Livanga
JF-Expert Member
- Apr 15, 2010
- 469
- 148
Baada ya kimya cha muda sasa tunaona mafundi wamerudi kazini kwenye ujenzi wa jumba lake maeneo fulani jijini dar. Je alikuwa anasubiri kuona kama bado amebaki kwenye baraza la walaji ndio aendelee ama alikuwa anasubiri kesi. hii inadhirisha kuwa bado kunyonywa kuko palepale.