Makosa saba wafanyayo wasichana ambayo huwafanya wachelewe kuolewa !!!!

wengine yaani 24hrs anataka mawasiliano hata ukiwa ofisini ye anapiga na usipopokea malalamiko kila saa ukimweleza haelewi,kuishi na mtu wa malalamiko tu kila siku ni ishu lingine
 
Tatizo lako una fikra finyu sana,hufikirii zaidi ya urefu wa pua yako.......kama kuna mayatima kwa nini wasiwe adopted,si ni watoto pia??

Kwani lazima ufike 78 ukiwa huna mtoto,uzae wakati huo?? Si kuna wenye watoto na wanalea wenyewe hawataki kuolewa?kama siku akitokea akatamani kuolewa si anaolewa??

Dada zako ndo wanaishi maisha ya movie,wengine wanaishi real life,kila mtu ana choice zake kwenye maisha usijitie kujua sana whats best for everyone....

Pole yako kawape wanaokulilia shida,na ujipe mwenyewe unaowaonea wenzio shida wasizokuwa nazo.......

Si kila mtu anapagawa na G8,acha ushamba wa ku-assume kila mtu ana status moja na wewe,kwenye akili yako G8 ndo gari ya gharama sana????wenzio hatupagawi na vitu kama hivyo,tunataka peace of mind na furaha kwenye maisha yetu,na tunajiamini na tunaishi maisha quality independently,wewe kama mama yako alikuambia furaha inakuja ukioa au kuolewa,wengine mama zetu walitulea kuwa independent na kufanya maamuzi wenyewe si kwa kuangalia wengine wanafanyaje.We do what is best for US not for everyone.:coffee:
Umeongea vyema
 
Embu kwendeni zenu huko! Kila siku mmekazana kusakama wadada ambao hawajaolewa, hivi hamuwaoni wale mlowatelekeza huko mitaani na watoto? Sijaona hata mmoja akiconfess hapa wengi mnakimbilia kutuhumu, haya na hao mlowatelekeza/ wazalisha watoto halafu mkawaacha wanahangaika huko, mmemuachia nani awaoe? Au ndo kusema nyie watu mnafanyaga mazuri sana? Kwa hiyo mtu ajiforce tu kuolewa eti kisa umri unakwenda na warika lake watakuwa wameshaoa? Msituletee hadithi zenu za abunuasi hapa, kuolewa is not mandatory its an option na haina specific age acheni kukariri!!! Let a person get married when she is read na sio kwa mazoea! Aiyaa......!!!!
 

  • baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
  • baadhi ya wasichana wanapenda na kutamani kuwa na wanaumme wazuri sana kuliko wote amabao hawapo.
  • baadhi ya wasichana hawajishughulishi kabisa na kujiweka katika hali ya kuvutia wakiamini kwamba mungu atawaletea tu. Hata wawe na tabia nzuri au mbaya.
  • baadhi ya wasichana wakivishwa pete na baadae kutelekezwa na kuachwa huamini kuwa wanaume wote duniani hawafai tena na huwachukia wanaume wote.
  • baadhi ya wasichana wanajifanya ni wa daraja la juu sana na mwishowe hufanya kiburi na hatimae wanaume wanawakwepa.
  • baadhi ya wasichana wana tatizo la kutokujiamini na wanawaogopa wanaume kupita kiasi.
  • baadhi ya wasichana wanapenda kuolewa na watu wa kabila lao au watu kutoka kijiji kimoja ambayo , ambapo pale mahala wanapoishi kwa sasa huwa vigumu kupatikana !!!
mimi hiyo red ndo inanicost jamani sina tatizo lingine
 
Umesahau,
wengine wanajishughulisha sana na shule, kujitafutia maendeleo katika maisha yao binafsi na kusahau kuyapa mahusiano kipaumbele, wakija kushtuka muda umepita, wana miradi/kazi nzuri, pesa nyingi na wanaume wa umri unaofaa wanawaogopa.

kweli kabisa, taasisi nazo zinachelewesha.
 
Mtoa mada umeongea point,lakini baadhi ya wachangiaji wanaongea as if kila mdada ambaye hajaolewa kakosa wa kumuoa.mkae mkijua kuolewa ni option,msiconclude maneno kirahisi rahisi ivo.
 
Kila mtu ana mtu wa ndoto zake. sio lazima kukimbilia kuolewa na mtu yeyote kwa hofu ya kuchelewa halafu usimfurahie.

Halafu kuchelewa kuolewa sio vibaya, la muhimu kuolewa na mtu sahihi kwako.
 
Sasa vijana wenyewe nyie usumbufu tuuuu, kesho huyu, leo huyu, jana huyu.
Hunisaidii chochote, nikiuomba vocha unasema, nikiwa mchafu unasema, nisipovaa vizuri unasema.

Daaa ama kweli dunia ina mambo.


M

Utegemezi wenu ndio unaosababisha yote hayo.
 
Na kusubiri kutafutwa pia. Hawajihangaishi kutafuta wanaume wa kuwaoa. Hii ni kasumba mbaya sana. Akina dada nanyi tafuteni, watokee wakaka haina noma.
Ha ha haa umenichekesha mkuu unajua kuna wanaume huwa wanasubiri
kutongozwa na wanawake?
 
Bomba sana, ila amesahau moja ...

Baadhi ya wasichana ukichukua namba yake ya simu leo, kesho yake anakuomba umtumie vocha ...
Kwa sababu na wewe una haraka, yaani kukaa siti
moja tu ya daladala baada ya salamu unaomba namba
ya simu.
 
Umesahau 1,wasichana wasasa wanasubiri
Wanatafuta wazee ,kwa udi na uvumba ,eti kuwa wazee lazima wanahela za mafao,na kuwakimbia vijana ,kwa sasa hii ndio ndoto yao kubwa.
Great! Unajua wanawake wa sasa hawana mapenzi na sidhani kama
wanafurahia kile kinachoendelea kwenye 6 x 6 Huwa wanatimiza wajib
tu, wao wanapenda pesa kuliko mfuko!
 
Back
Top Bottom