Makondosa vs wasanii, je hii ni revenge?

Sio kila jambo analofanya lazima wamuunge mkono kila mtu wanaishi kwa ratiba zao na kuupa uzito alipaswa kuwaalika mbona zinduz zingine wanapewa mualiko sio lazima kuishi kwa kusubir kiongoz anataka nin huo ni ujinga sasa
 
Kumbe wanaendaga kwake? Sijui kufanya nini vile, haya sasa kawaumbua live bila chenga. Mbona mzee wa batani live hakuwepo nae, au?
 
Sio kila jambo analofanya lazima wamuunge mkono kila mtu wanaishi kwa ratiba zao na kuupa uzito alipaswa kuwaalika mbona zinduz zingine wanapewa mualiko sio lazima kuishi kwa kusubir kiongoz anataka nin huo ni ujinga sasa
Huyu jamaa mjinga sana,sielewagi why a napenda Kik namna hii
 
Back
Top Bottom