Kama nakumbuka vizuri, Rais SSH aliwahi kusema, bango moja tu kwenye mkutano kiongozi anaondoka madarakani.... Sasa huyu kama kasema mabango ruksa basi alikuwa anapima kina cha maji. Matokeo ni kina kirefu.Brother Mako
Najua wewe ni mtu wa masihara na utani utani mwiiingi. Utani hoye!
Najua wewe ndivyo ulivyo toka long time kitambo.
Ila nataka nikueleze kitu, Kuwa makini sana na utani wako usifikie hatua ya kuharibu haiba na taswira ya taasisi ya Urais au rais mwenyewe!. Namaanisha ukimtaja rais mtaje si katika muktadha wa masihara masihara, bali mtaje ukiwa serious na kwa vitu serious. Kama unataka kumtania rais basi acha hiyo kazi aliyokuteua, njoo JF tumtanie na tumchane kwelikweli akizingua!
Chalamila leo katumbuliwa, naamini sababu kubwa haswa ni ile clip aliyosikika akisema kuwa kwenye ziara ya rais huko Mwanza watu wanaweza kubeba mabango yoyote yale hata kama ni matusi!. Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!.
Ukizingatia kuwa Clip ya Chalamila imekatwa, watu wanaweza kushindwa kujua nini logic ya kauli yake. Hata hivyo Chalamila naye ameshindwa kutumia busara kwa kushindwa kujua kuwa kauli yake inaweza kutafsirika vibaya kuwa
1.Anacheza shere agizo la rais la kuruhusu watu kubeba mabango kwenye ziara zake.
2. Kwamba anamchukulia poa rais kwa kutoa kauli za mizahamizaha
Sasa ndugu Mako, kuwa Makini na mizahamizaha hasa juu ya maagizo ya rais. Mzaha ni bora uende vizuri ila ukienda vibaya, na wabaya wako wakaikatakata clip yako ili kukuchongea, hutaeleweka vizuri.
Nakushauri ndugu Mako, Fanya Mzaha 1% ila piga kazi 99%. Na mzaha wako usiinvolve jina la rais kabisa kwa sababu ukikosea pale utapata tabu sana.
Kumbuka busara za bungeni kwa nini kuna kanuni ya kutolitumia jina la rais kwa njia za mizaha ili kujipatia uhalali wa hoja.
Albert Chalamila hajatambuliwa kwa unachodai ila kuna ' Madudu ' yake fulani aliyafanya alipokuwa RC Mbeya ambayo yalifichwa na Mtendaji Mmoja ila kuna Msagaji Kunguni Mmoja kutoka ' Makao Obey ' akayaibua na Kumwonyesha Mama kuwa ( Jamaa ) ni Mtu ' Hatari ' na atakuja ' Kumgharimu ' mbele ya Safari hivyo ni bora amuwahi tu mapema Kumuondoa.Brother Mako
Najua wewe ni mtu wa masihara na utani utani mwiiingi. Utani hoye!
Najua wewe ndivyo ulivyo toka long time kitambo.
Ila nataka nikueleze kitu, Kuwa makini sana na utani wako usifikie hatua ya kuharibu haiba na taswira ya taasisi ya Urais au rais mwenyewe!. Namaanisha ukimtaja rais mtaje si katika muktadha wa masihara masihara, bali mtaje ukiwa serious na kwa vitu serious. Kama unataka kumtania rais basi acha hiyo kazi aliyokuteua, njoo JF tumtanie na tumchane kwelikweli akizingua!
Chalamila leo katumbuliwa, naamini sababu kubwa haswa ni ile clip aliyosikika akisema kuwa kwenye ziara ya rais huko Mwanza watu wanaweza kubeba mabango yoyote yale hata kama ni matusi!. Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!.
Ukizingatia kuwa Clip ya Chalamila imekatwa, watu wanaweza kushindwa kujua nini logic ya kauli yake. Hata hivyo Chalamila naye ameshindwa kutumia busara kwa kushindwa kujua kuwa kauli yake inaweza kutafsirika vibaya kuwa
1.Anacheza shere agizo la rais la kuruhusu watu kubeba mabango kwenye ziara zake.
2. Kwamba anamchukulia poa rais kwa kutoa kauli za mizahamizaha
Sasa ndugu Mako, kuwa Makini na mizahamizaha hasa juu ya maagizo ya rais. Mzaha ni bora uende vizuri ila ukienda vibaya, na wabaya wako wakaikatakata clip yako ili kukuchongea, hutaeleweka vizuri.
Nakushauri ndugu Mako, Fanya Mzaha 1% ila piga kazi 99%. Na mzaha wako usiinvolve jina la rais kabisa kwa sababu ukikosea pale utapata tabu sana.
Kumbuka busara za bungeni kwa nini kuna kanuni ya kutolitumia jina la rais kwa njia za mizaha ili kujipatia uhalali wa hoja.
Makongoro Nyerere ni mtu wa mizaha mizaha tangu utoto na ujana wake, kumwambia achane na hulka yake kujenga taswira isiyokuwa yake nadhani atageuka kuwa msanii tu. ... Aidha asipewe uongozi au akipewa aliyemchagua amwelewe hivyo......kwani alipokuwa mbunge wa Tanzania kwenye Bunge la EAC alishindwa kuyamudu majukumu aliyopewa?.Brother Mako
Najua wewe ni mtu wa masihara na utani utani mwiiingi. Utani hoye!
Najua wewe ndivyo ulivyo toka long time kitambo.
Ila nataka nikueleze kitu, Kuwa makini sana na utani wako usifikie hatua ya kuharibu haiba na taswira ya taasisi ya Urais au rais mwenyewe!. Namaanisha ukimtaja rais mtaje si katika muktadha wa masihara masihara, bali mtaje ukiwa serious na kwa vitu serious. Kama unataka kumtania rais basi acha hiyo kazi aliyokuteua, njoo JF tumtanie na tumchane kwelikweli akizingua!
Chalamila leo katumbuliwa, naamini sababu kubwa haswa ni ile clip aliyosikika akisema kuwa kwenye ziara ya rais huko Mwanza watu wanaweza kubeba mabango yoyote yale hata kama ni matusi!. Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!.
Ukizingatia kuwa clip ya Chalamila imekatwa, watu wanaweza kushindwa kujua nini logic ya kauli yake. Hata hivyo Chalamila naye ameshindwa kutumia busara kwa kushindwa kujua kuwa kauli yake inaweza kutafsirika vibaya kuwa
1. Anacheza shere agizo la rais la kuruhusu watu kubeba mabango kwenye ziara zake.
2. Kwamba anamchukulia poa rais kwa kutoa kauli za mizahamizaha
Sasa ndugu Mako, kuwa Makini na mizahamizaha hasa juu ya maagizo ya rais. Mzaha ni bora uende vizuri ila ukienda vibaya, na wabaya wako wakaikatakata clip yako ili kukuchongea, hutaeleweka vizuri.
Nakushauri ndugu Mako, Fanya Mzaha 1% ila piga kazi 99%. Na mzaha wako usiinvolve jina la rais kabisa kwa sababu ukikosea pale utapata tabu sana.
Kumbuka busara za bungeni kwa nini kuna kanuni ya kutolitumia jina la rais kwa njia za mizaha ili kujipatia uhalali wa hoja.
You should just use swahili man. You aint good in english.He gatta nothing to loose
Waache kuabudu teuzi that is the right sentence to use. Mbona sisi tunaendelea kuishi na hatuko kwenye teuzi bana?Kwa lugha rahisi unataka Makongoro aishi kama yuko Jela.
Maisha hayawezi kusimama kwakuwa eti mtu siyo mkuu wa mkoa.
Acheni kuabudu TEUZI.
Makongoro siku zote yuko hivyo, leo ana miaka karibu 60 ndio unategemea kwasababu umemteua Mkuu wa mkoa ndio atabadilika.
Makongoro ndivyo alivyo, hata kwenye vijiwe yuko hivyo hivyo....hanaga mambo ya ukuda
Sijui nikuweke ndani, kufokea watu
Mpka sasa wafanyakazi huko manyara wanamkubali sana
Ova
Duniani lazima kufanya kiasi kila kitu. Huyu mjinga alimaanisha kabisa!!! Ina maana yeye kwa kupima kwake alikuwa anaona ni sawa kutania kuwa watu wabebe mabango ya matusi? Wangebeba ya kumtukana mama ingekuwaje? Nadhani alikuwa hajui kama yeye hapo mkoani anamuwakilisha raisi wa jamhuri. Alizoea kuongea ovyo enzi za kale akadhani hata sasa atapeta kwa kuongea ovyo. Inawezekana alikasirika maana mama wakati anamuapisha alimuonya kuhusu kupiga watu. Kwa hiyo akaona amfanyizie kwa watu kwenda na mabango ya matusi!! Fala sana hili jamaa. Kwanza kachelewa sana kutumbuliwa halina hekima kabisa!!!!Brother Mako
Najua wewe ni mtu wa masihara na utani utani mwiiingi. Utani hoye!
Najua wewe ndivyo ulivyo toka long time kitambo.
Ila nataka nikueleze kitu, Kuwa makini sana na utani wako usifikie hatua ya kuharibu haiba na taswira ya taasisi ya Urais au rais mwenyewe!. Namaanisha ukimtaja rais mtaje si katika muktadha wa masihara masihara, bali mtaje ukiwa serious na kwa vitu serious. Kama unataka kumtania rais basi acha hiyo kazi aliyokuteua, njoo JF tumtanie na tumchane kwelikweli akizingua!
Chalamila leo katumbuliwa, naamini sababu kubwa haswa ni ile clip aliyosikika akisema kuwa kwenye ziara ya rais huko Mwanza watu wanaweza kubeba mabango yoyote yale hata kama ni matusi! Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa Mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!
Ukizingatia kuwa clip ya Chalamila imekatwa, watu wanaweza kushindwa kujua nini logic ya kauli yake. Hata hivyo Chalamila naye ameshindwa kutumia busara kwa kushindwa kujua kuwa kauli yake inaweza kutafsirika vibaya kuwa
1. Anacheza shere agizo la rais la kuruhusu watu kubeba mabango kwenye ziara zake.
2. Kwamba anamchukulia poa rais kwa kutoa kauli za mizahamizaha
Sasa ndugu Mako, kuwa Makini na mizahamizaha hasa juu ya maagizo ya rais. Mzaha ni bora uende vizuri ila ukienda vibaya, na wabaya wako wakaikatakata clip yako ili kukuchongea, hutaeleweka vizuri.
Nakushauri ndugu Mako, Fanya Mzaha 1% ila piga kazi 99%. Na mzaha wako usiinvolve jina la rais kabisa kwa sababu ukikosea pale utapata tabu sana.
Kumbuka busara za bungeni kwa nini kuna kanuni ya kutolitumia jina la rais kwa njia za mizaha ili kujipatia uhalali wa hoja.
Mako tabia ya mzaha kupita kiasi imemgharimu hadi hapa. Mi naamini ni mtu mzalendo na anachukia rushwa kama baba yake. Anahitaji kutune hapo kwenye utani na mizaha bila shaka atakua mtendaji boraBrother Mako
Najua wewe ni mtu wa masihara na utani utani mwiiingi. Utani hoye!
Najua wewe ndivyo ulivyo toka long time kitambo.
Ila nataka nikueleze kitu, Kuwa makini sana na utani wako usifikie hatua ya kuharibu haiba na taswira ya taasisi ya Urais au rais mwenyewe!. Namaanisha ukimtaja rais mtaje si katika muktadha wa masihara masihara, bali mtaje ukiwa serious na kwa vitu serious. Kama unataka kumtania rais basi acha hiyo kazi aliyokuteua, njoo JF tumtanie na tumchane kwelikweli akizingua!
Chalamila leo katumbuliwa, naamini sababu kubwa haswa ni ile clip aliyosikika akisema kuwa kwenye ziara ya rais huko Mwanza watu wanaweza kubeba mabango yoyote yale hata kama ni matusi! Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa Mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!
Ukizingatia kuwa clip ya Chalamila imekatwa, watu wanaweza kushindwa kujua nini logic ya kauli yake. Hata hivyo Chalamila naye ameshindwa kutumia busara kwa kushindwa kujua kuwa kauli yake inaweza kutafsirika vibaya kuwa
1. Anacheza shere agizo la rais la kuruhusu watu kubeba mabango kwenye ziara zake.
2. Kwamba anamchukulia poa rais kwa kutoa kauli za mizahamizaha
Sasa ndugu Mako, kuwa Makini na mizahamizaha hasa juu ya maagizo ya rais. Mzaha ni bora uende vizuri ila ukienda vibaya, na wabaya wako wakaikatakata clip yako ili kukuchongea, hutaeleweka vizuri.
Nakushauri ndugu Mako, Fanya Mzaha 1% ila piga kazi 99%. Na mzaha wako usiinvolve jina la rais kabisa kwa sababu ukikosea pale utapata tabu sana.
Kumbuka busara za bungeni kwa nini kuna kanuni ya kutolitumia jina la rais kwa njia za mizaha ili kujipatia uhalali wa hoja.
Yeah, Mako angekuwa siyo mtu wa mizaha angekuwa ameshaaminiwa zaidi na hata Wazee waliopita, na angeweza kuwa ameshafika mbali.Mako tabia ya mzaha kupita kiasi imemgharimu hadi hapa. Mi naamini ni mtu mzalendo na anachukia rushwa kama baba yake. Anahitaji kutune hapo kwenye utani na mizaha bila shaka atakua mtendaji bora
Tudokeze mkuu.Si vema kutuacha tumeduwaa.Chalamila kaondolewa kwa mambo mengi, alitakiwa kuondolewa kitambo
True aisee ivi vyeo sijui hata watu wanavitaka vya Nini aisee unaishi unamuogopa mtu kuliko hata mungu aliekuumba.upumbavu mtupuMuacheni huyu mzee hana shida na mtu yuko poa sn, wakati mwingine kunyenyekea sn napo ni upumbavu tupu.
True say aisee Bora utolewe kuliko kuishi maisha ya Namna iyo ushindwe kufurai maisha kwa sababu ya TEUZIKwa lugha rahisi unataka Makongoro aishi kama yuko Jela.
Maisha hayawezi kusimama kwakuwa eti mtu siyo mkuu wa mkoa.
Acheni kuabudu TEUZI.
Makongoro siku zote yuko hivyo, leo ana miaka karibu 60 ndio unategemea kwasababu umemteua Mkuu wa mkoa ndio atabadilika.