Makosa ya Tanzania yameinufaisha Msumbiji

Thanks, ubarikiwe,
Mimi ni mkweli na ukiwa mkweli too much katika jamii inayofurahia hadaa, unaonekana ni an enemy of the people.

Tumeichagua CCM kwa kura nyingi kutokana na kuikubali ilani yake. Miongoni mwa hoja kwenye ilani ile ni pamoja na kukamilisha mchakato wa katiba mpya, lakini after spending billions kwenye katiba, leo anaibuka mtu na kusema "katiba sio kipaumbele chetu":na anashangiliwa!.

Ilani ikasema mtoto wa kike akipata ujauzito shuleni, ataendelea na masomo, akaibuka mtu akasena serikali yake haitasomesha wapenda ngono! Kama sio kwa msaada wa watu wa Marekani, hili pia lingepita!

Kwenye ilani kuna energy strategic plan ya miaka 5, priority 1 ni umeme wa gesi ndio umeme wa uhakika, lakini sasa tunarudi kutegemea umeme wa maji ya mvua inayoletwa na Mungu, na kwa vile baadhi yetu wa Kanda ile sii mchezo!, mfano Mkama Rumanyika alikuwa ana i command mvua.
Hivyo tutaendelea kui command mvua, bwawa litajaa wakati wote.

Gesi tutaendeleza taratibu, ni yetu huko ardhini ilipo haihami nchumbiji, inatusubiria!.

P
Ni nani na kwa sababu zipi anayeweza kuhoji uhakika wa bandiko 'straightforward' kama hili!

Sasa tafuta humu JF aina ya 'bandiko' kama hili kutoka kwa mwandishi huyu huyu linalopewa uzito na 'ushahidi' kama hili hapa.
Kama lipo, nitaomba 'mea clupa' hamsini kwa siku ya leo - Ijumaa, Feb. 14, 2020; humu humu JF.
 
Wakati wa Awamu ya Nne, ugunduzi mkubwa wa gas ulifanyika Tanzania. Ni ugunduzi huu ndio uliomfanya Rais Kikwete kutamka kuwa yeye angekuwa Rais wa Mwisho kuongoza Tanzania maskini.

Prof. Muhongo naye kila mara alinena kuwa sasa uchumi wa Tanzania utakuwa ni uchumi wa gas.

Ilipoingia awamu ya tano, kila kitu kikavurugika. Tafiti zikasimama, mradi mkubwa kuliko yote tangu Tanzania iumbwe, mradi wa ujenzi wa kiwanda cha LNG, wenye thamani ya dola bilioni 30, wenye pesa wakaamua kusimamisha.

Wawekezaji wakaelekeza nguvu zao za utafiti Msumbiji. Leo Msumbiji inafahamika kuwa na gas nyingi kuliko ya kwetu. Sasa kiwanda kikubwa kabisa cha LNG kitajengwa Msumbiji. Nasi tutafaidika kwa kuagiza gas toka Msumbiji!! Ndiyo utajua ule msemo, 'kosa mali upate akili'.

Bonde la Ruvuma lipo Tanzania na Msumbiji. Aquifer ni ile ile. Na kwa sababu aquifer ni moja, visima vya gas vikiwekwa karibu na mpakani upande wa Msumbiji, basi kuna uwezekano wa gas ya Tanzania kujiendea yenyewe upande wa pili, na Msumbiji kujichukulia kilichokataliwa na mwenyewe, bila ya kukiuka sheria yoyote. Kwanza kwa upande wa Tanzania, bonde la Ruvuma, wala hatutaweza kujua kama tuna gas na mafuta au hapana.

Kwa sera zetu za sasa, hata gas tuliyo nayo, tusingejua kama tunayo.

Ukitaka kuona wenzetu walivyojizatiti kutumia mali zao za asili kujenga uchumi wao, soma zaidi:

Mozambique shows off Rovuma’s £42bn investment in bid to attract North Sea suppliers

7:27 CAT | 13 Feb 2020

0 Comments Print Share

[https://clubofmozambique]

Drillship Deepwater Millennium flaring offshore Mozambique, East Africa

Officials from Mozambique have showcased the level of investment in the prolific Rovuma basin in a bid to attract the expertise of North Sea companies to its supply chain.

Natalia Camba, local content manager from the country’s National Petroleum Institute, was speaking at the opening of Subsea Expo about a trio of projects off the country’s coast which have attracted a combined $54bn of investment (£42bn).

Mozambique’s oil and gas sector remains in its “infancy”, with hopes to attract UK expertise to further develop the industry.

Ms Camba said there are “opportunities everywhere” for suppliers, with the Rovuma Basin so far being assessed to have 165 trillion cubic feet of gas in place.

The region has two projects already in development: the $8bn Coral field which is due to begin production in 2022 and the $23bn Golfinho/ Atum field.

Meanwhile the third, the $23.6bn Rovuma LNG project, is due for final approval in the first quarter of this year and will produce 15 million tonnes of liquefied natural gas per year.

[https://clubofmozambique]Natalia Camba of Mozambique’s National Petroleum Institute
Ms Camba said the country offers “countless opportunities for investment” throughout the value chain, with the approval of projects “contributing to the building of infrastructure, hence boosting exploration interest”.

She pointed to a host of areas that UK firms could get involved in, from industrial services to supply vessels and lab analysis services, with the government’s local content regulations benefiting those who are in some way partnered with companies based in Mozambique.

The country expects further exploration drilling as a result of its upcoming sixth licensing round later this year.

Ms Camba was speaking at the Global Opportunities Business Breakfast hosted by Scottish Development International and the UK’s Department for International Trade.

Also speaking was Ketan Pednekar, SDI’s senior oil and gas trade specialist based in Mumbai.

He told the conference there was “a big opportunity for all of you to be suppliers for these subsea projects” upcoming in India, particularly major developments in the Bay of Bengal.

Mr Pednekar highlighted the third “cluster” of the 98/2 oil and gas project off the country’s east coast, which will see State-controlled operator ONGC invest $3.2bn.

[https://clubofmozambique]Ketan Pednekar of Scottish Development International
The award of works is expected next year ahead of production in 2023-24.

He also referenced work at the 2004/1 asset, also in the Krishna Godavari basin, which will cost $560m, with work expected to be awarded later this year.

By Allister Thomas
Wewe hujui kwamba sisi tulivyogundua gas na msumbiji nao waligundua hiyo gas??
Sasa suala la kuwahi linatoka wapi??

Pili kulikuwa na issue ya mahali pakuchakata hiyo gas iwe Mtwara au Dsm na investment yake ni kubwa saana.
Njia nyingine ilikuwa hiyo plant iwe jointly owned tanzania na Mozambique .

Sasa sijui hizi hadithi zako au tafsiri zako. Zinachochewa na nini.

Mwisho hujui sababu gani mpaka sasa Serikali imechelea ktk utekelezaji wa Hi to mikataba ya Gas. Hivyo ni vizuri ukajielewesha kwenye Hilo pia.
 
Wewe hujui kwamba sisi tulivyogundua gas na msumbiji nao waligundua hiyo gas??
Sasa suala la kuwahi linatoka wapi??

Pili kulikuwa na issue ya mahali pakuchakata hiyo gas iwe Mtwara au Dsm na investment yake ni kubwa saana.
Njia nyingine ilikuwa hiyo plant iwe jointly owned tanzania na Mozambique .

Sasa sijui hizi hadithi zako au tafsiri zako. Zinachochewa na nini.

Mwisho hujui sababu gani mpaka sasa Serikali imechelea ktk utekelezaji wa Hi to mikataba ya Gas. Hivyo ni vizuri ukajielewesha kwenye Hilo pia.
Huu ndio upuuzi.

Unamwambia mwenzio aliyetoa mada na kujieleza vizuri "...hujui sababu gani mpaka sasa serikali imechelea(?) katika utekelezaji wa..."; halafu wewe unayejua hata huelezi. Kama sio ujuha huo tuuite nini?

Ajieleweshe wapi na huku wewe unayejua hata hutaki au hauna uwezo kueleza na sisi tusiojua tujue?

Kutokana na uandishi wako ni wazi hujui lolote, na watu kama nyinyi ndio mliojaa humo serikalini mkijifanya kujua na kuvuruga mipango ya nchi hii.

Bure Kabisa.
 
Ndahani,
Sikuelewi elewi!! Sasa kulikuwa na haja gani ya kwenda kukata miti kule Seleus na kuanza kuwekeza kwenye mradi mkubwaaa sana wa umeme wa maji ambao hauna uhakika na hata kukamilika hatujui?

Vivyo hivyo walifanya kwenye kuhamia katikati. Sasa katikati panakalika? Mmeamua kufuga punda na vibaka (ngedere) mjini. Yetu macho ila Nyerere mpaka Kikwete hawakuwa wajinga.
Gas ipo nyingi na nia ya waliofanya utafiti ni kuuza kwenye masomo makubwa far east, Europe and America.
Kuzalisha umeme wa gas haikuwa lengo lao nchini. Kwa maana hiyo sioni uhusiano wowote wa Nyerere Dam na mambo ya gas.
Bado gas inaendelea kuhitajika zaidi kwenye mambo mengine, ikiwemo uzalishaji wa umeme.
Hivi nani kasema umeme ukiwa MeW 2,100 ndio utakuwa umetosha?
 
Hii habari imenisikitisha sana, siamini kama viongozi wetu hawakujua yote haya! Wanatumika kwa maslahi ya nani?!!
Hapana, sio kwamba wanatumika kwa maslahi ya mtu.
Kumetokea kuwepo kwa kiongozi mwenye 'mabavu' mengi, asiyehojiwa.

Yeye akishikilia jambo hata kama ni msimamo wa kimakosa, hakuna kiongozi mwingine anayeweza kuhoji msimamo huo. Tatizo lipo hapo.
 
Mkuu 'Hujijui', sijui nianzie wapi kukuelewesha, wakati hata mwenyewe 'kujijua' ni shida.

Polisi/na hao wengine uliowataja ni vyombo tu; hata wewe ukivipewa utavitumia kama unavyolitumia jembe lako la mkono.
Mwenye vyombo hivi alimkabidhi anayevitumia sasa hivi kuwakandamiza hao wenye vyombo vyao.

Hawa wananchi wakisema wanavichukua vyombo hivyo utaona jinsi vitakavobadilika na kumsurubu huyo huyo anayevitumia vibaya.

Sasa kama bado huelewi haya itakuwa vigumu sana kukuelewesha.
pole nasikitika kukuambia kuwa wewe ndo mr hujijui,vyombo vyetu vya dola si mali ya mtu,ni mali ya serikali na serikali ni chombo cha wananchi na IPO kwa mujibu wa katiba ya JMT ambayo inamilikiwa na watanzania, ujinga wa watumishi wa vyombo hivyo ndo umefanya watumikie mtu badala ya nchi kwa maana ya wenye serikali,na kwa kuwa nchi ina watu wengi wenye akili kama zako,wanaoamini serikali ni mali ya magufuli na ccm ndo maana tunapelekeshwa kama misukule
 
Gas ipo nyingi na nia ya waliofanya utafiti ni kuuza kwenye masomo makubwa far east, Europe and America.
Kuzalisha umeme wa gas haikuwa lengo lao nchini. Kwa maana hiyo sioni uhusiano wowote wa Nyerere Dam na mambo ya gas.
Bado gas inaendelea kuhitajika zaidi kwenye mambo mengine, ikiwemo uzalishaji wa umeme.
Hivi nani kasema umeme ukiwa MeW 2,100 ndio utakuwa umetosha?
Mkuu tuje kwenye comperative advantage ya hii miradi. Unadhani kulikuwa na haja ya kuharibu ule msitu for now kwaajili ya umeme wakati gas ipo na inavunwa pamoja na miundombinu yake kukamilika? Take note on mabadiliko ya tabia nchi. Then tujiulize, litajaa lini? Lini litazalisha hizo mega watts?
 
Ni nani na kwa sababu zipi anayeweza kuhoji uhakika wa bandiko 'straightforward' kama hili!

Sasa tafuta humu JF aina ya 'bandiko' kama hili kutoka kwa mwandishi huyu huyu linalopewa uzito na 'ushahidi' kama hili hapa.
Kama lipo, nitaomba 'mea clupa' hamsini kwa siku ya leo - Ijumaa, Feb. 14, 2020; humu humu JF.
P
 
Wawekezaji wakaelekeza nguvu zao za utafiti Msumbiji. Leo Msumbiji inafahamika kuwa na gas nyingi kuliko ya kwetu. Sasa kiwanda kikubwa kabisa cha LNG kitajengwa Msumbiji. Nasi tutafaidika kwa kuagiza gas toka Msumbiji!! Ndiyo utajua ule msemo, 'kosa mali upate akili'.

Nilishalisema sana hili jambuo humu, wakati fulani hata kusema baada ya eneo la gesi Msumbiji kuingia machafuko ya waasi tuwahi kujenga kiwanda. Mojawapo ya thread nilizotoa kuhusu hili ni hii

Kampuni ya mafuta ya Norway, Staoil, inayofanya utafiti wa mafuta na gesi nchini imetangaza kugundua gesi zaidi katika eneo la Tanzania.

Ugunduzi huu unazidi kuiimarisha Tanzania kama nchi duniani zenye kiasi kikubwa cha gesi. Sasa Statoil wanaanza kufikiria uwezekano wa kujenga mitambo ya kusindika gesi (CNG Plant) is kuweza kuisafirisha gesi nchi za nje.

Ikumbukwe kwamba bila kuwa na mitambo ya kusindika gesi, hata nchi ikiwa na gesi nyingi kiasi gani haiwezi kutusaidia kwa sababu ni vigumu kuisafirisha kwenda nje. Na kama nchi kama Mozambique, ambao nao wana gesi, wakituwahi kujenga mtamo wa kusindika gesi, basi inawezekana Tanzania tusijenge huo mtambo.


Source: Reuters

Oslo - The Norwegian energy firm Statoil has made another natural gas discovery in Block 2 offshore Tanzania, boosting gas volumes by 1.0-1.8 trillion cubic feet (28.5-51.3 billion cubic metres), the company said on Monday.
That brings the total discovered gas volumes in Block 2 to approximately 22 trillion cubic feet, it added.

The company believes more discoveries can be made in the area, but said it will now concentrate on appraising one of its previous seven discoveries. Following this, there will be a pause in drilling to evaluate next steps and to mature new prospects, Statoil said.

The company has said it may build a liquefaction plant with Britain's BG Group, which operates neighbouring exploration blocks.

Unlike the previous discoveries in the block, where ExxonMobil participated with a 35 percent stake, Statoil said it had paid 100 percent of the cost for the latest well.
Reuters
 
Mkuu tuje kwenye comperative advantage ya hii miradi. Unadhani kulikuwa na haja ya kuharibu ule msitu for now kwaajili ya umeme wakati gas ipo na inavunwa pamoja na miundombinu yake kukamilika? Take note on mabadiliko ya tabia nchi. Then tujiulize, litajaa lini? Lini litazalisha hizo mega watts?

Kwakweli siwezi kusema kwenye hilo maana sina facts.
Unless najua nini kinaendelea huko, comments zangu hazitakuwa halisia
 
Kwakweli siwezi kusema kwenye hilo maana sina facts.
Unless najua nini kinaendelea huko, comments zangu hazitakuwa halisia
Nahisi hilo halijafikiriwa. Walichowaza ni kuacha legacy ya kuwa tumejenga bwana. Ila kwa uelewa wangu, Hiki si kitu cha miaka kumi. Ni zaidi ya miaka 15. Angalua bwawa wanalojenga Ethiopia. Pia mpaka tuje kufikisha hizo megawatts 2000 ni more than other 10 yrs. Mkuu bwawa la umeme haliwezi kujengwa leo na kuzalisha umeme next year. Ni mchakato wa kulijaza maji na kuhakiksha liko imara then linaanza kutumika.
 
pole nasikitika kukuambia kuwa wewe ndo mr hujijui,vyombo vyetu vya dola si mali ya mtu,ni mali ya serikali na serikali ni chombo cha wananchi na IPO kwa mujibu wa katiba ya JMT ambayo inamilikiwa na watanzania, ujinga wa watumishi wa vyombo hivyo ndo umefanya watumikie mtu badala ya nchi kwa maana ya wenye serikali,na kwa kuwa nchi ina watu wengi wenye akili kama zako,wanaoamini serikali ni mali ya magufuli na ccm ndo maana tunapelekeshwa kama misukule
Eeeenh, kweli hujijui wewe.
Hizi shule mnazosoma zina matatizo makubwa. Mtu unasoma kitu huelewi umesoma nini, halafu unarudia yaleyale ambayo hukuyaelewa.
Hii sio mara yako ya kwanza kujichanganya nikajaribu kukurekebisha. Unayo shida fulani katika uelewa wa unachokisoma.

Najua utang'ang'ana. Basi potelea mbali.
 
P
Hapa natakiwa kuzifungua hizi nilizojiapiza kwamba sitahangaika nazo?
Na nikifungua nikakuta ni yaleyale ya mizunguko, mara 'sweet' mara 'sour' kwenye dish lilelile itakuwaje?

Bado nitatakiwa kutoa 'mea clupa' hizo hamsini kwa kipande hicho hapo cha utangulizi?

Hapana. Sitakwenda huko.
 
Huu ndio upuuzi.

Unamwambia mwenzio aliyetoa mada na kujieleza vizuri "...hujui sababu gani mpaka sasa serikali imechelea(?) katika utekelezaji wa..."; halafu wewe unayejua hata huelezi. Kama sio ujuha huo tuuite nini?

Ajieleweshe wapi na huku wewe unayejua hata hutaki au hauna uwezo kueleza na sisi tusiojua tujue?

Kutokana na uandishi wako ni wazi hujui lolote, na watu kama nyinyi ndio mliojaa humo serikalini mkijifanya kujua na kuvuruga mipango ya nchi hii.

Bure Kabisa.
Sawa mwerevu wewe
 
Back
Top Bottom