Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mtoto wa Hayati Mwalimu Nyerere amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Butiama mkoani Mara. Ikumbukwe hivi karibuni Madaraka Nyerere ambaye ni ndugu yake naye aliita waandishi na kutangaza nia ya ubunge jimbo hilo.
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Madaraka Nyerere, mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ametangaza kuwania nafasi ya ubunge wa Butiama
Makongoro amesema haya
Leo nimechukuwa fomu ya kugombea ubunge jimbo la Butiama, Hii ni katika hatua ya awali naomba tushirikiane wana Butiama wenzangu bila ya kujali dini zetu wala makabila yetu.
Chama cha Mapinduzi ni chetu sote na Tanzania ni yetu wote.
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Madaraka Nyerere, mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, ametangaza kuwania nafasi ya ubunge wa Butiama
Makongoro amesema haya
Leo nimechukuwa fomu ya kugombea ubunge jimbo la Butiama, Hii ni katika hatua ya awali naomba tushirikiane wana Butiama wenzangu bila ya kujali dini zetu wala makabila yetu.
Chama cha Mapinduzi ni chetu sote na Tanzania ni yetu wote.