Makosa kwa kijana anapomtumia ujumbe mfupi mwanamke

Kiume3000

Senior Member
May 17, 2021
180
218
Wakati kila siku mara moja au zaidi huwa tunawatext wanawake. Aidha wawe ni wapenzi wetu, tunaowatongoza ama marafiki zetu. Na kila siku huwa tunapatwa na changamoto mbalimbali kutokana na matangamano yetu. So huwa kunakosekana nini? Ifuatayo ni orodha ya mambo 5 makuu ambayo wanaume wengi hukosea wakati wanapomtext mwanamke, na jinsi ya kutatua.

1. Kukata tamaa mapema kwa mwanamke
Kosa kuu ambalo wanaume wengi hufanya ni kukata tamaa mapema wakati wanapomtext mwanamke. Watamtext mwanamke, na kama hatajibu jumbe zake (ama kujibu kiuchache) watachukulia kuwa mwanamke huyu amepoteza interest na wanakata tamaa. Hili ni kosa kuu sana.

Kama inavyojulikana kikawaida ni kuwa mwanamke anaweza kutojibu meseji zako, na sababu hizo hazina uhusiano moja kwa moja na kutokuwa na interest kwako. Kwa mfano, anawezakuwa labda yuko busy, katika mood mbaya, ama labda hayuko sure ni kitu gani cha kukujibu kwa meseji. Kiufupi ni kuwa haujui kile ambacho kinazunguka kwa akili ya mwanamke, so haina haja ya kufikiria jambo baya.

So, iwapo kama mwanamke hakukujibu ama hayuko interested na wewe, lakini bado unataka kuongea na yeye, hivi ndivyo unavyopaswa kufanya; Mpe muda wa kutosha (siku chache ama hata wiki) halafu anza kumhusisha kwa meseji. Kama vile texts zozote za kawaida, hapa utakuwa unataka kuhakikisha kuwa unamvutia, unamfurahisha na unamchesha. Na zaidi ni kuwa unapaswa kutafuta swali ambalo litamlazimu yeye kureply meseji yako. Yote hayo, huu hapa ni mfano mzuri wa meseji ambayo itamhusisha mwanamke yeyote:

Hello mrembo…hivi kweli uko hai? Nitume kikosi cha maninja kije kikunusuru ama?

Yaweke maneno yako kuwa ya ucheshi, yawe na kamchezo flani na bila shaka utamfanya huyu mwanamke kutabasamu na kuwa katika hali ya kuchangamka. Kama utaweza kumfanya atabasamu basi muda mchache tu atakujibu.

2. Kutext mara nyingi
Hakuna kitu ambacho kinaweza kuua nafasi yako kwa mwanamke kama kumtumia jumbe mara nyingi. Humfanya mwanaume aonekane mwenye tamaa hivyo kumfukuza mwanamke.

Kwa kuepuka haya yote hizi hapa ni njia unazoweza kuzitumia ambazo zinaweza kukusaidia kumtext mwanamke wakati sawa.

♥ Unapomtext mwanamke, hakikisha kuwa jumbe zinakuwa 1:1, Unahakikisha kuwa kila meseji anayotuma unaijibu na moja (pia hakikisha urefu unakuwa sambamba)

♥ Acha kumtext na jumbe zisizo na mwelekeo. Usimjibu mwanamke jumbe wakati ambapo haihitaji jibu. Kwa mfano, si lazima uijibu text ya mwanamke ya ‘usiku mwema’ kama utamwambia ‘nawe pia’. Ikifikia hatua hii mazungumzo yenu yatakuwa yameisha. Inachotakiwa kutoka kwako ni kuhakikisha kuwa jumbe ya mwisho inaisha kutoka kwake.

♥ Weka fikra ya wengi. Wakati ambapo unamtext mwanamke mmoja, huwa kawaida unakuwa na mtazamo finyu wa kumfiria sana mwanamke huyu ukiogopa asikuache. Well, kutatua swala hili, lile unalotakiwa kufanya ni kuhakikisha kuwa katika akili yako weka ya kuwa una wanawake kadhaa ambao wanakufukuzia. Hii itakusaidia kuondoa uhitaji mwingi wowote.

3. Kuchukulia jumbe unazomtumia serious

Kuna hali tofauti tofauti ya kuwa serious na mwanamke wakati wa mazungumzo lakini kutumia jumbe si moja wapo. Kujifanya kuwa serious wakati wa kumtext mwanamke kunachosha na hakuna mtu anapenda. Hivyo weka seriousness zako mbali kabisa na ulete hali ya ”nataka-tujuane-nawe”. Wakati unapomtext mwanamke, unapaswa kumakinika kuleta furaha.

Sasa, njia nzuri ya kuhakikisha kuwa unamfanya mwanamke anakuwa na shangwe wakati wote ni kwa kutumia ’emoticons’. Wanaume wengi wanajitenga kutumia emoticon wakidhania kuwa ni mambo ya wanawake, ukweli ni kuwa ni mambo ya wanawake na wanawake wanapenda kutumia emoticon. Pia zinasaidia kwa kuwa kile utakachokisema kwa kutumia emoticon mwanamke hatakipuuza. Hatobahatisha hisia zako kamwe kwa kuwa emoticon zinasaidia kupitisha ujumbe unaodhaminia. Na matokeo yake ni kuwa unaepukana na drama zozote zitakazojitokeza.

4. Kutotext wanawake wengi

Wakati mwanaume anatext mwanamke mmoja, ni rahisi kwake kumaliza maongezi yake mapema kwa kuwa hana fikra pevu kama vile tulivyotangulia kusema awali. Kama unataka kuwa na fikra pevu na uwezo rahisi wa kutangamana na wanawake basi ni lazima uwe unatext wanawake wengi. [Soma: Njia 5 rahisi za kumwomba mwanamke namba ya simu]

Kufanya mazungumzo mengi na wanawake wengi kunakupa ufahamu na mbinu pana za kuweza kuzungumza na wanawake. Ustadi huu utakuja wenyewe iwapo utajikita kuongea na wanawake wengi na tofauti tofauti katika meseji zako. So kinachohitajika kwako ni kutafuta namba za wanawake tofauti tofauti na uanze kuongea nao kupitia jumbe.

5. Tunasahau lengo kuu la kumtext mwanamke

Wakati mwingine wanaume wanasahau kwa nini wanawatumia jumbe wanawake. Wanakita kuongea mambo ya mbele, nyuma na ovyo bila msingi wowote ule. Wanasahau ile taswira kuu ya kumtext mwanamke. Taswira kuu kama tujuavyo ni kuhakikisha unatoka deti na mwanamke huyu.

Lakini usichukulie kuwa kuchat na mwanamke kupitia texts imepangwa, la. Unapaswa kutumia mfumo ule wa kawaida wa kuleta ucheshi, mzaha nk, kama tulivyoelezea awali. Hivyo basi, mbinu zako za kumtext mwanamke lazima ziwe za kuvutia, za nakshi na ambazo zitaleta msisimko ndani yake. Kama utamtext mwanamke bila mpangilia ama lengo flani, basi bila shaka atapoteza hamu na kuenda zake.

Rais Samia Ateua Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Atengua uteuzi wa Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu
 
Wakati kila siku mara moja au zaidi huwa tunawatext wanawake. Aidha wawe ni wapenzi wetu, tunaowatongoza ama marafiki zetu. Na kila siku huwa tunapatwa na changamoto mbalimbali kutokana na matangamano yetu. So huwa kunakosekana nini? Ifuatayo ni orodha ya mambo 5 makuu ambayo wanaume wengi hukosea wakati wanapomtext mwanamke, na jinsi ya kutatua.

1. Kukata tamaa mapema kwa mwanamke
Kosa kuu ambalo wanaume wengi hufanya ni kukata tamaa mapema wakati wanapomtext mwanamke. Watamtext mwanamke, na kama hatajibu jumbe zake (ama kujibu kiuchache) watachukulia kuwa mwanamke huyu amepoteza interest na wanakata tamaa. Hili ni kosa kuu sana.

Kama inavyojulikana kikawaida ni kuwa mwanamke anaweza kutojibu meseji zako, na sababu hizo hazina uhusiano moja kwa moja na kutokuwa na interest kwako. Kwa mfano, anawezakuwa labda yuko busy, katika mood mbaya, ama labda hayuko sure ni kitu gani cha kukujibu kwa meseji. Kiufupi ni kuwa haujui kile ambacho kinazunguka kwa akili ya mwanamke, so haina haja ya kufikiria jambo baya.

So, iwapo kama mwanamke hakukujibu ama hayuko interested na wewe, lakini bado unataka kuongea na yeye, hivi ndivyo unavyopaswa kufanya; Mpe muda wa kutosha (siku chache ama hata wiki) halafu anza kumhusisha kwa meseji. Kama vile texts zozote za kawaida, hapa utakuwa unataka kuhakikisha kuwa unamvutia, unamfurahisha na unamchesha. Na zaidi ni kuwa unapaswa kutafuta swali ambalo litamlazimu yeye kureply meseji yako. Yote hayo, huu hapa ni mfano mzuri wa meseji ambayo itamhusisha mwanamke yeyote:

Hello mrembo…hivi kweli uko hai? Nitume kikosi cha maninja kije kikunusuru ama?

Yaweke maneno yako kuwa ya ucheshi, yawe na kamchezo flani na bila shaka utamfanya huyu mwanamke kutabasamu na kuwa katika hali ya kuchangamka. Kama utaweza kumfanya atabasamu basi muda mchache tu atakujibu.

2. Kutext mara nyingi
Hakuna kitu ambacho kinaweza kuua nafasi yako kwa mwanamke kama kumtumia jumbe mara nyingi. Humfanya mwanaume aonekane mwenye tamaa hivyo kumfukuza mwanamke.

Kwa kuepuka haya yote hizi hapa ni njia unazoweza kuzitumia ambazo zinaweza kukusaidia kumtext mwanamke wakati sawa.

♥ Unapomtext mwanamke, hakikisha kuwa jumbe zinakuwa 1:1, Unahakikisha kuwa kila meseji anayotuma unaijibu na moja (pia hakikisha urefu unakuwa sambamba)

♥ Acha kumtext na jumbe zisizo na mwelekeo. Usimjibu mwanamke jumbe wakati ambapo haihitaji jibu. Kwa mfano, si lazima uijibu text ya mwanamke ya ‘usiku mwema’ kama utamwambia ‘nawe pia’. Ikifikia hatua hii mazungumzo yenu yatakuwa yameisha. Inachotakiwa kutoka kwako ni kuhakikisha kuwa jumbe ya mwisho inaisha kutoka kwake.

♥ Weka fikra ya wengi. Wakati ambapo unamtext mwanamke mmoja, huwa kawaida unakuwa na mtazamo finyu wa kumfiria sana mwanamke huyu ukiogopa asikuache. Well, kutatua swala hili, lile unalotakiwa kufanya ni kuhakikisha kuwa katika akili yako weka ya kuwa una wanawake kadhaa ambao wanakufukuzia. Hii itakusaidia kuondoa uhitaji mwingi wowote.

3. Kuchukulia jumbe unazomtumia serious
Kuna hali tofauti tofauti ya kuwa serious na mwanamke wakati wa mazungumzo lakini kutumia jumbe si moja wapo. Kujifanya kuwa serious wakati wa kumtext mwanamke kunachosha na hakuna mtu anapenda. Hivyo weka seriousness zako mbali kabisa na ulete hali ya ”nataka-tujuane-nawe”. Wakati unapomtext mwanamke, unapaswa kumakinika kuleta furaha.

Sasa, njia nzuri ya kuhakikisha kuwa unamfanya mwanamke anakuwa na shangwe wakati wote ni kwa kutumia ’emoticons’. Wanaume wengi wanajitenga kutumia emoticon wakidhania kuwa ni mambo ya wanawake, ukweli ni kuwa ni mambo ya wanawake na wanawake wanapenda kutumia emoticon. Pia zinasaidia kwa kuwa kile utakachokisema kwa kutumia emoticon mwanamke hatakipuuza. Hatobahatisha hisia zako kamwe kwa kuwa emoticon zinasaidia kupitisha ujumbe unaodhaminia. Na matokeo yake ni kuwa unaepukana na drama zozote zitakazojitokeza.

4. Kutotext wanawake wengi
Wakati mwanaume anatext mwanamke mmoja, ni rahisi kwake kumaliza maongezi yake mapema kwa kuwa hana fikra pevu kama vile tulivyotangulia kusema awali. Kama unataka kuwa na fikra pevu na uwezo rahisi wa kutangamana na wanawake basi ni lazima uwe unatext wanawake wengi. [Soma: Njia 5 rahisi za kumwomba mwanamke namba ya simu]

Kufanya mazungumzo mengi na wanawake wengi kunakupa ufahamu na mbinu pana za kuweza kuzungumza na wanawake. Ustadi huu utakuja wenyewe iwapo utajikita kuongea na wanawake wengi na tofauti tofauti katika meseji zako. So kinachohitajika kwako ni kutafuta namba za wanawake tofauti tofauti na uanze kuongea nao kupitia jumbe.

5. Tunasahau lengo kuu la kumtext mwanamke
Wakati mwingine wanaume wanasahau kwa nini wanawatumia jumbe wanawake. Wanakita kuongea mambo ya mbele, nyuma na ovyo bila msingi wowote ule. Wanasahau ile taswira kuu ya kumtext mwanamke. Taswira kuu kama tujuavyo ni kuhakikisha unatoka deti na mwanamke huyu.

Lakini usichukulie kuwa kuchat na mwanamke kupitia texts imepangwa, la. Unapaswa kutumia mfumo ule wa kawaida wa kuleta ucheshi, mzaha nk, kama tulivyoelezea awali. Hivyo basi, mbinu zako za kumtext mwanamke lazima ziwe za kuvutia, za nakshi na ambazo zitaleta msisimko ndani yake. Kama utamtext mwanamke bila mpangilia ama lengo flani, basi bila shaka atapoteza hamu na kuenda zake.

Rais Samia Ateua Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Atengua uteuzi wa Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu
Mkuu nimekupata vizuri, Ila ukiweka sample za meseji zenyewe kazi itakuwa imeisha kwangu kazi itakuwa ku copy na kupest..... Madesa ya kutongozea kitambo Sana tulikuwa tunayaandika tunayaweka mfukoni..... Sasa hivi nataka niweke kwenye Simu!
 
Wakati kila siku mara moja au zaidi huwa tunawatext wanawake. Aidha wawe ni wapenzi wetu, tunaowatongoza ama marafiki zetu. Na kila siku huwa tunapatwa na changamoto mbalimbali kutokana na matangamano yetu. So huwa kunakosekana nini? Ifuatayo ni orodha ya mambo 5 makuu ambayo wanaume wengi hukosea wakati wanapomtext mwanamke, na jinsi ya kutatua.

1. Kukata tamaa mapema kwa mwanamke
Kosa kuu ambalo wanaume wengi hufanya ni kukata tamaa mapema wakati wanapomtext mwanamke. Watamtext mwanamke, na kama hatajibu jumbe zake (ama kujibu kiuchache) watachukulia kuwa mwanamke huyu amepoteza interest na wanakata tamaa. Hili ni kosa kuu sana.

Kama inavyojulikana kikawaida ni kuwa mwanamke anaweza kutojibu meseji zako, na sababu hizo hazina uhusiano moja kwa moja na kutokuwa na interest kwako. Kwa mfano, anawezakuwa labda yuko busy, katika mood mbaya, ama labda hayuko sure ni kitu gani cha kukujibu kwa meseji. Kiufupi ni kuwa haujui kile ambacho kinazunguka kwa akili ya mwanamke, so haina haja ya kufikiria jambo baya.

So, iwapo kama mwanamke hakukujibu ama hayuko interested na wewe, lakini bado unataka kuongea na yeye, hivi ndivyo unavyopaswa kufanya; Mpe muda wa kutosha (siku chache ama hata wiki) halafu anza kumhusisha kwa meseji. Kama vile texts zozote za kawaida, hapa utakuwa unataka kuhakikisha kuwa unamvutia, unamfurahisha na unamchesha. Na zaidi ni kuwa unapaswa kutafuta swali ambalo litamlazimu yeye kureply meseji yako. Yote hayo, huu hapa ni mfano mzuri wa meseji ambayo itamhusisha mwanamke yeyote:

Hello mrembo…hivi kweli uko hai? Nitume kikosi cha maninja kije kikunusuru ama?

Yaweke maneno yako kuwa ya ucheshi, yawe na kamchezo flani na bila shaka utamfanya huyu mwanamke kutabasamu na kuwa katika hali ya kuchangamka. Kama utaweza kumfanya atabasamu basi muda mchache tu atakujibu.

2. Kutext mara nyingi
Hakuna kitu ambacho kinaweza kuua nafasi yako kwa mwanamke kama kumtumia jumbe mara nyingi. Humfanya mwanaume aonekane mwenye tamaa hivyo kumfukuza mwanamke.

Kwa kuepuka haya yote hizi hapa ni njia unazoweza kuzitumia ambazo zinaweza kukusaidia kumtext mwanamke wakati sawa.

Unapomtext mwanamke, hakikisha kuwa jumbe zinakuwa 1:1, Unahakikisha kuwa kila meseji anayotuma unaijibu na moja (pia hakikisha urefu unakuwa sambamba)

Acha kumtext na jumbe zisizo na mwelekeo. Usimjibu mwanamke jumbe wakati ambapo haihitaji jibu. Kwa mfano, si lazima uijibu text ya mwanamke ya ‘usiku mwema’ kama utamwambia ‘nawe pia’. Ikifikia hatua hii mazungumzo yenu yatakuwa yameisha. Inachotakiwa kutoka kwako ni kuhakikisha kuwa jumbe ya mwisho inaisha kutoka kwake.

Weka fikra ya wengi. Wakati ambapo unamtext mwanamke mmoja, huwa kawaida unakuwa na mtazamo finyu wa kumfiria sana mwanamke huyu ukiogopa asikuache. Well, kutatua swala hili, lile unalotakiwa kufanya ni kuhakikisha kuwa katika akili yako weka ya kuwa una wanawake kadhaa ambao wanakufukuzia. Hii itakusaidia kuondoa uhitaji mwingi wowote.

3. Kuchukulia jumbe unazomtumia serious

Kuna hali tofauti tofauti ya kuwa serious na mwanamke wakati wa mazungumzo lakini kutumia jumbe si moja wapo. Kujifanya kuwa serious wakati wa kumtext mwanamke kunachosha na hakuna mtu anapenda. Hivyo weka seriousness zako mbali kabisa na ulete hali ya ”nataka-tujuane-nawe”. Wakati unapomtext mwanamke, unapaswa kumakinika kuleta furaha.

Sasa, njia nzuri ya kuhakikisha kuwa unamfanya mwanamke anakuwa na shangwe wakati wote ni kwa kutumia ’emoticons’. Wanaume wengi wanajitenga kutumia emoticon wakidhania kuwa ni mambo ya wanawake, ukweli ni kuwa ni mambo ya wanawake na wanawake wanapenda kutumia emoticon. Pia zinasaidia kwa kuwa kile utakachokisema kwa kutumia emoticon mwanamke hatakipuuza. Hatobahatisha hisia zako kamwe kwa kuwa emoticon zinasaidia kupitisha ujumbe unaodhaminia. Na matokeo yake ni kuwa unaepukana na drama zozote zitakazojitokeza.

4. Kutotext wanawake wengi

Wakati mwanaume anatext mwanamke mmoja, ni rahisi kwake kumaliza maongezi yake mapema kwa kuwa hana fikra pevu kama vile tulivyotangulia kusema awali. Kama unataka kuwa na fikra pevu na uwezo rahisi wa kutangamana na wanawake basi ni lazima uwe unatext wanawake wengi. [Soma: Njia 5 rahisi za kumwomba mwanamke namba ya simu]

Kufanya mazungumzo mengi na wanawake wengi kunakupa ufahamu na mbinu pana za kuweza kuzungumza na wanawake. Ustadi huu utakuja wenyewe iwapo utajikita kuongea na wanawake wengi na tofauti tofauti katika meseji zako. So kinachohitajika kwako ni kutafuta namba za wanawake tofauti tofauti na uanze kuongea nao kupitia jumbe.

5. Tunasahau lengo kuu la kumtext mwanamke

Wakati mwingine wanaume wanasahau kwa nini wanawatumia jumbe wanawake. Wanakita kuongea mambo ya mbele, nyuma na ovyo bila msingi wowote ule. Wanasahau ile taswira kuu ya kumtext mwanamke. Taswira kuu kama tujuavyo ni kuhakikisha unatoka deti na mwanamke huyu.

Lakini usichukulie kuwa kuchat na mwanamke kupitia texts imepangwa, la. Unapaswa kutumia mfumo ule wa kawaida wa kuleta ucheshi, mzaha nk, kama tulivyoelezea awali. Hivyo basi, mbinu zako za kumtext mwanamke lazima ziwe za kuvutia, za nakshi na ambazo zitaleta msisimko ndani yake. Kama utamtext mwanamke bila mpangilia ama lengo flani, basi bila shaka atapoteza hamu na kuenda zake.

Rais Samia Ateua Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Atengua uteuzi wa Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu
𝓗𝓲𝔃𝓲 𝓹𝓻𝓸𝓬𝓮𝓭𝓾𝓻𝓮𝓼 𝔃𝓸𝓽𝓮 𝔃𝓪 𝓷𝓲𝓷𝓲 𝓴𝓪𝓶𝓪 𝓼𝓲𝓸 𝓴𝓾𝓬𝓱𝓸𝓼𝓱𝓪𝓷𝓪, 𝓶𝓬𝓱𝓪𝔀𝓲 𝓹𝓮𝓼𝓪
 
achana na ujinga wa jumbe fupi

'mtumie muamala' , hi ndo text bora wanawake na wasichana kutokea kuipenda
 
unaremba hvyo km unataka kuoa labda..
hawa kina shida wa buza unaiita unaiambia vua nguo panda pale weka miguu juu.
 
Back
Top Bottom