jabali gumu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 229
- 45
Hapa Kimanga kuna kipande kidogo cha Barabara maarufu kituo cha Don hali ni mbaya mno. Barabara haipitiki Leo siku ya tatu madaladala yanaishia Don hayafiki kituoni kutokana na ubovu wa Barbara. Hivyo namuuliza Mbunge wetu, Makongoro umetususa? Maana hii kero ni ya muda mrefu.