Mwinjuma1 chek na link hii Mgogoro wa Mashariki ya Kati (Middle East Crisis) ~ Maisha ni Vita ilipostiwa 2010 Aprilsio anaandika vitu vingine anacopy & pest ingawa ni vizuri sana ila anatakiwa aweke source ya mahali alipotoa aya materials vinginevyo huo ni uwizi km wizi mwingine...xo next time mkuu yeriko uweke source ya materials yk unayotupa...ingawa unafanya kazi nzur sana mambo mengi tunayajua kupitia nyuzi zako big up.....
Mwinjuma1 chek na link hii Mgogoro wa Mashariki ya Kati (Middle East Crisis) ~ Maisha ni Vita ilipostiwa 2010 April
haja acknowledge sehem yoyote... like its his own creationMuulize Kenneth Mwazembe chanzo cha makala hayo,
Mwinjuma1 chek na link hii Mgogoro wa Mashariki ya Kati (Middle East Crisis) ~ Maisha ni Vita ilipostiwa 2010 April
haja acknowledge sehem yoyote... like its his own creation
Big up Yericko Sikujua tote haya. Nimesoma kipengele Kwa kipengele mada imetulia
Nashukuru Yeriko kwa kupoteza mda wako kuandika,sijui Ku copy kama hao wanaosema hivyo ,ila kikubwa naheshimu muda wako na pia kiasi Fulani nimepata kujua Historia ya vita vya Israel na Marekani ...na hili la Kivu ndio kabisa linaonyesha kwanini wanyarwanda walikua na chuki Sana juu yetu baada ya kupeleka vikosi vya m23 nashaangaa wanaosema Habari ni ndefu lakini hakuna series ambazo hawajaangalia
Nashukuru Yeriko kwa kupoteza mda wako kuandika,sijui Ku copy kama hao wanaosema hivyo ,ila kikubwa naheshimu muda wako na pia kiasi Fulani nimepata kujua Historia ya vita vya Israel na Marekani ...na hili la Kivu ndio kabisa linaonyesha kwanini wanyarwanda walikua na chuki Sana juu yetu baada ya kupeleka vikosi vya m23 nashaangaa wanaosema Habari ni ndefu lakini hakuna series ambazo hawajaangalia
Kumradhi ni vita vya Israel na palestina
Ila we jamaa unaandika.. duh!!
Huyu jamaa hajaandika ila amecopy &paste !
Hongera Yericko kwa andiko hili lililojaa historia.
Kuna kiasi gani cha ukweli ndani ya andiko hili nadhani si swali muhimu kwa sasa.
Shukrani mwanahistoria Yericko.
Utashangaa watu wanamkumbuka JK, lakini nfo aliechangia pakubwa nchi kuwa na mikataba ya kishenzi katika kuvuna rasilimali za nchi na uendeshaji wa makampuni.Kumbe Jk na Lowassa ambao hawakukutana barabarani huko waliko kutana walitengeneza mambo mengi fake,kama walivyo kubaliana kuachiana urais bila idhini ya watanzania ambao ndio waajiri wao wa nafasi ya urais,makubaliano ambayo hayakuwa na Baraka za chama chao.
Ndiyo maana wameliingiza Taifa kwenye gharama kubwa kwa mikataba yao fake kwa kuwa wametoka mbali na mambo yao ya fakefake.
Unaelewa maana ya RICHMOND? Ni majina ya watoto wa EL yaani Richard na MondiKama EL ni mwizi kwanini JK na Serikali yake hawakumshtaki kama walivyofanya kwa akina Costa Mahalu?!.
EL ANA SIRI nzito YA RICHMOND.
na itajulikana ikiwa EL atakatwa.
Chadema na lowasa mnamakubaliono gani kwa sasa?Kumbe Lowasa ni mwizi? Why hajafikishwa mahakamani na utawala huu wa Jakaya?