Makosa saba wafanyayo wasichana ambayo huwafanya wachelewe kuolewa !!!!

NA UTAKAPO OLEWA UTASHIKA MIMBA AT 78? UTAKAPO ZAA MTOTO ATKUITE MAMA AU BIBI?
Acheni kujidanganya na wazungu na hawa Black Americans ambao wanasagana na kukimbilia adoption
Madada wa Kitanzania acheni Movies Life na ucerebrity fake.
Du ila ina wacost poleni sana,Ndo maana mnapangwa na G8 apa Mujini kama simu za kichina

Mkaka wa kitanzania, ndoa ni zaidi ya mtoto, mama na bibi.
Usije ukaoa simply because unataka mtoto, au umri umeenda.

Maisha ni Amani na Furaha.

Afadhali kukaa kwenye pembe ya dari kuliko kuishi na mwanamke/mwanaume mgomvi. Mithal..........
 

  • baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
  • baadhi ya wasichana wanapenda na kutamani kuwa na wanaumme wazuri sana kuliko wote amabao hawapo.
  • baadhi ya wasichana hawajishughulishi kabisa na kujiweka katika hali ya kuvutia wakiamini kwamba mungu atawaletea tu. Hata wawe na tabia nzuri au mbaya.
  • baadhi ya wasichana wakivishwa pete na baadae kutelekezwa na kuachwa huamini kuwa wanaume wote duniani hawafai tena na huwachukia wanaume wote.
  • baadhi ya wasichana wanajifanya ni wa daraja la juu sana na mwishowe hufanya kiburi na hatimae wanaume wanawakwepa.
  • baadhi ya wasichana wana tatizo la kutokujiamini na wanawaogopa wanaume kupita kiasi.
  • baadhi ya wasichana wanapenda kuolewa na watu wa kabila lao au watu kutoka kijiji kimoja ambayo , ambapo pale mahala wanapoishi kwa sasa huwa vigumu kupatikana !!!
Si kweli mbona. Kuna wanawake wengi tu wametamani kuolewa na hawajafanya kosa lolote katika hayo na bado hawajaolewa. Acha story za kutunga.
 
Mkaka wa kitanzania, ndoa ni zaidi ya mtoto, mama na bibi.
Usije ukaoa simply because unataka mtoto, au umri umeenda.

Maisha ni Amani na Furaha.

Afadhali kukaa kwenye pembe ya dari kuliko kuishi na mwanamke/mwanaume mgomvi. Mithal..........


The Following User Says Thank You to LD For This Useful Post:

michelle (Today)​
 
Umesahau 1,wasichana wasasa wanasubiri
Wanatafuta wazee ,kwa udi na uvumba ,eti kuwa wazee lazima wanahela za mafao,na kuwakimbia vijana ,kwa sasa hii ndio ndoto yao kubwa.

Sasa vijana wenyewe nyie usumbufu tuuuu, kesho huyu, leo huyu, jana huyu.
Hunisaidii chochote, nikiuomba vocha unasema, nikiwa mchafu unasema, nisipovaa vizuri unasema.

Daaa ama kweli dunia ina mambo.


M
 
NA UTAKAPO OLEWA UTASHIKA MIMBA AT 78? UTAKAPO ZAA MTOTO ATKUITE MAMA AU BIBI?
Acheni kujidanganya na wazungu na hawa Black Americans ambao wanasagana na kukimbilia adoption
Madada wa Kitanzania acheni Movies Life na ucerebrity fake.
Du ila ina wacost poleni sana,Ndo maana mnapangwa na G8 apa Mujini kama simu za kichina

G8??!! Da nimeipenda nidadavulie inajumuisha kina nani?
 
NA UTAKAPO OLEWA UTASHIKA MIMBA AT 78? UTAKAPO ZAA MTOTO ATKUITE MAMA AU BIBI?
Acheni kujidanganya na wazungu na hawa Black Americans ambao wanasagana na kukimbilia adoption
Madada wa Kitanzania acheni Movies Life na ucerebrity fake.
Du ila ina wacost poleni sana,Ndo maana mnapangwa na G8 apa Mujini kama simu za kichina

Kwani kuoelewa ni kwa ajili ya kuzaa tu jamani? Si watashiriki na kufurahia mengine yaliyobaki. Kuzaa majaaliwa jamani so umri wa kuolewa tusiangalie tu uwezo wa kuzaa.
Acheni mtu achague apendacho,wanaume kibao wana 35 and above wamejaa mtaani hawajaoa na wamezaa kila kona lakini hawaongelewi.
Waacheni wadada na lifestyle yao,hamjui kwanini wanaishi hivyo. Sipingani na mtoa mada ila maoni mengine ni kushambulia zaidi.
 
Kuolewa hakuna mwisho,hata ukiolewa na 78 yrs bado ni ndoa.........have fun,love yourself and do what makes you the happiest,life is short and there is no guarantee that when married everything will be smooth.......chelewa as much as you can,when you are comfortable and you meet someone.....go ahead!!
Point taken!ur so right!tunajiconfuse sana kwmba ukiolewa basi ndo utakua happy,while tht is not necessary!wtvr priorty u thnk matters in yo lyf go for it,wheather marriage or wtsoever!na isiwe km lazima sanaaa apo ndo nnapoboreka eti ukifikisha umri flani basi lazm yoyote atakaejitokeza..that is insane!
 
Umesahau,
wengine wanajishughulisha sana na shule, kujitafutia maendeleo katika maisha yao binafsi na kusahau kuyapa mahusiano kipaumbele, wakija kushtuka muda umepita, wana miradi/kazi nzuri, pesa nyingi na wanaume wa umri unaofaa wanawaogopa.

That is absolutely true!absolutely!
 
Kama ningekuwa na uwezo wa kutoa phd ya heshima.
Ningemtunikia kaka nanii.
Yani umeongea kweli tupu.
Ambao hawajaolewa pitieni tena huu uzi.
 
Huu uzi umenikumbusha maneno ya vijana wa mtaani nilivyokuwa bado kabinti; "unajifanya cake wakati biscut ya muhogo"
Hapo kijana katolewa nje.
 
Kuolewa hakuna mwisho,hata ukiolewa na 78 yrs bado ni ndoa.........have fun,love yourself and do what makes you the happiest,life is short and there is no guarantee that when married everything will be smooth.......chelewa as much as you can,when you are comfortable and you meet someone.....go ahead!!

Michelle 78 (Sabaini na nane???) Nimeskitika sana Michelle... una-washauri wadada ivi...???
 
Back
Top Bottom