Kichumi
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 588
- 515
Wakuu mimi swali langu ni hilo tu kwa leo.
Je yale makontena ya makinikia bado yapo Bandarini hadi napopandisha huu uzi? Mwenye kufahamu atujuze na tupicha atupie hapa tuone. Maana sisi wengine hatuamini hadi tuone.
By the way kama yapo, what's the way forward? Si yarudishwe Bully yakafukie yale mashimo.
Je yale makontena ya makinikia bado yapo Bandarini hadi napopandisha huu uzi? Mwenye kufahamu atujuze na tupicha atupie hapa tuone. Maana sisi wengine hatuamini hadi tuone.
By the way kama yapo, what's the way forward? Si yarudishwe Bully yakafukie yale mashimo.