Makosa ya watanzania katika lugha, kuwalaumu na kuwacheka wasanii ni ujinga ama ?

Idd Ninga

JF-Expert Member
Nov 18, 2012
5,134
4,293
Inawezakana tunajua ama hatui ila huwa nasema mara nyingi kuna mamia ya wazungu wasiofahamu lugha ya kingereza lakini bado ikawa fahari zaidi kuijua lugha yao kuliko hiyo iitwayo lugha ya dunia (maneno ya kukera kwa wazalendo wa lugha).
kumekuwa na usambazaji wa video kadhaa zinazoonyesha baadhi ya wasanii filamu na muziki wakiwa wanaongelea makosa makosa katika lugha ya kingereza huku video hizo zikiwa na kielelezo cha kuwakejeli ama kuwacheka au kuwaonyesha dharau kuwa hawana elimu huku baadhi ya watu wakiwasihi eti warudi shule kujifunza kiingereza.
siyo kosa kumnasihi mtu kujifunza lugha ya kingereza ila kujua ama kutokujua kingereza siyo kipimo cha elimu maana ingekuwa ni kipimo cha elimu basi waingireza wote wangekuwa wasomi.
kama ni mtu uliewahi kukutana na watu ama watblamu wa mataifa mengine mbali na Tanzania utakiri kwamba mbali na sisi,kwao kuna wanasheria,madaktari,walimu na wasomi wakubwa wasiojua kingereza na tena kingereza kuwa lugha ya changamoto kwao ila bado waka wasomi.
 
Inawezakana tunajua ama hatui ila huwa nasema mara nyingi kuna mamia ya wazungu wasiofahamu lugha ya kingereza lakini bado ikawa fahari zaidi kuijua lugha yao kuliko hiyo iitwayo lugha ya dunia (maneno ya kukera kwa wazalendo wa lugha).
kumekuwa na usambazaji wa video kadhaa zinazoonyesha baadhi ya wasanii filamu na muziki wakiwa wanaongelea makosa makosa katika lugha ya kingereza huku video hizo zikiwa na kielelezo cha kuwakejeli ama kuwacheka au kuwaonyesha dharau kuwa hawana elimu huku baadhi ya watu wakiwasihi eti warudi shule kujifunza kiingereza.
siyo kosa kumnasihi mtu kujifunza lugha ya kingereza ila kujua ama kutokujua kingereza siyo kipimo cha elimu maana ingekuwa ni kipimo cha elimu basi waingireza wote wangekuwa wasomi.
kama ni mtu uliewahi kukutana na watu ama watblamu wa mataifa mengine mbali na Tanzania utakiri kwamba mbali na sisi,kwao kuna wanasheria,madaktari,walimu na wasomi wakubwa wasiojua kingereza na tena kingereza kuwa lugha ya changamoto kwao ila bado waka wasomi.
Uzalendo ni nini?
Uzalendo ni kutukuza kilicho chako na si kung'ang'ania kitu cha kigeni..

Kwa elimu ipi ulionayo ya kuhamasisha watu wazidi kutukuza lugha za kigeni pasipo kutukuza lugha yao? Lugha ya mababu zao na mabibi zao kwani kingereza kina nini

Na tutawacheka Rubbish ikiwa wanajitia kuzungumza mambo wasio yajua

Juzi juzi tu Baraka da Prince et kasema nina PROKOTO Zangu instead ya kusema nina PROTOCAL Zangu tena kwa kurudia rudia hapo pote useme anajifunza kwanini asitumie lugha yakiswahili anachokijua maana hata interview aliokuwa amepewa siyo kwa ajili ya Wazungu ni kwa ajili ya Watanzania wakiwemo Mababu zake na wazazi wake kwanini ajikweze kwenye lugha asiyoijua?

USIPOTOSHE UMMA NA SIDHANI KAMA UNA ELIMU YOYOTE HAPO ULIPO MAANA HAKUNA MSOMI ANAEWEZA KUTUKUZA LUGHA YA KIGENI AACHE KUTUKUZA LUGHA YA WAZAWA
 
Usitake kuendekeza ujinga hapa wewe!!

Katika nchi ambayo wanafunzi wanatumia kiingereza kutoka form one mpaka chuo kikuu, unasema kiingereza sio cha muhimu?????

Kauli kama zako ndio zinawafanya wanafunzi waendelee kudumaa na kushindwa hata kuzungumza maneno mawili ya kiingereza wanaishia kubabaika tu ....the the the.....

Hao wasanii wanajiaibisha wenyewe tu. Kama huwezi kiingereza si uache kuongea???? Umelazimishwa???? Kiherehere chao cha kujifanya Wazungu-Waswahili, mwishowe wanaishia kutujazia ma-actually mia tano ndani ya sentensi moja.

Hujui kiingereza tulia waache wanaojua waendelee kukitumia.

Dunia ya sasa kila kitu ni kiingereza!! Movies, vitabu, machapisho ya internet, educative videos, lectures on youtube, taarifa mbalimbali.... karibu kila kitu.

Nyie mabashite wachache msiojua kiingereza mtupishe, msiwajaze watu ujinga kwa kuwa nyie hamuwezi kuzungumza.
 
Usitake kuendekeza ujinga hapa wewe!!

Katika nchi ambayo wanafunzi wanatumia kiingereza kutoka form one mpaka chuo kikuu, unasema kiingereza sio cha muhimu?????

Kauli kama zako ndio zinawafanya wanafunzi waendelee kudumaa na kushindwa hata kuzungumza maneno mawili ya kiingereza wanaishia kubabaika tu ....the the the.....

Hao wasanii wanajiaibisha wenyewe tu. Kama huwezi kiingereza si uache kuongea???? Umelazimishwa???? Kiherehere chao cha kujifanya Wazungu-Waswahili, mwishowe wanaishia kutujazia ma-actually mia tano ndani ya sentensi moja.

Hujui kiingereza tulia waache wanaojua waendelee kukitumia.

Dunia ya sasa kila kitu ni kiingereza!! Movies, vitabu, machapisho ya internet, educative videos, lectures on youtube, taarifa mbalimbali.... karibu kila kitu.

Nyie mabashite wachache msiojua kiingereza mtupishe, msiwajaze watu ujinga kwa kuwa nyie hamuwezi kuzungumza.
Hapo kwenye nyekundu,nadhani huwa sifichi hata ID yangu,nitafute kwa lugha ya kingereza ili uone najua au sijui,si kingereza tu.
katika rangi ya zambarau,kama kingereza tuongeona cha muhimu,tusingeanza nacho kidato cha kwanza,tungeanza toka msingi.
 
Hapo kwenye nyekundu,nadhani huwa sifichi hata ID yangu,nitafute kwa lugha ya kingereza ili uone najua au sijui,si kingereza tu.
katika rangi ya zambarau,kama kingereza tuongeona cha muhimu,tusingeanza nacho kidato cha kwanza,tungeanza toka msingi.
Umeongea vya mhim ila umearibu kipengere chakusisitiza kuwa kingereza ni chamhimi kiaje yaani?

Kilichopelekea kingereza kipate base kubwa ni kwa sababu kilipata watumiaji wenye nidhamu ya kuenzi lugha yao na vinginevyo....

Kwann tusizungumze kiswahili chetu tu?
 
Umeongea vya mhim ila umearibu kipengere chakusisitiza kuwa kingereza ni chamhimi kiaje yaani?

Kilichopelekea kingereza kipate base kubwa ni kwa sababu kilipata watumiaji wenye nidhamu ya kuenzi lugha yao na vinginevyo....

Kwann tusizungumze kiswahili chetu tu?
hatuwezi kukiacha kiswahili kwa sababu hakituzuii sisi kuyafikia maendeleo tunayiyahitaji na ili kiswahili kiwe kubwa kama kingereza lazima wazungumzaji wakiheshimu.
inawezekana sana ukuaji wa kingereza ulichangiwa na makoloni na hata ukitazama nchi zilizotawaliwa na watu kama wareno basi na nchi hiyo lugha kuu itakuwa ni kireno au kama nchi ilikuwa koloni la kifaransa basi na kifaransa kitakuwa lugha yao.
ila kwa sisi kwa sababu ya mwalimu kuamua kusimamia kiswahili ndio maana kiswahili kikawa na nafasi kubwa.
mpaka tunapoongea sasa kiswahili kinakuwa na hata ukienda katia baadhi ya vyuo vikuu vya nje ya Tanzania utakuta kiswahili kikifundishwa.
nishawahi andika humu kuhusu wamisri wanaofundisha kiswahili katika chuo chao kikuu.
tafuta uzi huo
 
Uzalendo ni nini?
Uzalendo ni kutukuza kilicho chako na si kung'ang'ania kitu cha kigeni..

Kwa elimu ipi ulionayo ya kuhamasisha watu wazidi kutukuza lugha za kigeni pasipo kutukuza lugha yao? Lugha ya mababu zao na mabibi zao kwani kingereza kina nini

Na tutawacheka Rubbish ikiwa wanajitia kuzungumza mambo wasio yajua

Juzi juzi tu Baraka da Prince et kasema nina PROKOTO Zangu instead ya kusema nina PROTOCAL Zangu tena kwa kurudia rudia hapo pote useme anajifunza kwanini asitumie lugha yakiswahili anachokijua maana hata interview aliokuwa amepewa siyo kwa ajili ya Wazungu ni kwa ajili ya Watanzania wakiwemo Mababu zake na wazazi wake kwanini ajikweze kwenye lugha asiyoijua?

USIPOTOSHE UMMA NA SIDHANI KAMA UNA ELIMU YOYOTE HAPO ULIPO MAANA HAKUNA MSOMI ANAEWEZA KUTUKUZA LUGHA YA KIGENI AACHE KUTUKUZA LUGHA YA WAZAWA
I don't see any CONFUSION in IDD NINGA's words ... The only problem here is your WRONG PERCEPTION about what IDD wrote .
 
Back
Top Bottom