Kwa muda mrefu nimekuwa simsikii Makorgoro Nyerere akisema lolote juu ya Serikali ya chama chake -ccm - kubomoa misingi ya utu na uadilifu aliyoiweka baba yake Mwl. Nyerere. Mbona baadhi ya wana-ccm wenzake, angalau wanajitutumua kulalamikia baadhi ya mambo yanayoenda mrama nchini?
Ndiyo tuseme amelishwa limbwata la Mafisadi wa Chama cha Magamba kiasi kuwa hawezi kusema lolote juu ya mateso ya wananchi ndani ya utajiri wa nchi yao?
Je, anaogopa kuutema uenyekiti wa Magamba Mkoa wa Mara.
Wenye kufahamu lolote wanifahamishe.
Ndiyo tuseme amelishwa limbwata la Mafisadi wa Chama cha Magamba kiasi kuwa hawezi kusema lolote juu ya mateso ya wananchi ndani ya utajiri wa nchi yao?
Je, anaogopa kuutema uenyekiti wa Magamba Mkoa wa Mara.
Wenye kufahamu lolote wanifahamishe.