Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 31
Lunyungu,
Huyu jamaa ni mjinga kupindukia yaani siamini haya aliyoyasema!
Wana tapatapa sasa hivi hamna hata mmoja mwenye usafi sasa kila mtu sasa hivi anaangalia wapi atashika ili iwe njia yake ya kuwarubini wananchi,hawajui kwamba sasa hivi tumestuki hata wenye PhD ambao tunadhani wapo makini na maslahi ya taifa kumbe wameoza woteeee