Hii ilitokea mwaka 2010 alikimbia na masanduku ya kura. Alipelekwa kituo cha polisi buguruni lakini alitolewa. Alieshinda ubunge alikuwa Mpendazoe lakini Mahanga akatangazwa mshindi. Ni Kweli aliiba kura.Yaani huo muujiza ukifanyika chini ya awamu hii tutafurahi sana kwani tumechoka kupata viongozi walioko madarakani bila ridhaa ya wananchi walio wengi.