mr_yoo
Member
- Oct 14, 2016
- 36
- 23
Nina ndugu yangu amehitimu kidato cha sita ila kuna mtu mwingine amejisajili kuomba mkopo kwa kutumia taarifa namba yake ya kidato cha nne kimakosa na akaachia usajili katikati baada ya kukosea hivyo huyu ndugu yangu kila akijaribu kuaply anaambiwa umeshasajiliwa.
Tafadhali naomba ushauri nini afanye ili aweze kujisajili kabla mda haujaisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali naomba ushauri nini afanye ili aweze kujisajili kabla mda haujaisha?
Sent using Jamii Forums mobile app