Uchaguzi 2020 Makosa ya wakubwa yanavyomnufaisha Tundu Lissu

Mtoto anaweza kumuliza mama yake kwanini hukumpa adhabu baba mbona kaacha uchafu hapa sebuleni kama mimi nawe umenyamaza tu?
Siyo kwamba nahalalisha kauli za mtu yeyote au nasema baba kakosea, I'm just showing you the reality, who has the power.
Je baba huwa akikosea yuko tayari kujirekebisha?
 
Mataga mbona kama umechanganyikiwa??? Andika vizuri basi 😀😀😀😀😀


Huyo ndo Lissu. Na bado!!! Picha halisi mtaiona hapo October ya Malawi yanavyoenda kutokea Tanzania

Labda sheria za uchaguzi zimebadilika. Kwa uelewa wangu, uakuzi wa Tume ya Uchaguzi haupingwi kwenye Mahakama yoyote. Kama kuna mabadiliko katika sheria tuelezwe
 
Inaweza kuwa JPM ana nia nzuri sana na Tanzania na Watanzania wenyewe. Ila tatizo ninalo liona ni kwamba wasaidizi wa jamaa wana mpa taarifa negative, han awashauri wakweli. Na hasa baada ya wao kugundua Baba la Baba anapenda kusifiwa basi wao kila jambo ni mapambio tuu. Kiasi kwamba wamempoteza mkuu.

Laabda akiingia this time atakuwa na washauri wazuri maana ana mawili, kufanya vibaya historia ije kumhukumu au afanye mema aje akumbukwe kama walio mtangulia.

Ila kwa sasa hawa alio waokota jalalani wamempoteza.. Anatakiwa ajifunze kutokea hapo. Na ajue hii nchi sio ya Wasukuma tuu. Tuko makabila zaidi ya 120 na wote wanatakiwa kutoa michango kwenye hili Taifa. Nimeongea tuu jamani napita
Ukabila kwanza

Wasukuma tukishajaa ndio mtakumbukwa na nyinyi wazaramo.

Ccm oyeeerrrree
 
TUNDU LISSU, huenda akawa ni miongoni mwa wanasiasa wenye bahati kubwa!

Ni mwanasiasa, anayenufaika sana na makosa ya wakubwa! Makosa ya wakubwa kwa kujua au kutokujua, kwa kushauriwa au kutokushauriwa vizuri yameanza kumjenga Tundu Lissu.

Awamu hii ya tano, imejenga marafiki wengi wa kificho na maadui wengi wa kificho. Marafiki wa kificho wa awamu hii ni wale wanaojituma kufanya kazi kwa niaba ya CCM au Serikali.

Lipo kundi jingine la marafiki wa kificho wao wanampenda zaidi Rais Magufuli, kuliko wanavyokipenda Chama cha Mapinduzi(CCM). Hawa wako wengi. Na kwa kipindi hiki, wanaojituma kufanya kila kitu wakidhani wanamnufaisha Rais.

Kwa uzoefu wangu mdogo wa mambo haya, ni kwamba kundi hili hujifanyia mambo yake bila kutumwa na mtu yoyote, wala taasisi yoyote yenye mamlaka. Lakini hutumia nembo au kichaka cha kutumwa ili waweze kuaminika.

Kila awamu ya utawala huwa na kundi kama hili. Tofauti ni kwamba awamu hii imezipiku awamu zote kuwa na makundi nje ya mfumo rasmi yanayoingiza mkenge watu na hata kuharibu taswira ya Rais!

Nitatoa mifano: Wakati wa hamahama za wabunge wa upinzani kwenda CCM, Kuna watu walijituma kufanya kazi hiyo ili kumfurahisha Rais. Haku kuwa na makubaliano maalum, bali wengi walio hama waliingizwa mkenge!

Rais alipewa taarifa kuwa watu hawa wanampenda na kumuunga mkono! Kuna kilio kikubwa huko kwa sasa! Na zahma kubwa linakuja endapo wakubwa wataamua kuwarejesha kwa nguvu wale wote waliokataliwa na Wajumbe. Hapo ndipo makosa ya wakubwa yatakapoanza kumnufaisha Tundu Lisu.

Hotuba za Lissu sasa zinazuiwa na watu ambao wanaojituma. Hawapendi Rais asemwe hata kama yeye binafsi anapenda kusikiliza maoni ya Lissu.

Chombo kikubwa kama ITV kufanya jambo la kijinga na kitoto kama hilo ni matokeo ya kundi hili kujipenyeza kila pahala kwa lengo la kumfurahisha Rais!

Badala ya kumsaidia Rais, Sasa wanamjenga Lissu! Pamoja na ukweli kuwa Tundu Lissu alisikika na kutikisa sana kipindi cha KIKWETE! Lakini katika awamu hii amejiongezea umaarufu maradufu!

Umaarufu wa Tundu Lissu, umeongezeka sana ndani ya siku chache! Wanaopenda kutukana mnakaribishwa, lakini huo ndiyo ukweli mchungu.

Hotuba za Lissu zinatafutwa kwa sababu wanaojituma wanamzimia maiki anapoongea. Naamini, wanaofanya hivi hawatumwi kufanya hivyo, bali wanajituma.

Na kwa sababu hata wakubwa hawakemei wala kukataa vitendo hivyo hadharani, basi wote wanashiriki hatua kwa hatua kumwimarisha Tundu Lisu.

Haiwezekani kama Chama, tufanye kazi kubwa ndani ya Miaka mitano. Tufanye kampeni sisi wenyewe, tuimarishe uchumi wetu, harafu tushindwe kuwa na hoja za kumjibu Tundu Lisu, ambaye hakuwepo nchini kwa muda mrefu mpaka tupate msaada wa watu wanaojituma kuzima maiki za Lissu ili asisikike!

Hapa Kuna tatizo! Makosa yetu wenyewe ndiyo yanamejenga Tundu Lissu.

Wahenge husema: Hata anayerudi nyuma, ana mbele yake anayo kwenda, japokuwa sisi tunaotizama tunaona anaelekea nyuma.

Ndimi Mkulima wa Bamia, Bonde la Mto Simiyu-Magu, Mwanza.
Lisu anaogopwa na Jeshi la polisi, NEC, msajiri, ccm, mahakama, magufuli,
 
TUNDU LISSU, huenda akawa ni miongoni mwa wanasiasa wenye bahati kubwa!

Ni mwanasiasa, anayenufaika sana na makosa ya wakubwa! Makosa ya wakubwa kwa kujua au kutokujua, kwa kushauriwa au kutokushauriwa vizuri yameanza kumjenga Tundu Lissu.

Awamu hii ya tano, imejenga marafiki wengi wa kificho na maadui wengi wa kificho. Marafiki wa kificho wa awamu hii ni wale wanaojituma kufanya kazi kwa niaba ya CCM au Serikali.

Lipo kundi jingine la marafiki wa kificho wao wanampenda zaidi Rais Magufuli, kuliko wanavyokipenda Chama cha Mapinduzi(CCM). Hawa wako wengi. Na kwa kipindi hiki, wanaojituma kufanya kila kitu wakidhani wanamnufaisha Rais.

Kwa uzoefu wangu mdogo wa mambo haya, ni kwamba kundi hili hujifanyia mambo yake bila kutumwa na mtu yoyote, wala taasisi yoyote yenye mamlaka. Lakini hutumia nembo au kichaka cha kutumwa ili waweze kuaminika.

Kila awamu ya utawala huwa na kundi kama hili. Tofauti ni kwamba awamu hii imezipiku awamu zote kuwa na makundi nje ya mfumo rasmi yanayoingiza mkenge watu na hata kuharibu taswira ya Rais!

Nitatoa mifano: Wakati wa hamahama za wabunge wa upinzani kwenda CCM, Kuna watu walijituma kufanya kazi hiyo ili kumfurahisha Rais. Haku kuwa na makubaliano maalum, bali wengi walio hama waliingizwa mkenge!

Rais alipewa taarifa kuwa watu hawa wanampenda na kumuunga mkono! Kuna kilio kikubwa huko kwa sasa! Na zahma kubwa linakuja endapo wakubwa wataamua kuwarejesha kwa nguvu wale wote waliokataliwa na Wajumbe. Hapo ndipo makosa ya wakubwa yatakapoanza kumnufaisha Tundu Lisu.

Hotuba za Lissu sasa zinazuiwa na watu ambao wanaojituma. Hawapendi Rais asemwe hata kama yeye binafsi anapenda kusikiliza maoni ya Lissu.

Chombo kikubwa kama ITV kufanya jambo la kijinga na kitoto kama hilo ni matokeo ya kundi hili kujipenyeza kila pahala kwa lengo la kumfurahisha Rais!

Badala ya kumsaidia Rais, Sasa wanamjenga Lissu! Pamoja na ukweli kuwa Tundu Lissu alisikika na kutikisa sana kipindi cha KIKWETE! Lakini katika awamu hii amejiongezea umaarufu maradufu!

Umaarufu wa Tundu Lissu, umeongezeka sana ndani ya siku chache! Wanaopenda kutukana mnakaribishwa, lakini huo ndiyo ukweli mchungu.

Hotuba za Lissu zinatafutwa kwa sababu wanaojituma wanamzimia maiki anapoongea. Naamini, wanaofanya hivi hawatumwi kufanya hivyo, bali wanajituma.

Na kwa sababu hata wakubwa hawakemei wala kukataa vitendo hivyo hadharani, basi wote wanashiriki hatua kwa hatua kumwimarisha Tundu Lisu.

Haiwezekani kama Chama, tufanye kazi kubwa ndani ya Miaka mitano. Tufanye kampeni sisi wenyewe, tuimarishe uchumi wetu, harafu tushindwe kuwa na hoja za kumjibu Tundu Lisu, ambaye hakuwepo nchini kwa muda mrefu mpaka tupate msaada wa watu wanaojituma kuzima maiki za Lissu ili asisikike!

Hapa Kuna tatizo! Makosa yetu wenyewe ndiyo yanamejenga Tundu Lissu.

Wahenge husema: Hata anayerudi nyuma, ana mbele yake anayo kwenda, japokuwa sisi tunaotizama tunaona anaelekea nyuma.

Ndimi Mkulima wa Bamia, Bonde la Mto Simiyu-Magu, Mwanza.
Umeongea point nzuri sana na kizuri zaidi hujaweka no ya simu
 
naona umetumwa kumsafisha Magufuri. Magufuri aliishasema yeye ndio yeye. muache apate ujira wake, alijisahau kwamba mamlaka aliyonayo yanatoka kwa wananchi, akaanzisha maasi dhidi ya wananchi wanaofikiria tofauti na yeye.

hao wabunge aliwanunua yeye, na wengine aliwapa uwaziri sasa unataka kusemaje eti kuna watu hata magufuri hawajui ndio waliwahamisha, au unataka kusema kuna watu wamemshikia akili magufuri,
 
Kwa wanamtandao, Lissu anaonekana ni nyota iliyowadondokea

Kwa wachambuzi wa siasa na wasomi waliobobea kiufahamu, Lissu si mwanasiasa, wala si mwanaharakati, ila ni mtu anajifanya mjuaji - hajui kama hajui

Kwa wapiga kura, Lissu ni mmoja wa mavuvuzela wa wagombea

Lissu amejimaliza mwenyewe kabla ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni, labda abadili kauli zake.
Toka alivo tuwa lissu mataga na baba yenu mmekuwa wapole sana, nashangaa wewe unahasira mno, yote kwa yote Lissu siyo lever zenu, mwenyekit wenu hana ubavu wa kumfikia lissu hata kidogo
 
CCM ni weupe kichwani ,hawajawahi kujibu au kuwa na hoja zaidi ya ubabe wa kutumia vyombo vya dora,kwanza ni waoga sana ukiwatwanga swali wao watasema umewatukana
 
TUNDU LISSU, huenda akawa ni miongoni mwa wanasiasa wenye bahati kubwa!

Ni mwanasiasa, anayenufaika sana na makosa ya wakubwa! Makosa ya wakubwa kwa kujua au kutokujua, kwa kushauriwa au kutokushauriwa vizuri yameanza kumjenga Tundu Lissu.

Awamu hii ya tano, imejenga marafiki wengi wa kificho na maadui wengi wa kificho. Marafiki wa kificho wa awamu hii ni wale wanaojituma kufanya kazi kwa niaba ya CCM au Serikali.

Lipo kundi jingine la marafiki wa kificho wao wanampenda zaidi Rais Magufuli, kuliko wanavyokipenda Chama cha Mapinduzi(CCM). Hawa wako wengi. Na kwa kipindi hiki, wanaojituma kufanya kila kitu wakidhani wanamnufaisha Rais.

Kwa uzoefu wangu mdogo wa mambo haya, ni kwamba kundi hili hujifanyia mambo yake bila kutumwa na mtu yoyote, wala taasisi yoyote yenye mamlaka. Lakini hutumia nembo au kichaka cha kutumwa ili waweze kuaminika.

Kila awamu ya utawala huwa na kundi kama hili. Tofauti ni kwamba awamu hii imezipiku awamu zote kuwa na makundi nje ya mfumo rasmi yanayoingiza mkenge watu na hata kuharibu taswira ya Rais!

Nitatoa mifano: Wakati wa hamahama za wabunge wa upinzani kwenda CCM, Kuna watu walijituma kufanya kazi hiyo ili kumfurahisha Rais. Haku kuwa na makubaliano maalum, bali wengi walio hama waliingizwa mkenge!

Rais alipewa taarifa kuwa watu hawa wanampenda na kumuunga mkono! Kuna kilio kikubwa huko kwa sasa! Na zahma kubwa linakuja endapo wakubwa wataamua kuwarejesha kwa nguvu wale wote waliokataliwa na Wajumbe. Hapo ndipo makosa ya wakubwa yatakapoanza kumnufaisha Tundu Lisu.

Hotuba za Lissu sasa zinazuiwa na watu ambao wanaojituma. Hawapendi Rais asemwe hata kama yeye binafsi anapenda kusikiliza maoni ya Lissu.

Chombo kikubwa kama ITV kufanya jambo la kijinga na kitoto kama hilo ni matokeo ya kundi hili kujipenyeza kila pahala kwa lengo la kumfurahisha Rais!

Badala ya kumsaidia Rais, Sasa wanamjenga Lissu! Pamoja na ukweli kuwa Tundu Lissu alisikika na kutikisa sana kipindi cha KIKWETE! Lakini katika awamu hii amejiongezea umaarufu maradufu!

Umaarufu wa Tundu Lissu, umeongezeka sana ndani ya siku chache! Wanaopenda kutukana mnakaribishwa, lakini huo ndiyo ukweli mchungu.

Hotuba za Lissu zinatafutwa kwa sababu wanaojituma wanamzimia maiki anapoongea. Naamini, wanaofanya hivi hawatumwi kufanya hivyo, bali wanajituma.

Na kwa sababu hata wakubwa hawakemei wala kukataa vitendo hivyo hadharani, basi wote wanashiriki hatua kwa hatua kumwimarisha Tundu Lisu.

Haiwezekani kama Chama, tufanye kazi kubwa ndani ya Miaka mitano. Tufanye kampeni sisi wenyewe, tuimarishe uchumi wetu, harafu tushindwe kuwa na hoja za kumjibu Tundu Lisu, ambaye hakuwepo nchini kwa muda mrefu mpaka tupate msaada wa watu wanaojituma kuzima maiki za Lissu ili asisikike!

Hapa Kuna tatizo! Makosa yetu wenyewe ndiyo yanamejenga Tundu Lissu.

Wahenge husema: Hata anayerudi nyuma, ana mbele yake anayo kwenda, japokuwa sisi tunaotizama tunaona anaelekea nyuma.

Ndimi Mkulima wa Bamia, Bonde la Mto Simiyu-Magu, Mwanza.
Haiwezekani kama Chama, tufanye kazi kubwa ndani ya Miaka mitano. Tufanye kampeni sisi wenyewe, tuimarishe uchumi wetu, harafu tushindwe kuwa na hoja za kumjibu Tundu Lisu, ambaye hakuwepo nchini kwa muda mrefu mpaka tupate msaada wa watu wanaojituma kuzima maiki za Lissu ili asisikike!

Hapa Kuna tatizo! Makosa yetu wenyewe ndiyo yanamejenga Tundu Lissu.

Wasalimie huko Magu- Mwanza.
 
Wanazidi kuwapa watu matamanio ya kutafuta kujua Lisu kaongea nini kila leo!lakini haya yote si bure kuna nguvu fulani ndani ya Lisu!muda utasema!
 
Thread bora kabisa kwa siku ya leo. Hongera sana mleta mada kwa thread hii. Wewe unastahili kuwa kwenye jukwaa hili la great thinkers

Nikiwa bado CCM kabla sijahama niliwai kusema haya. Vyombo vya dola, serikali na mawakala uchwara wa CCM ndiyo waliomjenga Lissu kisiasa.

Hakukuwa na haja ya kumfungulia Lissu Mashtaka ya uchochezi mahakamani. Lile lilikuwa kosa la kwanza, kesi zilimbeba Lissu. Kila akienda Mahakamani waandishi walikuwa wanamfuata na akazidi kusikika na kupendwa zaidi.

Alivyozidi kupendwa wakafanya kosa la pili kumpiga risasi. Hapa ndo walikosea kupindukia kwa sababu vyovyote vile labda angekufa. Kupona kwake hata watu wasiomuamini Mungu wanachukulia kuwa ni miujiza.

Kibaya zaidi hawa watu hawajifunzi kamwe, Lissu karudi mikutano inayomuhusu hawaioneshi, wakionyesha wanamzimia sauti. Haya yanamjenga Lissu kisiasa mara 1000 zaidi.

Kwa jinsi Lissu anavyoonewa mchana kweupe hili linaongeza mapenzi kwake mara 1000 zaidi na tunapoelekea Lissu atakuwa na nguvu hata ya kuwaambia watu waingie mtaani kufanya maandamano na watu wakamsikiliza kweli na wanafanya.

Nilichojifunza ni kuwa Magufuli alitakiwa awe na wasaidizi wenye akili kubwa, busara na hekima sana na kubwa zaidi ndo wawe watu wa kumuelekeza cha kufanya. Ila hakupata hawa watu akapata watu wanaojipendekeza kwake


Tatizo alipata watu wa hovyo wasiomshauri vizuri na matokeo yake Lissu amejengwa vizuri na mwisho lazima amuangushe magufuli
Nani alimpa Rais watu wa hovyo wasiomshauri vizuri? Huyo aliyempa washauri hao hovyo maelfu kati ya Raia milioni 50 alikosa kuchagua washauri mahili hata 50 tu wamsaidie Rais? Wananchi mtaani wanaona kipenzi chao kinavyodhalilishwa na washauri hovyo, yeye haoni na akawatumbua pamoja na hao wanaompatia hao wasaidizi hovyo? Alipoingia tu madarakani alitumbua washauri wengi aliyowakuta kusafisha nyumba, bado hajagundua alitupa jalalani nafaka akabakiza mabua bila chakula? Katika kupata washauri wazuri akaanza kuteua washauri wake mwenyewe, mbona hali bado vilevile hadi kusababisha teua/tengua ya kila siku?
 
Back
Top Bottom