Hiv mfano ukasajiliwa laini kwa jina la mtu mwingine kisheria ikoje? au hakuna chochote kitachotokea"Watu wanajua nyumba za wageni bila kuelekezwa kuliko wanavyojua vitambulisho vya NIDA Watu mnapenda umbea kuliko maisha yenu" By Bashite
Hiv mfano ukasajiliwa laini kwa jina la mtu mwingine kisheria ikoje? au hakuna chochote kitachotokea"Watu wanajua nyumba za wageni bila kuelekezwa kuliko wanavyojua vitambulisho vya NIDA Watu mnapenda umbea kuliko maisha yenu" By Bashite
"Ili uweze kusajili laini ya simu kwa alama za vidole ni lazima uwe na kitambulisho cha Taifa au namba. Kesho Jumapili Januari 20, 2020 laini za simu ambazo hazijasailiwa kwa alama za vidole zitazimwa." C&PFatilia habari kuanzia mwanzo!!
Tuache kutafuta ugali tukapange foleni za kipuuzi huko NIDA? Watawalisha watoto?
Shida ya kuwa na makalio makubwa akili zote zinafyonzwa kwenye mtaro wa maji taka.
Sent using Jamii Forums mobile app