandiko la Zitto hapa JF,nashauri Zitto either yeye kama yeye au kwa kushirkiana na waziri kivuli anaehusika na madini, kwa pamoja, wawaite waandishi wa habari na wawaeleze uchambuzi wao wa kina ikiwa ni pamoja na kuwapa vielelezo vya ushahidi wa watakayoyasema juu ya nini serikali ilikubaliana na wanaume wa Barrick au wawape link ingawa ni wajibu wa waandishi kutafuta habari hizi na kuwaeleza watanznia.

Nashauri hivi kwasababu yaliyokubaliwa yanapaswa kuwafikia watanzania ili wajue ni namna gani watu waliowapa dhamana wanatumia nafasi walizopewa katika kusimamia maliasili za nchi hii ili wasiendelee kudanganywa na hizi propaganda za kuwa tumepata watu wazalendo kumbe hali ni tofauti kabisa.

Sababu ni nyingine ni kuwa si watanzania wote wanaopita hapa JF au katika mitandao mingine kusoma Zitto kaandika nini au wana interest na kufuatilia mambo ya siasa na uchumi mitandaoni hivyo ni vyema kutumia vyombo vya habari kuwafikishia ujumbe huu muhimu kwani hii nchi ni yao na maliasili hizi ni mali ya watanzania na wana haki ya kujua zinatumikaje.

Naelewe kuwa,mnaweza kuongea na waandishi ila baadhi ya media ama zisiandike chochote huku baadhi zikiandika kidogo tu na kukwepa kuandika mambo ya msingi ama kutokana na hofu,kukosa uzalendo na wengine wakifukuzia uteuzi na mambo kama hayo.

Hata hivyo,vikwazo hivi visiwarudishe nyuma kwani haitakuwa sawa na kutowaita(kuna watakaondika na kusamba clip mitandaoni) na zaidi mtakuwa mmetimiza wajibu wenu kwa Taifa.

Mwisho,msiongee mambo yatayowapa sababu au visingizio vya kuwakamata(zaidi anikeni nyaraka).
 
Mkuu kati ya watu watakao jisikia vibaya baada ya ufafanuzi wa mh zitto Kabwe ni Pascally Mayalla maana alipotosha sana kuanzia asubuhi sijui kwa sababu gani.
Baada ya kusoma bandiko la Zitto hapa JF,nashauri Zitto either yeye kama yeye au kwa kushirkiana na waziri kivuli anaehusika na madini, kwa pamoja, wawaite waandishi wa habari na wawaeleze uchambuzi wao wa kina ikiwa ni pamoja na kuwapa vielelezo vya ushahidi wa watakayoyasema juu ya nini serikali ilikubaliana na wanaume wa Barrick au wawape link ingawa ni wajibu wa waandishi kutafuta habari hizi na kuwaeleza watanznia.

Nashauri hivi kwasababu yaliyokubaliwa yanapaswa kuwafikia watanzania ili wajue ni namna gani watu waliowapa dhamana wanatumia nafasi walizopewa katika kusimamia maliasili za nchi hii ili wasiendelee kudanganywa na hizi propaganda za kuwa tumepata watu wazalendo kumbe hali ni tofauti kabisa.

Sababu ni nyingine ni kuwa si watanzania wote wanaopita hapa JF au katika mitandao mingine kusoma Zitto kaandika nini au wana interest na kufuatilia mambo ya siasa na uchumi mitandaoni hivyo ni vyema kutumia vyombo vya habari kuwafikishia ujumbe huu muhimu kwani hii nchi ni yao na maliasili hizi ni mali ya watanzania na wana haki ya kujua zinatumikaje.

Naelewe kuwa,mnaweza kuongea na waandishi ila baadhi ya media ama zisiandike chochote huku baadhi zikiandika kidogo tu na kukwepa kuandika mambo ya msingi ama kutokana na hofu,kukosa uzalendo na wengine wakifukuzia uteuzi na mambo kama hayo.

Hata hivyo,vikwazo hivi visiwarudishe nyuma kwani haitakuwa sawa na kutowaita(kuna watakaondika na kusamba clip mitandaoni) na zaidi mtakuwa mmetimiza wajibu wenu kwa Taifa.

Mwisho,msiongee mambo yatayowapa sababu au visingizio vya kuwakamata(zaidi anikeni nyaraka).
 
Mkuu kati ya watu watakao jisikia vibaya baada ya ufafanuzi wa mh zitto Kabwe ni Pascally Mayalla maana alipotosha sana kuanzia asubuhi sijui kwa sababu gani.
Huyu bwana anajiabishana siku hizi kwa kuwa mtetezi wa huu utawala usioeleweka ni nini unasimamia na kwa masilahi ya nani.
 
Mkuu ushauri mzuri lakini hata wakiwaita media zinazoeleweka km ITV haziwezi kwenda na kama zitakwenda they won't air it. Mkuu tulipofika pabaya sana!
 
Nimeamini aisee kama kutafuta maisha ukiwa bado ukiwa na nguvu na akili zako zinafanya kazi.

Mayalla kaishiwa nguvu na akili pia sasa analazimisha msaada wa uteuzi ili aweze kuishi
Huyu bwana anajiabishana siku hizi kwa kuwa mtetezi wa huu utawala usioeleweka ni nini unasimamia na kwa masilahi ya nani.
 
Tunaomba mungu atuvushe salama kwenye jinamizi hili
Mkuu ushauri mzuri lakini hata wakiwaita media zinazoeleweka km ITV haziwezi kwenda na kama zitakwenda they won't air it. Mkuu tulipofika pabaya sana!
 
Mkuu ushauri mzuri lakini hata wakiwaita media zinazoeleweka km ITV haziwezi kwenda na kama zitakwenda they won't air it. Mkuu tulipofika pabaya sana!
Mimi ndio maana siku hizi siiangali kabisa hivi vituo kwasababu vinaripoti kiuoga na mambo mengi ya hovyo kuhusu huu utawala hawayaripoti isipokuwa zile habari za kusifu na kutukuza.
 
Tunaomba mungu atuvushe salama kwenye jinamizi hili
Mkuu niko nawe lakini usifikiri sehemu yenye mtifuano Mungu hayupo!! Hata kwevye vita Mungu pia huwepo ndiyo maana baada ya kushinda vita ambayo iliambatana na mauaji walioshinda humshukuru Mungu.
 
Mkuu ushauri mzuri lakini hata wakiwaita media zinazoeleweka km ITV haziwezi kwenda na kama zitakwenda they won't air it. Mkuu tulipofika pabaya sana!
Kwa I doubt kama hiyo Press Conference yenyewe itaruhusikwa! Labda kama Zitto kabla hajamwaga sumu kwenye social media, angeanza kwanza na Press Conference kabla Watawala hawajafahamu anataka kuongea nini! Na of course, baadhi ya media zingerusha lakini huenda ingepatikana angalau station moja yenye uthubutu, kama ule uthubutu wa Azam walivyoenda kumhoji Tundu Lissu!
 
Kwenye mambo kama haya ambayo ukweli unafichwa fichwa na uongo urembwa rembwa nasemaga tuu...

Ngoja tuone...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom