miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,967
una hatari sana mkuu
hatari ya nini tena mkuu?
una hatari sana mkuu
am fineeee...and u?
hatari ya nini tena mkuu?
Mana anapewa chochote anachotaka ili muladi pesa ubaoni asiwe na mkono wa birika
Ngoja nitafute pesa ya kutumia na wewe miss chaga unasemaje, sio hatari kuharibu pesa kadhaa kwa starehe halafu unaendelea kutafuta, unasemaje?ndiyo kam huna mkono wa birika hapo sawa chochote utakacho
karibu mkuu tafuta za kutosha si za mawazo sawa mkuuNgoja nitafute pesa ya kutumia na wewe miss chaga unasemaje, sio hatari kuharibu pesa kadhaa kwa starehe halafu unaendelea kutafuta, unasemaje?
Za kula bata haziwezi kuwa za mawazo, kwani nataka kujenga ghorofa? Si bata tu halafu maisha yanaendeleakaribu mkuu tafuta za kutosha si za mawazo sawa mkuu
sawa mkuu ila usije unaanza kunipeleka bata za uhochoroni sitakZa kula bata haziwezi kuwa za mawazo, kwani nataka kujenga ghorofa? Si bata tu halafu maisha yanaendelea
Viwanja utakimbia wewe mkuusawa mkuu ila usije unaanza kunipeleka bata za uhochoroni sitak
Viwanja utakimbia wewe mkuu
Nitakufahamisha ngoja kwanza tumalize Ramadhanipouwa mkuu amna shida sasa lini utakuwa tayari?
Nitakufahamisha ngoja kwanza tumalize Ramadhani