Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,829
- 4,167
Naomba kujua kama huyu jambazi naye alikula kiapo cha ubunge maana alichakachua kura na lazima uchaguzi urudiwe, vinginevyo hataweza kutawala jimbo letu la Segerea.
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli
Tatizo la mijitu mingine ujinga umewajaa hata kushindwa kutambua ukweli!Hivi leo akaja mpumbavu akikwambia eti rais wa Tanzania ni Mkapa nawe ukakubali basi wote ni wapumbavu.
Aliyeapishwa ndiye mtawala wa eneo lake kama mbunge au rais,we ukikataa ni mpumbavu tena jinga tena gonjwa tena unahitajika mirembe.
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli
Naomba kujua kama huyu jambazi naye alikula kiapo cha ubunge maana alichakachua kura na lazima uchaguzi urudiwe, vinginevyo hataweza kutawala jimbo letu la Segerea.
KWELI HILO KUNDI LA PILI NDO ASILIMIA 90 WAPO HAPO!!Watanzania tuache unafiki na tusimamie haki na kweli, Mahanga mwenyewe anatambua wazi kuwa hajashinda ila kachakachua ushindi wa Ndugu Mpendazoe, Joyce acha ushabiki simamia haki.
Ni wazi kwamba wafuasi hai wa CCM ni waina mbili tu, yaani;
Sasa basi, juhudi zetu ni kuelimisha kundi la pili kwani ndio lina watu wengi kuliko la kwanza, na matokeo mazuri sasa yanaonekana na pia siku za CCM zinahesabika.
- Wenye masilahi binafsi na CCM au Selikali
- Wajinga au wasio na uelewa wa mambo
Kuhusu kuapishwa Mahanga, sina taarifa lakini naamini atakuwa kaapishwa, kama Sitta wamemng'oa itakuwa kuapishwa?
Watanzania tuache unafiki na tusimamie haki na kweli, Mahanga mwenyewe anatambua wazi kuwa hajashinda ila kachakachua ushindi wa Ndugu Mpendazoe, Joyce acha ushabiki simamia haki.
Ni wazi kwamba wafuasi hai wa CCM ni waina mbili tu, yaani;
Sasa basi, juhudi zetu ni kuelimisha kundi la pili kwani ndio lina watu wengi kuliko la kwanza, na matokeo mazuri sasa yanaonekana na pia siku za CCM zinahesabika.
- Wenye masilahi binafsi na CCM au Selikali
[*]Wajinga au wasio na uelewa wa mambo
Kuhusu kuapishwa Mahanga, sina taarifa lakini naamini atakuwa kaapishwa, kama Sitta wamemng'oa itakuwa kuapishwa?
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli
Hv wewe Joyce, nahisi fuvu lako la kichwa na ubongo vimepeana talaka ndiyo maana unaropoka ropoka ooh mara JK kumpa uwaziri Dr Slaa mara upupu kibao we vp??? nahisi wewe ni secretary unapokosa kazi ndo maana unakurupuka kuandika ujinga kama huu:A S angry: kama ulimpa Mahanga kura ni wewe peke yako
mkuu usitumie neno jambazi kwani huenda ukalazimika kuthibitisha hilo.
hata hivyo naungana nawe kusikitika kwamba ni kweli mahanga amekula kiapo japo tulipenda sana awe mpendazoe.
segerea tumempa kura na ndio hivyo keshaapa jiandaeni kwa 2015..kesi itahukumiwa 2015 june..kazi kweli kweli