masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 780
Kama wewe unavyobebwa na baba yako... si hata mabibo tulikufukuza wakati unampigia debe yule dogo wa BCOM kuwa President wa Daruso. Jipime wewe na Makongoro kwanza kwa uadilifu siyo kumtupia maneno ya kashfa eti anabebwa na Jina la baba yake. Mbona wewe umebebwa pamoja na Mama yako wa Kambo kwenye NEC kwa jina la Baba yenu..Makongoro hana sifa ya uongozi anabebwa na jina la baba yake Mwl Nyerere, mtu makini ni Madaraka.
Tunaiamini familia hii zaidi ya ile ya kwenu maana ni wasafi na wazalendo.