GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Rais kamng'oa RC wa Moro kwa uzembe lakini wa Dar mwenye makosa yanayofanana na ya wa Moro kaachwa. Inawezekana wa Dar ana Kinga kikatiba kutoguswa?!
Maana inapofika rais anaongelea mapungufu ya RC wa Dar huwa anakuwa kama vile hana uwezo naye. Tuliona hata wakati wa makontena alimuongelea kinyonge sana kana kwamba hana la kumfanya
Ogopa sana Mtu akiyajua Majina yote Matatu ya Mama yako Mzazi kwani ' Akikuroga ' huchomoi tena labda mpaka ' aliyekuroga ' akuonee Huruma na kama Rohoni mwake huwa ana tabia ya huruma ila kama hana basi ' Ulozi ' wake utakukolea mpaka 2020 hadi 2025 na ikiwezekana hadi Kufa Kwako.