Maktaba yangu ya nyumbani

😂😂😂. Siwezi kugawa au kuuza vitabu. Nimeshindwa kabisa. Na utunzaji wa vitabu ni full time job. Ndo maana vitabu vyangu huwa navipeleka nyumbani kwa wazazi kwasababu wana library system ya kutunza vitabu.

Mimi nikiwa na vitabu vingi sana vitaishia kuwa cluttered all over the place.

And I hate clutter.

Plus, I don’t see any utility in keeping books that I don’t need or use anymore.

Keeping it simple [and neat] is my motto.
 
Mimi nikiwa na vitabu vingi sana vitaishia kuwa cluttered all over the place.
And I hate clutter.
Plus, I don’t see any utility in keeping books that I don’t need or use anymore.
Keeping it simple [and neat] is my motto.
Wewe kweli ni minimalist. Congrats.
 
Quantum Physics na wenzake
Mambo ya cosmos
History & pre history
Self help books
How to books
Film & television books
Nutrition books etc
Safi sana, mimi natafuta cha kuanza kusoma sasa, nimemaliza kusoma "Frederick Douglass: Prophet of Freedom" cha David Blight.

Kilipata tuzo ya Pulitzer mwaka jana.

Kirefu kidogo (kurasa 764 za kitabu chenyewe) lakini historia nzuri sana.

9781416590316_p0_v6_s550x406.jpg
 
Kuna kubishana, halafu kuna kuchezea kipigo.

Mshana Jr kwangu anachezea kipigo tu.
Yule hana uwezo wa kufikia akili yako.. Uwezo wako wa kureason na kuargue ni world class ability. Mshana Jr ni mbabaishaji alietaka kupata cheap popularity kupitia kwako I'm glad ulimpa za uso kwa facts in issue through logic and rhetoric.

Huwa unaniinspire sana Kiranga
 
😂😂😂. Siwezi kugawa au kuuza vitabu. Nimeshindwa kabisa. Na utunzaji wa vitabu ni full time job. Ndo maana vitabu vyangu huwa navipeleka nyumbani kwa wazazi kwasababu wana library system ya kutunza vitabu.

Sina uchoyo wa vitu isipokua kwenye vitabu. Ukihitaji ntakwambia njoo usome nyumbani ukimaliza kiache. Na sababu ni kwamba, mwingine atapata mhemuko anakuomba kitabu hata kama hata kisoma na hakirudishi.

Pili unaweza kubahatika mtu akakirudisha lakini utunzaji tunatofautiana, kitabu kinarudi lakini unakikataa kwamba sio chenyewe kwa jinsi kilivyobadilika rangi na muonekano, hapo sijaongelea wale wanachora au kuweka highlighter kwa maandishi.
 
Sijawahi kusoma kitabu nikakimalizaa....
Kibongobongo huku uhitaji kusoma sana vitabu mana changamoto za maisha si kubwa sana....

Kaelimu haka tu hapa mtaani naonekana alwatan.

Hata nikisoma naona havitakuwa na maana kwa watu wanaonizungukaa.

Maisha yanasonga, ugali na kachumbari napata.

Nisome nini kipya mazee?

Maisha haya nayafurahia vizuri sana tu.

Kusoma Ulaya, bongo ubaya ubaya.
 
Mshana hajui lugha na hawezi kujenga hoja kimantiki.

Quite possibly hajui lugha kwa sababu hawezi kufuatilia hoja kimantiki.
Kujenga hoja ni sayansi ya kimahesabu inayotaka ujuvi wa kuwa umesoma vitabu vingi na uwe na knowledge pana.

Mshana Jr yeye huwa anabishana ili aonekane na yeye kabishana na mtu mkubwa JF kama Kiranga ila kiranga anatumia skills za kufanya argument kwa method tofauti tofauti na anakimudu kiingereza cha ndani saana tofauti na bwana mortuary attendant.
 
Kiranga,

Yes ni kizuri sana. Nimeshakisoma. Tafuta Death of a Nation by Dinesh D'Souza na The Bluest Eye by Toni Morrison.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom