Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi watakaporudi na kombe!Hivi ruhusa ni ya hadi Stars watakapomaliza mechi zao
Jiulize kwa nini hakufanya hivi vs Senegal?.Ila jamaa anapatia kweli. Anajua ni wapi atapatia credits. Kwa hili nampongeza.Kichwa chajieleza.
Matendo na maneno yake yanamfanya asikubalike. Ila ukweli ni kwamba ana ushawishi na morali ya kufanikisha azima yake.
Tubu na geuka, una mengi mbeleni
Na hii ndiyo hoja! Watu wanatamani wangekuwa waoHivi ruhusa ni ya hadi Stars watakapomaliza mechi zao
100%He is simply a con
Wakae tu kwa kutuliaNa hii ndiyo hoja! Watu wanatamani wangekuwa wao
Wivu nao ni kidonda kunuka ni lazima.Wakae tu kwa kutulia
Acha ujinga we mzeeHadi watakaporudi na kombe!
Amefanikisha nn mkuuKichwa chajieleza.
Matendo na maneno yake yanamfanya asikubalike. Ila ukweli ni kwamba ana ushawishi na morali ya kufanikisha azima yake.
Tubu na geuka, una mengi mbeleni
Makonda hajawahi fanikisha lolote.Jiulize kwa nini hakufanya hivi vs Senegal?.Ila jamaa anapatia kweli. Anajua ni wapi atapatia credits. Kwa hili nampongeza.
Hana chochote Bashite, ni zero brain na hawezi kutekeleza jambo lolote likafanikiwa.Kichwa chajieleza.
Matendo na maneno yake yanamfanya asikubalike. Ila ukweli ni kwamba ana ushawishi na morali ya kufanikisha azima yake.
Tubu na geuka, una mengi mbeleni