Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,387
- 6,355
Je baba huwa akikosea yuko tayari kujirekebisha?Mtoto anaweza kumuliza mama yake kwanini hukumpa adhabu baba mbona kaacha uchafu hapa sebuleni kama mimi nawe umenyamaza tu?
Siyo kwamba nahalalisha kauli za mtu yeyote au nasema baba kakosea, I'm just showing you the reality, who has the power.