Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Toka January Makamba achaguliwe na Mh Rais mwaka jana kuwa Waziri wenye dhamana ya Nishati kumekuwa na mijadala ya hovyo dhidi yake...
Wizara ya Nishati kwa miaka nenda rudi imekuwa ni wizara yenye changamoto kwa kila Waziri anayechaguliwa
Na matatizo haya yalianza kwenye awamu ya pili pale mikataba mibovu iliposainiwa lenye lengo la kuondoa matatizo ya Umeme Nchini..
Watanzania wote tunaelewa shida ya kukatika umeme ni nini pia tatizo la sasa kupanda kwa gharama za mafuta ni nini,
Inasikitisha sana kuona matatizo ya miaka mingi yote lawana zote anapewa JM
Ndio kwanza ana mwaka mmoja toka akabidhiwe wizara hii, Vizuri tumpe muda wa kutosha na badae ndio tuje kumhukumu
Kingine watanzania tuache roho ya "Wivu kila uchao majungu muda wote. Nadhan ni wakati mzuri tuwe tunatoa ushauri ambao utasaidia kuboresha changamoto za wizara ya Nishati kuliko lawama ambazo hazina tija
Mwisho, Mh Rais Samia anajua uwezo mkubwa wa Mh JM kuwa changamoto zote za wizara hii zitapatiwa ufumbuzi, Tumpe muda wa kutosha..
Alex Fredrick
Wizara ya Nishati kwa miaka nenda rudi imekuwa ni wizara yenye changamoto kwa kila Waziri anayechaguliwa
Na matatizo haya yalianza kwenye awamu ya pili pale mikataba mibovu iliposainiwa lenye lengo la kuondoa matatizo ya Umeme Nchini..
Watanzania wote tunaelewa shida ya kukatika umeme ni nini pia tatizo la sasa kupanda kwa gharama za mafuta ni nini,
Inasikitisha sana kuona matatizo ya miaka mingi yote lawana zote anapewa JM
Ndio kwanza ana mwaka mmoja toka akabidhiwe wizara hii, Vizuri tumpe muda wa kutosha na badae ndio tuje kumhukumu
Kingine watanzania tuache roho ya "Wivu kila uchao majungu muda wote. Nadhan ni wakati mzuri tuwe tunatoa ushauri ambao utasaidia kuboresha changamoto za wizara ya Nishati kuliko lawama ambazo hazina tija
Mwisho, Mh Rais Samia anajua uwezo mkubwa wa Mh JM kuwa changamoto zote za wizara hii zitapatiwa ufumbuzi, Tumpe muda wa kutosha..
Alex Fredrick