​Moja kati ya makumi ya wasaka urais kupitia CCM waliojadiliwa sana ni Makongoro Nyerere! Wapo wanaoamini kwamba Makongoro atapitishwa kugombea Urais kwa tiketi ya CCM! Niseme tu kwamba hakuna kitu kama hicho isipokuwa Makongoro ni Project Rejesha Jimbo la Arusha Mjini mikononi mwa CCM! Makongoro amekuwa kimya kwa muda mrefu na hivyo walichofanya CCM ni kumshawishi kutafuta nafasi ya kugombea urais wakati malengo ya ndani ya CCM ni kumpa publicity na kuwaandaa kisaikolojia wana-Arusha Mjini kwamba, mwana CCM mwenye sifa za kuwa Rais anarudi jimboni Arusha kutafuta ridhaa ya kuwawakilisha wananchi wa jimbo hilo bungeni! Kutokana na hilo, UKAWA, hususani CHADEMA tayari wamesharahisishiwa kazi za kufahamu ni nani wanatapambana nae Arusha Mjini kwa hiyo, wanaweza kuanza mikakati mapema kwa kuwa tayari wanamfahamu hasimu wao!
Mtu mwingine aliye kwenye project sawa na hii ni Dr. Augustino Mahiga! Huyu nae hakuna cha urais wala nini bali CCM wametaka kumpa publicity hasa ukizingatia, nature ya kazi ambazo amepata kuzifanya basi kuna uwezekano hata huko jimboni kwao kwa asili hafahamiki vizuri! Kutokana na hilo, hapa pia UKAWA wanatakiwa kufahamu Mahiga ni mtu wa wapi na ikiwa wanafahamu basi kuna uwezekano mkubwa kwamba huyu ndie atakuwa mpinzani wao jimboni!
Wakati Makongoro anatakiwa kwenda kulinasua jimbo la Arusha Mjini, Mahiga anatakiwa ili aje kushika nafasi ya Bernard Membe endapo CCM itarudi madarakani! CCM kama sio JK wanafahamu kwamba miongoni mwa wagombea wote, ukimtoa Membe na Mahiga, hakuna mwingine mwenye uelewa na uzoefu kwenye masuala ya kimataifa kwahiyo endapo atateuliwa mtu yeyote basi awe na waziri wa mambo ya nje ambae ni mzoefu katika masuala ya kimataifa!
Hao wawili ni official projects zinazolenga kutoa publicity ili wawe wabunge! And don't forget, ikiwa watu wanaamini kwamba Makongoro anafaa kuwa rais basi msishangae hitimisho la project husika ni kupewa u-PM endapo atashinda na CCM kuingia madarakani!
Wapo pia wengine kama akina Jacob Tesha na wengine kama hao ambao pia wapo kwenye project ubunge tofauti tu ni kwamba, wakati Makongoro na Mahiga ni official undercover projects; watu kama akina Jacob Tesha ni personal projects za kutafuta publicity ili baadae wakatafute nafasi ya kugombea ubunge! Mpinzani wenu mwingine ni huyo hapo wana-UKAWA!
Mtu mwingine aliye kwenye project sawa na hii ni Dr. Augustino Mahiga! Huyu nae hakuna cha urais wala nini bali CCM wametaka kumpa publicity hasa ukizingatia, nature ya kazi ambazo amepata kuzifanya basi kuna uwezekano hata huko jimboni kwao kwa asili hafahamiki vizuri! Kutokana na hilo, hapa pia UKAWA wanatakiwa kufahamu Mahiga ni mtu wa wapi na ikiwa wanafahamu basi kuna uwezekano mkubwa kwamba huyu ndie atakuwa mpinzani wao jimboni!
Wakati Makongoro anatakiwa kwenda kulinasua jimbo la Arusha Mjini, Mahiga anatakiwa ili aje kushika nafasi ya Bernard Membe endapo CCM itarudi madarakani! CCM kama sio JK wanafahamu kwamba miongoni mwa wagombea wote, ukimtoa Membe na Mahiga, hakuna mwingine mwenye uelewa na uzoefu kwenye masuala ya kimataifa kwahiyo endapo atateuliwa mtu yeyote basi awe na waziri wa mambo ya nje ambae ni mzoefu katika masuala ya kimataifa!
Hao wawili ni official projects zinazolenga kutoa publicity ili wawe wabunge! And don't forget, ikiwa watu wanaamini kwamba Makongoro anafaa kuwa rais basi msishangae hitimisho la project husika ni kupewa u-PM endapo atashinda na CCM kuingia madarakani!
Wapo pia wengine kama akina Jacob Tesha na wengine kama hao ambao pia wapo kwenye project ubunge tofauti tu ni kwamba, wakati Makongoro na Mahiga ni official undercover projects; watu kama akina Jacob Tesha ni personal projects za kutafuta publicity ili baadae wakatafute nafasi ya kugombea ubunge! Mpinzani wenu mwingine ni huyo hapo wana-UKAWA!