Makosa ya Tanzania yameinufaisha Msumbiji

August,
Nikaona mtu anatoa mifano ya Nyerere ya karne iliyopita hasa kwenye uchumi namuona juha wa kuwango cha juu. Nyerere alisema madini hayaozi kisha tukaishia kuvaa viraka na kupiga mswaki kwa chumvi, halafu unasimama mbele ya wanaume eti unatoa utetezi wa uchumi kisha unamtaja Nyerere! Kama umeishiwa na utetezi katika uchumi, kisha Nyerere ndio awe sehemu ya utetezi wako ni bora ukae kimya maana unatuchefua.
 
Nikaona mtu anatoa mifano ya Nyerere ya karne iliyopita hasa kwenye uchumi namuomba juha wa kuwango cha juu. Nyerere alisema madini hayaozi kisha tukaishia kuvaa viraka na kupiga mswaki kwa chumvi, halafu unasimama mbele ya wanaume eti unatoa utetezi wa uchumi kisha unamtaja Nyerere! Kama umeishiwa na utetezi katika uchumi, kisha Nyerere ndio awe sehemu ya utetezi wako ni bora ukae kimya maana unatuchefua.
Zitto wako pamoja na ujinga wake haachi kumtumia Nyerere as a reference, DJ naye licha ya Mapungufu yake haachi kumtumia Nyerere kama Baba wa Mabadiliko ya Vyama vingi.
Ikiwa jina lake linakuchafua itabidi ukaishi safari nyingine au uchukue uraia wa nchi zingine
 
Zitto wako pamoja na ujinga wake haachi kumtumia Nyerere as a reference, DJ naye licha ya Mapungufu yake haachi kumtumia Nyerere kama Baba wa Mabadiliko ya Vyama vingi.
Ikiwa jina lake linakuchafua itabidi ukaishi safari nyingine au uchukue uraia wa nchi zingine

Kwani Zito au Mbowe ndio akina nani? Acha wao hata baba zao wakimtaja Nyerere haimaanishi kuwa Nyerere alikuwa sahihi kwenye uchumi. Au unadhani ukinitajia Mbowe na Zito ndio nitaaona wanasema sawa kuhusu huyo Nyerere? Ni hivi, Nyerere ni baadhi ya viongozi waliochangia nchi yetu kuwa masikini kutokana na sera zake.

Yeye ndio chanzo hasa cha hii katiba ya kihuni ambayo leo hii akina Magufuli wanaitumia kunajisi chaguzi za nchi hii. Nikachukue uraia wa nchi nyingine kisa nimesema Nyerere hakuwa lolote, wala chochote kwenye uchumi wa nchi hii kutokana na sera zake mfu? Kwani niko ndani ya nchi hii kwa hisani ya Nyarere?
 
Mkuu tuje kwenye comperative advantage ya hii miradi. Unadhani kulikuwa na haja ya kuharibu ule msitu for now kwaajili ya umeme wakati gas ipo na inavunwa pamoja na miundombinu yake kukamilika?
Ulitaka watu waendelee kukata miti kwaajili ya nishati? Kwenye umeme wa gesi hizo capacity charges ungetulipia wewe? Umeme wa REA ambao unaunganishwa sasa, wanavijiji wengi hawataweza kumudu gharama zake kama tutategemea gesi.
Take note on mabadiliko ya tabia nchi. Then tujiulize, litajaa lini? Lini litazalisha hizo mega watts?
Vyanzo vya bwawa ni mvua zinazotoka nyanda za juu kusini ambako kuna miti mingi sana na zaidi ya hapo eneo hilo lina miinuko mingi inayoongeza "surface area" ya vyanzo vya maji. Gesi haipo milele na inachukua miaka milioni kadhaa kutengenzwa, hivyo ukiangalia utofauti wa kiwango cha uharaka wa kutengenezwa chanzo cha nishati (gesi au maji) na utumiaji, utaona maji niyakuaminika zaidi kuliko gesi.

Kuhusu kujaa, usiwe nashaka, bwawa litajaa tuu na wahusika wameshapima kiwango cha mtiririko unaoingia na kujua ujazo wake.
Nahisi hilo halijafikiriwa. Walichowaza ni kuacha legacy ya kuwa tumejenga bwana.
Inaonekana umeshaweka hitimisho kwenye kichwa chako. Mambo ya kuhisi wakati hata wewe unaweza kupima flow rate ya maji na kujua ujazo baada ya muda fulani, yanashangaza. Ungekuja na data hapa kuonesha flow rate ilivyo ndogo na kupinga kuwa wamekurupuka, tungekuelewa.
Hiki si kitu cha miaka kumi. Ni zaidi ya miaka 15. Angalua bwawa wanalojenga Ethiopia. Pia mpaka tuje kufikisha hizo megawatts 2000 ni more than other 10 yrs. Mkuu bwawa la umeme haliwezi kujengwa leo na kuzalisha umeme next year. Ni mchakato wa kulijaza maji na kuhakiksha liko imara then linaanza kutumika.
Hilo bwawa la Ethiopia kuchukua muda mrefu ni kwasababu Misri haitaki maji yote ya blue nile yatumike kujazia bwawa, wanaogopa wakifanya hivyo watakosa maji. Chanzo kikubwa cha mto Nile Misri ni Blue Nile uliopo Ethiopia.
 
Nyanjomigire,
Eti dunia itaacha kutumia hydrocarbons, acha kuchekesha watu hapa. Kwani hizo synthetic (building) materials za PVC zinatoka wapi kama siyo kwenye hydrogen and carbon (hydrocarbons) compounds?
 
Investment za $54 billion dollars bado ujajiuliza how many offshore rigs zinahitajika kuivuna hiyo gas cost je? transportation (pipeline network) za baharini zikoje zenye kuunganisha visima mbali mbali hadi kwenye LNG nchi kavu?

Kumbuka mwekezaji anataka kuvuna wa kwanza, tena kabla ya yote lazima wachukue investment (kama na yeye kakopa huko na interest ni balaa), halafu ndio muanze mambo mengine ya kodi na mgawanyo wa faida. Usije shangaa unaambiwa yako ni 20% yao ni 80% kwa miaka 30 ijayo or more depending na profit margin.

Kusema serikari inafanya makosa kusitisha shughuli za upstream bila ya kuona nitty gritty elements za mkataba wenyewe na total cost za uwekezaji simply ni utoto; if anything ni bora kusitisha katika hatua hizi kama aujaridhika kuliko watu waweke hela zao.

Ni makampuni machache sana (just a handful) ambayo privately owned ndio yenye mitaji ya kuwakeza kuanzia kwenye exploration hadi kwenye refineries na hata hao wengi si ajabu inabidi kukopa kwenye serikari zao kufanya hiyo miradi. Waliobaki ambao asilimia kubwa jua wanafanya huo uwekezaji kwa hela ya serikari zao; sasa ingia mkataba wa ovyo kama 20/80 kwa miaka 30 ijayo uvunje halafu ukione chamoto kutoka kwa hao walionyuma yao.

Sometimes mambo mengine tuwaachie serikari sio kila tunachoona ni simply swala la black and white.
 
Sisi gesi sio kipaumbele chetu!, gesi ilikuwa kipaumbele ili tuitumie kuzalishia umeme, lakini sasa kwa vile tumegundua umeme wa hydro power ndio the cheapest, tumeamua kujenga Stigler na tutaingia mkataba na Mungu mwenyewe maji yasipungue!, zile kelele za mambo ya tabia nchi, joto dunia, etc, ni kelele za mabeberu tuu.

Angalia kwenye gesi yetu, akina sisi tulisema nini na lini




P
Paschal Beans,huwa un
Sisi gesi sio kipaumbele chetu!, gesi ilikuwa kipaumbele ili tuitumie kuzalishia umeme, lakini sasa kwa vile tumegundua umeme wa hydro power ndio the cheapest, tumeamua kujenga Stigler na tutaingia mkataba na Mungu mwenyewe maji yasipungue!, zile kelele za mambo ya tabia nchi, joto dunia, etc, ni kelele za mabeberu tuu.

Angalia kwenye gesi yetu, akina sisi tulisema nini na lini




P
Paskali Bwana, we jasiri haachi kwao!!!huwa unaenda unarudi,unaenda unarudi!Ila nachokupendea !Ukirudi huwa unasema baadhi ya ukweli wa nyumbani kwenu,bila kumung,'unya silabi...Hongera Sana Ngosha.
 
Kilatha,
Kwa lugha rahisi kabisa unataka kusema nini.Kwa uandishi wako Ni Kama una kitu unakijua ila hujui ukielezeje!🤗 Au haya uliyasoma ukiwa umeloweka miguu kwenye beseni.Enzi zile Karne ya 20 Wazee wa Bookworm,..
Special Reserve!
 
Nikaona mtu anatoa mifano ya Nyerere ya karne iliyopita hasa kwenye uchumi namuomba juha wa kuwango cha juu. Nyerere alisema madini hayaozi kisha tukaishia kuvaa viraka na kupiga mswaki kwa chumvi, halafu unasimama mbele ya wanaume eti unatoa utetezi wa uchumi kisha unamtaja Nyerere! Kama umeishiwa na utetezi katika uchumi, kisha Nyerere ndio awe sehemu ya utetezi wako ni bora ukae kimya maana unatuchefua.
Mkuu acha matusi,ukiacha hiyo ya madini hayaozi...huoni kwenye uchumi alichofanyaNyerere!
Hebu angalia maendeleo ya elimu,afya,kilimo, yalipofikia enzi zako ...alifuta ujinga kws asilimia 80,kilimo kilikuwa kina kua,Mfano mzuri Ni Pamba na viwanda vyakevya nguo. Alijenga mtandao mzuri wa huduma za afya kwa kiasi chake.

Mbali na viwanda vya Pamba na mazao yake ,kuliuwa na viwanda vya zana za kilimo! Angalia vituo vya Utafiti wa Kilimo vilivuojengwa,vyuo vya Afya! Kijamii alijenga Taifa lenye umoja na uzalendo, ambao Ni Msingi Imara kwenye Uchumi.Aidha alijenga Taifa la watu kutafakari.Enzi zake kijana wa Form III angeweza kujenga hoja kulikoProfesa wa leo.

Hicho kipindi Cha kuvaa viraka ,(1980-85)kilitokana na Mambo mengi ukame,Vita,Bei ya mafuta ya early 70s na changamoto ya kuvunjika Afrika Mashariki,Kama SI hizo nguvu za nje Tz ingeenda mbali.
Kosa la Nyerere lilikuwa Ni Imani yake Ndogo kwa Sekta Binafsi!
 
Hii issue inaumiza kichwa, hivi si wataalam wetu wa nishati na madini wale wale walioshauri kuhusu uwekezaji katika Gas kipindi cha Jakaya na sasa kwa JPM wameshauri tuwekeze kwenye mambo mengine au viongozi wetu hawa wakuu wa nchi huwa wanajiamulia wenyewe bila kushauriwa?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KYALOSANGI,
Ukiona kiongozi anaongoza kwa watu kuamini mawazo yake tu, jua huyo mtu ni tatizo. Nyerere hakuwa anaamini mawazo ya wengine ndio maana tulikwama. Hizo sababu nyingine zilichangia hilo anguko kirahisi, kutokana na aina ya uongozi wake na misimamo isiyo na tija.
 
Meko hafai tena kuongoza nchi,kalitumbukiza taifa kwenye umasikini sana,vijana mitaani njaa kali,wafanyabiashara wanapumulia mashine....
 
Kwa lugha rahisi kabisa unataka kusema nini.Kwa uandishi wako Ni Kama una kitu unakijua ila hujui ukielezeje!🤗 Au haya uliyasoma ukiwa umeloweka miguu kwenye beseni.Enzi zile Karne ya 20 Wazee wa Bookworm,..
Special Reserve!
It is actually vice versa tatizo sio mimi my message is very simple to understand, sema sasa wewe labda ata everyday jargon za ‘oil and gas’ and finance kwako ni shida.

Other wise queries raised in my post their primarily source arise from post number 1 assuming you have read everything including the article.

Uungwana ni kuomba maelezo sio kuleta kejeli.
 
Back
Top Bottom