jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu kidogo babu yenu nimerudi jamvini kwa mara nyingine tena.
Nilienda arumeru kutetea chama kikongwe cha mapinduzi.
Awali ya yote nachukua fursa hii kuwapongeza chadema kwa uwezo wao mkubwa wa KULINDA KURA kwasababu hili limekuwa ni tatizo lao kubwa hasa ukizingatia hawana miundo mbinu ya kutosha.
Nimeshangazwa ni wapi wapinzani wetu walipopata habari kuwa chupa moja ya chai inaweza kubeba kura 1000.sielewi ni nani aliyekuwa anavujisha siri ya vikao vyetu vya ndani pale hoteli ya gateway na baadaye pale ndesa lodge!!
Yote kwa yote hongereni wapinzani,naona mmeanza kukomaa.
KOSA LA JK
Mwenyekiti wetu ndiye aliyetoa wazo la Siyoi kugombea jimboni huko.(ile siku ya mazishi ya mzee sumari)
Baada ya kuuza wazo hili kwa wazee,tulimsihi kuwa hili ni pigo kwa ccm kwani kijana Siyoi hana uzoefu na hajulikani sana na wapiga kura wa meru.
Ninashukuru alituelewa na kutuma ujumbe juu ya hilo.pendekezo likawa ni willy sarakikya.maazimio yalifikiwa tuhakikishe sarakikya anapitishwa,chiligati na msekwa walijitahidi katika hili lakini......maji yakimwagika hayazoleki!
KOSA LA LOWASA
Baada ya kuona mwenyekiti kateleza ndugu EL aliamua kutumia fursa hii kuhakikisha Siyoi anapitishwa,aliamua kumwaga fedha na baadae kuchukua jukumu la kumuuza Siyoi kwa wameru.
Kabla ya lowasa kupanda jukwaani upepo ulikuwa upande wa ccm lakini kuna tuhuma zilitolewa na wazee wa kimeru kuwa lowasa aliwatukana wakati wa kampeni, hili nimelithibitisha wakati nikiendelea kuwashawishi wazee wenzangu kuichagua ccm.
Kwa ufupi ni hayo tu niliyoweza kuyaobserve huko arumeru mashariki.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nilienda arumeru kutetea chama kikongwe cha mapinduzi.
Awali ya yote nachukua fursa hii kuwapongeza chadema kwa uwezo wao mkubwa wa KULINDA KURA kwasababu hili limekuwa ni tatizo lao kubwa hasa ukizingatia hawana miundo mbinu ya kutosha.
Nimeshangazwa ni wapi wapinzani wetu walipopata habari kuwa chupa moja ya chai inaweza kubeba kura 1000.sielewi ni nani aliyekuwa anavujisha siri ya vikao vyetu vya ndani pale hoteli ya gateway na baadaye pale ndesa lodge!!
Yote kwa yote hongereni wapinzani,naona mmeanza kukomaa.
KOSA LA JK
Mwenyekiti wetu ndiye aliyetoa wazo la Siyoi kugombea jimboni huko.(ile siku ya mazishi ya mzee sumari)
Baada ya kuuza wazo hili kwa wazee,tulimsihi kuwa hili ni pigo kwa ccm kwani kijana Siyoi hana uzoefu na hajulikani sana na wapiga kura wa meru.
Ninashukuru alituelewa na kutuma ujumbe juu ya hilo.pendekezo likawa ni willy sarakikya.maazimio yalifikiwa tuhakikishe sarakikya anapitishwa,chiligati na msekwa walijitahidi katika hili lakini......maji yakimwagika hayazoleki!
KOSA LA LOWASA
Baada ya kuona mwenyekiti kateleza ndugu EL aliamua kutumia fursa hii kuhakikisha Siyoi anapitishwa,aliamua kumwaga fedha na baadae kuchukua jukumu la kumuuza Siyoi kwa wameru.
Kabla ya lowasa kupanda jukwaani upepo ulikuwa upande wa ccm lakini kuna tuhuma zilitolewa na wazee wa kimeru kuwa lowasa aliwatukana wakati wa kampeni, hili nimelithibitisha wakati nikiendelea kuwashawishi wazee wenzangu kuichagua ccm.
Kwa ufupi ni hayo tu niliyoweza kuyaobserve huko arumeru mashariki.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!