Raymond Chanzi
Member
- Oct 18, 2015
- 12
- 3
Vijana Wa Kazi za Lodge wanatafutwa bila kujali jinsia. Lodges zipo bagamoyo na dar Es Salaam maeneo ya airport. Vigezo ni awe na uwezo wa kusoma na kuandika, msafi kiujumla, mwenye lugha nzuri kwa wateja na pia mchapa kazi.
Kwa maelezo zaidi piga no:0692778072
Kwa maelezo zaidi piga no:0692778072