mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
<br />Yeye mwenyewe GAMBA. Hakuna ambaye alie wa CCM asiwe gamba. NAni alikuwa anafikiria mtu kama Kingunge ni fisadi, what about Msekwa na ngorongoro yake. Luhanjo Je? CCM wote ni magamba na mauti yao yapo njiani yanakuja kwa kasi ya ajabu.
<br />
Hapana.! Sidhani kama familia ya Mwl. Nyerere kuna fisadi..wanaishi maisha ya kawaida na hawana uchu wa vyeo na madaraka, Wanafuata principles za mzee, Keep going Makongoro.