DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
Mtia Nia Makini Kwa Tiketi Ya CCM Ndugu Charles Makongoro Nyerere anasema maneno mazito na yenye hekima hebu yapime na utafakari hatima ya Taifa lako kuelekea Uchaguzi wa 2015:
''Urais sio nafasi ya kuonyesha mtu.... Kwa sababu Wezi waliweza kushika madaraka mara moja haimaanishi itakua hivyo milele...
Urais ni sumu,mzigo na msongo sio chakula cha jioni.... Nikumbushe... Ikulu imejengwa nipo ndani yake mpaka namaliza elimu za juu na kuoa.. Naenda kufanya mabadiliko ambayo Mwalimu Nyerere angefanya.....sio vinginevyo''.
''Urais sio nafasi ya kuonyesha mtu.... Kwa sababu Wezi waliweza kushika madaraka mara moja haimaanishi itakua hivyo milele...
Urais ni sumu,mzigo na msongo sio chakula cha jioni.... Nikumbushe... Ikulu imejengwa nipo ndani yake mpaka namaliza elimu za juu na kuoa.. Naenda kufanya mabadiliko ambayo Mwalimu Nyerere angefanya.....sio vinginevyo''.