cluster ndara
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 211
- 318
Nasikiliza radio hapa kwenye ufunguzi wa tawi la Nmb makongoro baada ya kupokea zawadi ya Nmb kwenda kwa mama yake.
Kama mwakilishi wa mama yake ameanza kutoa hotuba ya chama na kutamba akisema kuwa yeye ni mchezaji wa akiba akimaaanisha kuomba kazi mwa Rais Magufuli amesema mengi juu ya shida za wachezaji akiba akiomba kazi ili aingie acheze.
Sasa mimi nimeshangaa huyu kapewa kazi ashukuru hii shughuli ni ya Nmb kwanini asishukuru au azungumzie Nmb?
Hadi anaaambiwa muda umeisha bado yeye yuko na Rais Magufuli akilialia.
jamani vijana tafuta hela ukiwa na nguvu huko watu wanamaaanika kuomba omba kazi wakati wamezeka yani kanikera kwanini anaharibu kazi Yy watu kutumia muda mwingi akiomba kazi?
Kama mwakilishi wa mama yake ameanza kutoa hotuba ya chama na kutamba akisema kuwa yeye ni mchezaji wa akiba akimaaanisha kuomba kazi mwa Rais Magufuli amesema mengi juu ya shida za wachezaji akiba akiomba kazi ili aingie acheze.
Sasa mimi nimeshangaa huyu kapewa kazi ashukuru hii shughuli ni ya Nmb kwanini asishukuru au azungumzie Nmb?
Hadi anaaambiwa muda umeisha bado yeye yuko na Rais Magufuli akilialia.
jamani vijana tafuta hela ukiwa na nguvu huko watu wanamaaanika kuomba omba kazi wakati wamezeka yani kanikera kwanini anaharibu kazi Yy watu kutumia muda mwingi akiomba kazi?