Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,566
Hello JF,
Niko huku Katavi ndani ndani,so mambo mengine yananipita..lol
Sijui kama yalishawahi kufanyika ila ningependa kupendekeza yafanyike makongamano ya vijana wasio na ajira.
Yahusishe pia vijana wanaomaliza masomo yao wapate kuelewa what to expect baada ya kuhitimu masomo yao.
Kisha Mashirika mbalimbali yatume wawakilishi wao, vijana wanaokua interested kwa mfano kufanya kazi na TTCL wanawaona mwakilishi wa kampuni hio ambae atawaelekeza nini kinahitajika zaidi kwenye kampuni kama hio ama kama kuna vacancies ambazo zipo then wanapewa hao vijana.
Lengo ni kuwakutanisha employers na hao vijana...inaweza ikawa kama hiring event.
Pia currently kuna 'mismatch' kati ya education na demands placed by the job-market.
Hii inaweza kutatuliwa as waajiri wataweza kutoa specific skills,experience na knowledge inayotakikana.
But i also believe in social enterprenuarship.
Kwamba matatizo ya vijana yatatuliwa na vijana wenyewe,,so kwa kila kongamano,kuwe na njia ya ku collect ideas kama vile proposals specific ku address tatizo la ajira nchini.
Wanaoleta proposal nzuri wawezeshwe kifedha na usimamizi kutoka kwa experts.
Kwa mashirika yanaoajiri kwenye hizi events wapewe punguzo la kodi.
Vipi hili wazo?nimepuyanga au?
Becky
Niko huku Katavi ndani ndani,so mambo mengine yananipita..lol
Sijui kama yalishawahi kufanyika ila ningependa kupendekeza yafanyike makongamano ya vijana wasio na ajira.
Yahusishe pia vijana wanaomaliza masomo yao wapate kuelewa what to expect baada ya kuhitimu masomo yao.
Kisha Mashirika mbalimbali yatume wawakilishi wao, vijana wanaokua interested kwa mfano kufanya kazi na TTCL wanawaona mwakilishi wa kampuni hio ambae atawaelekeza nini kinahitajika zaidi kwenye kampuni kama hio ama kama kuna vacancies ambazo zipo then wanapewa hao vijana.
Lengo ni kuwakutanisha employers na hao vijana...inaweza ikawa kama hiring event.
Pia currently kuna 'mismatch' kati ya education na demands placed by the job-market.
Hii inaweza kutatuliwa as waajiri wataweza kutoa specific skills,experience na knowledge inayotakikana.
But i also believe in social enterprenuarship.
Kwamba matatizo ya vijana yatatuliwa na vijana wenyewe,,so kwa kila kongamano,kuwe na njia ya ku collect ideas kama vile proposals specific ku address tatizo la ajira nchini.
Wanaoleta proposal nzuri wawezeshwe kifedha na usimamizi kutoka kwa experts.
Kwa mashirika yanaoajiri kwenye hizi events wapewe punguzo la kodi.
Vipi hili wazo?nimepuyanga au?
Becky