Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,499
- 9,279
"Uibe tekino au pochi haina kitu tutakuhesabu kama mwizi wa Dreamliner, kipigo chako ni cha Kimataifa. Wale mnaotaka kuonja nafasi ya ukibaka kama ni nzuri onjeni na tusilaumiane, hakuna mtu yuko tayari kuharibiwa kazi kwenye hiki kipindi cha mwisho tunafunga mahesabu"
Akizungumza na wakazi wa wilaya ya Temeke katika ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo, RC Makonda amesema matukio ya wizi mdogo mdogo wa vitu kama power windows yameongezeka jijini ambapo amemtaka Kamanda wa Polisi kuhakikisha hali inakuwa sawa.