Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,500
- Thread starter
- #81
Wale wa popote kambi, tunatembea na soft copies tu, kweli kusoma hardcopy kuna raha yake ila ni gharama na mzigo.
Inalazimu kutembea na softcopies kwa simu au pc ili akili iendelee kuchangamka.
Kweli aisee.