Elections 2010 Makongolo Mahanga Amekula Kiapo??

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,829
4,167
Naomba kujua kama huyu jambazi naye alikula kiapo cha ubunge maana alichakachua kura na lazima uchaguzi urudiwe, vinginevyo hataweza kutawala jimbo letu la Segerea.
 

JOYCE PAUL

JF-Expert Member
Jan 8, 2010
1,005
82
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli
 

Mabel

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
1,271
663
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli

Watanzania tuache unafiki na tusimamie haki na kweli, Mahanga mwenyewe anatambua wazi kuwa hajashinda ila kachakachua ushindi wa Ndugu Mpendazoe, Joyce acha ushabiki simamia haki.

Ni wazi kwamba wafuasi hai wa CCM ni waina mbili tu, yaani;
  1. Wenye masilahi binafsi na CCM au Selikali
  2. Wajinga au wasio na uelewa wa mambo
Sasa basi, juhudi zetu ni kuelimisha kundi la pili kwani ndio lina watu wengi kuliko la kwanza, na matokeo mazuri sasa yanaonekana na pia siku za CCM zinahesabika.

Kuhusu kuapishwa Mahanga, sina taarifa lakini naamini atakuwa kaapishwa, kama Sitta wamemng'oa itakuwa kuapishwa?
 

ifolako

Member
Nov 8, 2010
98
0
Tatizo la mijitu mingine ujinga umewajaa hata kushindwa kutambua ukweli!Hivi leo akaja mpumbavu akikwambia eti rais wa Tanzania ni Mkapa nawe ukakubali basi wote ni wapumbavu.
Aliyeapishwa ndiye mtawala wa eneo lake kama mbunge au rais,we ukikataa ni mpumbavu tena jinga tena gonjwa tena unahitajika mirembe.
 

andrewk

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
3,102
484
Tatizo la mijitu mingine ujinga umewajaa hata kushindwa kutambua ukweli!Hivi leo akaja mpumbavu akikwambia eti rais wa Tanzania ni Mkapa nawe ukakubali basi wote ni wapumbavu.
Aliyeapishwa ndiye mtawala wa eneo lake kama mbunge au rais,we ukikataa ni mpumbavu tena jinga tena gonjwa tena unahitajika mirembe.

Mh! kuna jimbo lingine litakalokuwa wazi tumsimamishe dr slaaaaaa?
 

Manyanza

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,899
4,883
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli

Hv wewe Joyce, nahisi fuvu lako la kichwa na ubongo vimepeana talaka ndiyo maana unaropoka ropoka ooh mara JK kumpa uwaziri Dr Slaa mara upupu kibao we vp??? nahisi wewe ni secretary unapokosa kazi ndo maana unakurupuka kuandika ujinga kama huu:A S angry: kama ulimpa Mahanga kura ni wewe peke yako
 

Utingo

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
9,422
5,959
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli

You must be kidding!!!! otherwise unafaidika kwa wizi wake or wewe ni mkewe (to be fair his concubine maana mkewe hajui hata kutumia computer)
 

Chimunguru

JF-Expert Member
May 3, 2009
10,678
4,322
nyumba ndogo ya mwizi mahanga hiyoooooo eti tumempa kura au mmemsaidia kuiba
 

ngoko

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
573
14
Naomba kujua kama huyu jambazi naye alikula kiapo cha ubunge maana alichakachua kura na lazima uchaguzi urudiwe, vinginevyo hataweza kutawala jimbo letu la Segerea.

Tayari kaapa na yuko ndani ya Bunge "Tukufu" ... hivi kwa nini likaitwa Bunge Tukufu wakati process ya kuingia huko imetawaliwa na mambo yaliyo kinyume na utukufu ?
 

Henge

JF-Expert Member
May 14, 2009
6,933
1,509
Watanzania tuache unafiki na tusimamie haki na kweli, Mahanga mwenyewe anatambua wazi kuwa hajashinda ila kachakachua ushindi wa Ndugu Mpendazoe, Joyce acha ushabiki simamia haki.

Ni wazi kwamba wafuasi hai wa CCM ni waina mbili tu, yaani;

  1. Wenye masilahi binafsi na CCM au Selikali
  2. Wajinga au wasio na uelewa wa mambo
Sasa basi, juhudi zetu ni kuelimisha kundi la pili kwani ndio lina watu wengi kuliko la kwanza, na matokeo mazuri sasa yanaonekana na pia siku za CCM zinahesabika.

Kuhusu kuapishwa Mahanga, sina taarifa lakini naamini atakuwa kaapishwa, kama Sitta wamemng'oa itakuwa kuapishwa?
KWELI HILO KUNDI LA PILI NDO ASILIMIA 90 WAPO HAPO!!
Tukichagua upinzani itatokea vita.
ccm imeyuletea uhuru
CCm ya Kambarage
huuu ndo ujinga kabisaaa!
 

Misterdennis

JF-Expert Member
Jun 4, 2007
1,742
480
Watanzania tuache unafiki na tusimamie haki na kweli, Mahanga mwenyewe anatambua wazi kuwa hajashinda ila kachakachua ushindi wa Ndugu Mpendazoe, Joyce acha ushabiki simamia haki.

Ni wazi kwamba wafuasi hai wa CCM ni waina mbili tu, yaani;
  1. Wenye masilahi binafsi na CCM au Selikali

    [*]Wajinga au wasio na uelewa wa mambo
Sasa basi, juhudi zetu ni kuelimisha kundi la pili kwani ndio lina watu wengi kuliko la kwanza, na matokeo mazuri sasa yanaonekana na pia siku za CCM zinahesabika.

Kuhusu kuapishwa Mahanga, sina taarifa lakini naamini atakuwa kaapishwa, kama Sitta wamemng'oa itakuwa kuapishwa?


Huyu Joisi Paulo yuko kundi la pili !!
 

Kigogo

JF-Expert Member
Dec 14, 2007
20,518
6,109
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli

duhh aisee wewe kama umeolewa basi mumeo ana kazi kweli!!! yaani kila mahali upo mara segerea ,mara mbulu mara kilombero!! kheee..Ningekuita jina flani lakin inaogopa BAN
 

Kigogo

JF-Expert Member
Dec 14, 2007
20,518
6,109
Hv wewe Joyce, nahisi fuvu lako la kichwa na ubongo vimepeana talaka ndiyo maana unaropoka ropoka ooh mara JK kumpa uwaziri Dr Slaa mara upupu kibao we vp??? nahisi wewe ni secretary unapokosa kazi ndo maana unakurupuka kuandika ujinga kama huu:A S angry: kama ulimpa Mahanga kura ni wewe peke yako

afadahali angekuwa secreatary yaani huyu ni mama ntilie pale magomeni karibu na travertine..
 

minda

JF-Expert Member
Oct 2, 2009
1,068
64
mkuu usitumie neno jambazi kwani huenda ukalazimika kuthibitisha hilo.

hata hivyo naungana nawe kusikitika kwamba ni kweli mahanga amekula kiapo japo tulipenda sana awe mpendazoe.
 

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,829
4,167
mkuu usitumie neno jambazi kwani huenda ukalazimika kuthibitisha hilo.

hata hivyo naungana nawe kusikitika kwamba ni kweli mahanga amekula kiapo japo tulipenda sana awe mpendazoe.

Alituma vijana (waliokuwa wameahidiwa milioni 10) kukwapua matokeo ya kura za udiwani kimanga, bahati mbaya walikwapua, galasa.

Mtu kama huyo utamuita nani?

Anyway, jimboni kwetu Segerea tunamuita hivyo, hilo la kuthibitisha ni lako.
 

minda

JF-Expert Member
Oct 2, 2009
1,068
64
Mpendazoe loses Send to a friend Wednesday, 03 November 2010 10:47 digg

Frederick Mpendazoe, who was contesting Segerea parliamentary seat in Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ticket has lost to Dr Makongoro Mahanga of Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Results announced recently show that Dr Mahanga has obtained more than 43,000 votes while Mr Mpendazoe got over 39,000 vote



sourcc: the citizen
 

HISIA KALI

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
694
108
Muache ale kiapo ashibe vizuri. Lakini kwa ushahidi uliopo uchaguzi utarudiwa tu na atapigwa chini na wananchi
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom