muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Ficha upumbavu wako na onyesha hekima yako
Tafuta sababu za kutupwa kesi ya Ally Mley mgombea ubunge CHADEMA kigoma Mjini na ndio utaelewa kati ya mimi na wewe nani mpumbavu.
Bora mjinga kama hajui anasema hajui na kujifunza, wakati mpumbavu anajifanya anajua huku hajui.