jambotemuv
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 224
- 62
Naamini 'ga' mwishoni mwa kitenzi yamaanisha kitendekacho mara kwa mara.Hapo umeelezea makosa ya kimaneno, ila pia kuna makosa ya sentensi, mfano nilikwenda nikamkuta hayupo, Juma huwa anakujaga hapa kila siku, bwana harusi alipokelewa kwa matarumbeta, sijampa kwa sababu nilikuwa sina, naomba nikopeshe elfu tano wakati kumbe hitaji la elfu tano unahitaji wewe.