Tufafanulie mambo ambayo anajifanya anajua kumbe hajui, na wewe unajua ila hujagombea urais.Kwa wanamtandao, Lissu anaonekana ni nyota iliyowadondokea
Kwa wachambuzi wa siasa na wasomi waliobobea kiufahamu, Lissu si mwanasiasa, wala si mwanaharakati, ila ni mtu anajifanya mjuaji - hajui kama hajui
Kwa wapiga kura, Lissu ni mmoja wa mavuvuzela wa wagombea
Lissu amejimaliza mwenyewe kabla ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni, labda abadili kauli zake.