Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ni wazi kuwa kama taifa la Tanzania tunahitaji katiba mpya tofauti na ile ya mwaka 1977.
Hii ni kwa sababu Tanzania ya mwaka 1977 sio kama ya leo.
Leo hii watanzania wanajua haki zao. Wanajua umuhimu wa kuwa na haki za kudai haki zao kwa kila namna.
Katiba ya Mwaka 1977 haijawapa hizo haki.
Sasa je, kama taifa linalohitaji katiba mpya tufanye nini ili tupate katiba mpya?
Ukweli ni kuwa makongamano sio suruhu.
Hii ni kwa sababu Tanzania ya mwaka 1977 sio kama ya leo.
Leo hii watanzania wanajua haki zao. Wanajua umuhimu wa kuwa na haki za kudai haki zao kwa kila namna.
Katiba ya Mwaka 1977 haijawapa hizo haki.
Sasa je, kama taifa linalohitaji katiba mpya tufanye nini ili tupate katiba mpya?
Ukweli ni kuwa makongamano sio suruhu.