Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,646
Nimekulia katika mazingira ya uanazuoni.
Toka nimeanza kujitambua nilizungukwa na kila aina ya vitabu nyumbani.
Niseme tu kuwa nyumbani kulikuwa na maktaba ndogo.
Ukubwani napo nimejitahidi kwa kiasi chake nami kuwa na kiji maktaba changu cha uongo na kweli.
Sasa basi, hebu tutupie picha hapa za maktaba zetu za nyumbani.
Na si lazima hizo maktaba ziwe ni vitabu tu. Yaweza kuwa chochote kile kama wewe ni stripper tupia stripper outfits zako, stripper heels, nk.
Kama wewe ni mganga wa kienyeji/ mchawi kama Mshana Jr, tupia matunguri yako tuyaone.
Kama wewe ni mbeba maboksi kikweli kweli basi tupia hizo steel-toed boots zako na helmet tuzione.
Naanza kwa kuonyesha njia. Je, kwa kuangalia aina ya vitabu vilivyopo hapo kwa maktaba yangu, waweza kukisia fani yangu?
Here we go....
Toka nimeanza kujitambua nilizungukwa na kila aina ya vitabu nyumbani.
Niseme tu kuwa nyumbani kulikuwa na maktaba ndogo.
Ukubwani napo nimejitahidi kwa kiasi chake nami kuwa na kiji maktaba changu cha uongo na kweli.
Sasa basi, hebu tutupie picha hapa za maktaba zetu za nyumbani.
Na si lazima hizo maktaba ziwe ni vitabu tu. Yaweza kuwa chochote kile kama wewe ni stripper tupia stripper outfits zako, stripper heels, nk.
Kama wewe ni mganga wa kienyeji/ mchawi kama Mshana Jr, tupia matunguri yako tuyaone.
Kama wewe ni mbeba maboksi kikweli kweli basi tupia hizo steel-toed boots zako na helmet tuzione.
Naanza kwa kuonyesha njia. Je, kwa kuangalia aina ya vitabu vilivyopo hapo kwa maktaba yangu, waweza kukisia fani yangu?
Here we go....