ludoking
Senior Member
- Oct 5, 2008
- 124
- 71
Jamaa wawili walikuwa wanacheza karata porini. Mara wakapita wakulima, wakasikia sauti inasema, "Weka jembe chini. Wakaweka majembe yao chini. "Weka kisu, wakaweka visu chini.. " naomba kopa, wakaangaliana hawana kopa.. "Weka mavi chini, ikabidi mmoja wao anye palepale. Mara wakasikia "Kama huna mavi lamba, ikabidi yule ambaye hajanya alambe ya mwenzake.... Mara wakackia " GAME OVER". Wakashtuka kumbe kuna watu walkuwa wanacheza karata!!..............hahahaaaaaaaaaaaaaaha