Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Mkuu wa mkoa wa Dar Paul Makonda akiwahutubia machinga Kariakoo amesema ana mpango wa kuwabadilisha kuwa watu wanaomiliki viwanda vidogo badala ya kutembeza bidhaa barabarani kwa kuunda uongozi wa kuwasimamia.
Amesema wakuu wa mikoa walikuwa wakiwapinga machinga ila Rais Magufuli amewaunga mkono na hana jinsi nyingine zaidi ya kuwaunga mkono ila atawabadilisha kuwa wakubwa zaidi ili waachaane na kutembeza bidhaa.
Amesema wakuu wa mikoa walikuwa wakiwapinga machinga ila Rais Magufuli amewaunga mkono na hana jinsi nyingine zaidi ya kuwaunga mkono ila atawabadilisha kuwa wakubwa zaidi ili waachaane na kutembeza bidhaa.