mwanakwetuu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 407
- 807
sblandes, Kipindi hicho magufuli alikuwa kwny baraza la mawaziri alishauri nn? au alisubiri taifa liingie hasara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi hicho magufuli alikuwa kwny baraza la mawaziri alishauri nn? au alisubiri taifa liingie hasara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Happy Valentine!Hapa natakiwa kuzifungua hizi nilizojiapiza kwamba sitahangaika nazo?
Na nikifungua nikakuta ni yaleyale ya mizunguko, mara 'sweet' mara 'sour' kwenye dish lilelile itakuwaje?
Hapana. Sitakwenda huko.
Mafiii
Mbombo ngafuLinajengwa la kisasa kabisa, matope yanajichuja kwa kutumia mtindo wa sedimentation, na filtration, halijai kabisa tope.
P
tatizo sio CCM WALA MAGUFULI, TATIZO NI WATANZANIA WENYEWE..Kalamu1, Kwanini mpaka kina Zitto na CHADEMA? Hapa ndipo Watanzania wanapikosea, kudhani ni tatizo la wapinzani!!. Mara ngapi wapinzani wamewaonya wananchi dhidi ya CCM? Je, wananchi wamewaunga mkono? Kosa si wapinzani ni wananchi wenyewe na style yao ya maisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vema. Hakuna wakati ambao Dunia itasimama eti kwa sababu kitu fulani kimekuwa depleted.
Mpaka mwaka 1967, Tanzania ndiyo nchi iliyokuwa anazalisha madini ya ulanga (sheet mica) yenye ubora kuliko nchi yoyote. Wakati huo kilo moha ya sheet mica, clear 1 type, ilikuwa inafikia £2,000.
Tukawafukaza wazungu kupitia Azimio la Arusha. Migodi yote wakakabidhiwa STAMICO. Waulize leo hii wanauza kilo ngapi? Ni zero.
Baada ya Tanzania kuringa na mica yake, wazungu waliingia kwenye tafiti. Leo hii viwanda karibia vyote vinatumia synthetic mica. Natural mica, hupati hata dola 50 kwa kilo.
Tanzania imekuwa Askari mmoja ambaye kila siku alikuwa anavaa buti ya jeshi, akawa anasema kuwa raizoni yake ya ngazi 6 itadumu hata miaka 20 maana haivai mara nyingi. Lakini ilipopita kama miaka 4 tu, siku alipovaa watu wakaanza kumtazama kwa mshangao na kumcheka. Kiatu kilikuwa kizima lakini kilikuwa out of fashion.
Kuna wakati makaa ya mawe yalikuwa ndiyo kila kitu. Yaliendesha meli na train. Leo yamebakia tu kwenye kuzal8sha umeme lakini yanapigwa vita hasa kutokana na uchafuzi wa mazingira. Sijui kama yale ya mchuchuma, yatakuja kuwa na faida kama hayatachimbwa ndani ya miaka 10 - 20.
tatizo sio CCM WALA MAGUFULI, TATIZO NI WATANZANIA WENYEWE..
HII NCHI KUNA MAPOPOMA WENGI SANA.
Sent using Jamii Forums mobile app