Tetesi: Makubaliano CHADEMA/ACT Wazalendo: Membe kumsapoti Lissu kisha kuteuliwa kuwa Waziri wa Nje

Hapo watakua wamecheza kama pele, ni mwendo wa mgombea mmoja na serikali ya umoja kati ya CDM na ACT.
Do mnaota sana Siku hizi yaan huyo fala kaleta kabandiko kake na nyie kama mazuzu mnadiscus kitu kisichokuwepo .hao viongozi mnaowapa hayo mawazo hata hawaaminiani ila mnatak wanachana wa waamini kituko cha mwaka

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.

Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Tanzania yenu mnayoiota mtaiongoza kwenye ndoto
 
Do mnaota sana Siku hizi yaan huyo fala kaleta kabandiko kake na nyie kama mazuzu mnadiscus kitu kisichokuwepo .hao viongozi mnaowapa hayo mawazo hata hawaaminiani ila mnatak wanachana wa waamini kituko cha mwaka

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Hata Lissu mlisema hatorudi, mwaka huu jiandaeni kisaikolojia, kila mnachodhani hakiwezekani kinakwenda kufanyika.

Umemuona membe akitafuta wadhamini??
 
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.

Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.
Itakuwa poa sana.
 
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.

Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.

D'oh
 
Kule Zenj, ACT ina nguvu sanaaa haihitaj support ya Chadema.
Tz Bara watagawana nafasi baadhi ya miaka CDM mingine ACT.

ACT wakichanga karata vizuri wanaenda kuwa chama kikuu cha upinzani na kuongeza ruzuku yao..

Zitto achague, wamuweke Lissu wao wafulie( kumng'oa JPM na CCM kwa sasa ni ngumu) AU wapambane kivyao bila CDM wawe chama kikuu cha upinzani.

Hapa tutamuona Zitto akili yake. Kumbuka pia Zitto aliitwaga msaliti alishatimuliwa kule CDM.
Hapa patamu sana.
 
Lissu yupo kibunge zaidi,kwenye urasi ni kutafuta umaarufu tuu.....
Mropokaji Sana,akaropokee bungeni kuichallenge serikali,sio kwenye taasisi nyeti ya uraia..HATOSHI KABISA....
 
Kumekucha. Habari zilizovuja ni kuwa kuna makubaliano yamefanyika kati ya ACT na Chadema kuwa upande wa Zanzibar CHADEMA itaingiza nguvu zake kumsapoti Maalim Seif katika pambano la Urais nao ACT Wazalendo watawaunga mkono CHADEMA katika Urais huku bara kwa maana ya Serikali ijayo ambayo kimahesabu itaundwa na Lissu iwe ya ushirikiano na Membe ambaye hatagombea tena abaki kama mshauri wa Lissu kwa sasa na baadae kuja kupewa Wizara ya Mambo ya Nje kwani huko amebobea.

Hakika mambo ni mengi muda mchache. Ila yako Bambam. Naiona Tanzania ya furaha kwa mbaaaali inakuja.

Kama ni kweli basi hilo ni WAZO ZURI SANA, kama siyo kweli basi NATAMANI NA NAOMBA SANA ITOKEE.
 
Kule Zenj, ACT ina nguvu sanaaa haihitaj support ya Chadema.
Tz Bara watagawana nafasi baadhi ya miaka CDM mingine ACT.

ACT wakichanga karata vizuri wanaenda kuwa chama kikuu cha upinzani na kuongeza ruzuku yao..

Zitto achague, wamuweke Lissu wao wafulie( kumng'oa JPM na CCM kwa sasa ni ngumu) AU wapambane kivyao bila CDM wawe chama kikuu cha upinzani.

Hapa tutamuona Zitto akili yake. Kumbuka pia Zitto aliitwaga msaliti alishatimuliwa kule CDM.
Hapa patamu sana.

Kuitwa msaliti siyo hoja, hata lowassa aliitwa mwizi na msaliti lakini alirudi kulekule walikomtukana, kila chama kinahitaji sapoti kila upande japo hili jambo wanalijua wenye hekima tu. Wenye hekima wanaamini katika kukusanya kura pamoja badala ya kuzitawanya.
 
Kuitwa msaliti siyo hoja, hata lowassa aliitwa mwizi na msaliti lakini alirudi kulekule walikomtukana, kila chama kinahitaji sapoti kila upande japo hili jambo wanalijua wenye hekima tu. Wenye hekima wanaamini katika kukusanya kura pamoja badala ya kuzitawanya.


Ni kweli lazima wafikiri kuzikusanya . La kuzingatia unayeshirikiana nae kuzikusanya yupo vipi???

Hakuna mutual benefits. Kila mtu anawaza tumbo lake kupitia mgongo wa wenzie.
 
Back
Top Bottom